Hasara za kuwa baba wa kambo

Hasara za kuwa baba wa kambo

Sasa hapo kwenye kesi ya ebou kuna taswira ipi?.
Kesi ya eboue inatengeneza taswira kwamba wanaume ni mafala
Etoo, drogba mbona wame oa na mambo safi?, vipi taswira huioni?
hapa siongelei suala la kuoa naongelea suala la mwanaume kusimama kwenye standard za kiume na kuji-adjust kitaalamu katika ulimwengu wa leo ambao mifumo yote imesukwa kumdhibiti na kumnyong'onyeza mwanaume.

Ukishindwa kusimamia misingi ya kiume unachafua jinsia ME yote
 
Mnatumia nguvu nyingi kuongelea haya mambo

Hebu yafikirie haya

1.Mwanamke kufiwa na mumewe akiwa katika umri mdogo kwahiyo asiolewe tena?

2.Ndoa zenye migogoro,kwahiyo asiachike avumilie mateso asiolewe kwingine?

3.kuzalishwa katika umri mdogo kisha kutelekezwa kwahiyo huyu asiolewe tena kisa ana m(wa)toto?

Wapo wives material kibao ambao ni single mother ,wanaolewa na NDOA zinaendelea vizuri tu,tunao mitaani na tunaona.
Ukilisoma andiko la Natafuta Ajira linaapply sana kwa single-mothers hawa waliotokana na kujiona "super-woman"
 
Katika kizazi ambacho mwanamke ameshuka thamani na kudharaulika ni kizazi hiki, ndio maana tumaona ongezeko la single mother. Tunachokiongea hapa indirectly tunawakumbusha pia na consequencies watakitana nazo wasipojitunza. Leo hii tunaona wimbi la wanawake wasiokua na maadili kwa sababu kuna population kubwa ya wanaume mafala kama wewe ambao mmekubali kuzishusha thamani zenu mbele ya mwanamke kwa kufikiri kukubaliana na direspects, manipulations na reckless past ya mwanamke ndio uanaume. Binti anaona hakuna umuhimu wa kujitunza maana akimalizana na maisha ya umalaya kuna simp kama wewe ambao mtakua tayari kumtolea mahari na kumuoa


Tunachokifanya ni kufungua code mwanaume aone uhalisia na atoe akili kwenye matrix ya manipulations nyingi ambazo nyie simp hamzioni mfano kitanda hakizai haramu ni msemo wa kipumbavu.. yaani mwanamke afanye umalaya wake halafu nilee bao la mwanaume mwingine eti kitanda akizai haramu.. vijana tumesema hapana

Uanaume pia unajumuisha kuweka standards na kuzisimamia kwa ajiri ya mustakabali mwema wa kizazi kijacho. Usingle mother ni matokeo ya umalaya na maamuzi mabovu ya mwanamke. Mwanaume kama kiongozi unatakiwa kumwajibisha uyo mwanamke. Kumpa comfortability mwanamke kama uyo itapelekea na kizazi cha mabinti nacho kuona umalaya na kuzaa kabla ya ndoa ni jambo la kawaida

Wazee wetu hawakua malaika kama binadamu nao walikua na mapungufu yao. Hata hivyo uko kwa wazee ndio standards za mwanamke zilikua rigid sana kiasi kwamba kwa mienendo ya hawa wanawake wa kisasa unaowatetea wangepata tabu sana
Bado natafsiri kama uoga wa wanaume mlio wengi wala sio kuwasanua simps au niaje.

Na pia mimi sitetei wanawake, na hapo ndipo ninyi wanaume wengi msiojiamini mnajifichia, mtu akiwapinga moja kwa moja mnakimbilia ati "unatetea wanawake" ila hapana mi naandika uhalisia.

Yaani wanaume wengi mmekua kama wanawake, hamjui mnataka nini. Wewe ni kiongozi wa familia, kama waislam wanaoa mpaka wake 4 na wote anawacontrol yeye bila kujali kaoa single maza au niaje. Ajabu ninyi vijana wa sasa mnawaandama singo maza bila hata sababu za msingi sometimes.

Yes wanazingua sana tu ila sio sababu ya wao kutoolewa, kutolea watoto wao ati watakuona "simp" bro where did you get this?? Baba ni yule anaprovide bro, always iko hivyo.

Cha kuwashauri wanaume ni kua watumie akili na sio hisia. Lakini pia wasikalili maisha mambo hubadilika.

Unapomsanua mwamba atumie akili hata maamuzi yake atatumia akili, atamlipia ada mtoto wa Me mwenzie sio kwa kumshawishi mama yake akupende ila ni kutoa msaada tu, asaini prenup kama ana mali nyingi, adiversify uchumi wake nk.
 
Bado natafsiri kama uoga wa wanaume mlio wengi wala sio kuwasanua simps au niaje.

Na pia mimi sitetei wanawake, na hapo ndipo ninyi wanaume wengi msiojiamini mnajifichia, mtu akiwapinga moja kwa moja mnakimbilia ati "unatetea wanawake" ila hapana mi naandika uhalisia.

Yaani wanaume wengi mmekua kama wanawake, hamjui mnataka nini. Wewe ni kiongozi wa familia, kama waislam wanaoa mpaka wake 4 na wote anawacontrol yeye bila kujali kaoa single maza au niaje. Ajabu ninyi vijana wa sasa mnawaandama singo maza bila hata sababu za msingi sometimes.

Yes wanazingua sana tu ila sio sababu ya wao kutoolewa, kutolea watoto wao ati watakuona "simp" bro where did you get this?? Baba ni yule anaprovide bro, always iko hivyo.

Cha kuwashauri wanaume ni kua watumie akili na sio hisia. Lakini pia wasikalili maisha mambo hubadilika.

Unapomsanua mwamba atumie akili hata maamuzi yake atatumia akili, atamlipia ada mtoto wa Me mwenzie sio kwa kumshawishi mama yake akupende ila ni kutoa msaada tu, asaini prenup kama ana mali nyingi, adiversify uchumi wake nk.
Kuna tofauti kubwa sana ya uoga na busara. Kuthibitisha uanaume wako sio kufanya gamble kwenye red flag, ila ni kuchukua maamuzi sahihi kuanzia mwanzo ili kuepuka matatizo uko mbeleni. Kwanini ufanye gamble kwa mwanamke mwenye question mark wakati wenye rekodi safi wapo? anyway, endelea wewe kulipia ada hao watoto wa single mother
 
Miaka ya nyuma ipi mkuu, unataka turudi nyuma?

Haya twende taratibu, miaka ya nyuma unakumbuka elimu haikuwa kipaumbele? Unakumbuka mabinti walikuwa wanaolewa na miaka mingapi?

Miaka ya nyuma unayoisemea binti alikuwa akishavunja ungo, anapelekwa unyagoni kisha anatafutiwa mume anaolewa?

Vijana wa kiume nao ivoivo, walikuwa wakishabalehe, wanapelekwa jandoni, wakirudi wanakuwa tayari kuoa.

Siku hizi elimu inawafanya mabinti na vijana wafikishe miaka 23, 24, 25, 26 wakiwa hawana mbele wala nyuma. Meanwhile wameshabalehe na kuvunja ungo, unatagemea wataacha kufanya kisa hawajaoa au kuolewa?
Chuo sio kigezo cha kuchelewa ndoa. Binti anaweza olewa akiwa amemaliza formsix na anajiandaa kwenda chuo.
 
nmegundua hizi nyuzi zimeongezeka sana baada strekafosi wetu kutwaa jiko,apa kuna agenda ya watu flani kututoa mchezoni
 
daah kumbe huu uzi wa moto sana

naona masingo maza wanalazimisha waolewe ivoivo watu waache kujaji maisha yao ya nyuma kama waliyaishije wakati madogo kataa ndoa wanang'aka hawataki kuchomekewa madogo wa mababa wengine 🤣🤣hapa lazma kieleweke au kavipi iwe ngoma droo.
 
kama umefika umri wa miaka 35 na kuendelea na bado hujaoa, lazima utaoa mwanamke mwenye mtoto tayali.
maana ni ngumu kupata mwanamke mwenye miaka 25 hadi 30 asiwe na mtoto.
na kwa umri huo ukioa mwanamke chini ya miaka 25 ujue umeolea vijana,na ujiandae kufa kwa presha. hivyo mleta mada unaonekana bado mtoto,ukikua uzi huu utaufuta.
 
wanasema Step father ni MENTAL HEALTH.
Responsibilities without Authority.
labda labda huyo mtoto usikae nae hapo........hapo ni labda au Uzae nae huyo mwanamke watoto. all in all Simshauri mtu
.
 
kama umefika umri wa miaka 35 na kuendelea na bado hujaoa, lazima utaoa mwanamke mwenye mtoto tayali.
maana ni ngumu kupata mwanamke mwenye miaka 25 hadi 30 asiwe na mtoto.
na kwa umri huo ukioa mwanamke chini ya miaka 25 ujue umeolea vijana,na ujiandae kufa kwa presha. hivyo mleta mada unaonekana bado mtoto,ukikua uzi huu utaufuta.
Baba wa kambo amuishiwagi visingizio vya kutetea ujinga wenu.
 
Hii style yako ya kuingia katika mjadala inaonyesha umeichukuliaje hii mada. It means umeona ni mada negative au potofu of which that makes u part of the problem yourself.

Hadi leo huwa najiuliza watu mnaowatetea single mothers huwa mna ajenda gani ya siri na kazi hii ya shetani. Hawa ni aina ya wanajamii ambao hata vitabu vya MUNGU vimewatambua kama malaya au makahaba.

Hivi wewe kweli kabisa unamlinganisha single mother na Widow (mjane)?🤔

Single (msimbe)mother ni mwanamke ambaye kwa hiyari yake amechagua kuanza mahusiano batili kwasababu zake binafsi aidha za kiuchumi ili kujipatia kipato au kwasababu za kukosa maadili tu kulala na wanaume ambao hawajarasimishwa kwao kwaajiri ya ndoa takatifu.

Widow(Mjane) huyu ni mwanamke ambaye aliingia mahusiano rasmi kisha mume wake akafariki ndipo yeye akabakia mwenyewe na watoto. Vitabu vya dini vinamtambua huyu na vinasema asaidiwe.

Kitendo cha kuwachanganya hawa wawili ambao ni tofauti lengo ni kupotosha na kuficha uovu huu wa kisasa ambao unatakiwa kukemewa kwa bidii na nguvu kubwa.
Single mother ni tatizo na sio jambo la kuachia lipite tu eti kwasababu wakisemwa wanaumia. Sisi hatuna haja nao ila tunahaja ys kutokomeza uovu wao.

Msingi wa ndoa zenye migogoro ukifuatilia kwa kina utagundua ni kuanzisha mahusiano nje ya utaratibu. Ni nadra sana kwa binti bikra ambaye mwanaume alienda kwa wazazi wake kwa heshima na haja ya kuomba ridhaa ya kuishi nae.

Tatizo mnajadili uhalisia kama bongo movie. Unatengeneza taswira kichwani halafu unaiamini kuwa ndio uhalisia. Mahusiano mengi yenye migogoro mengi yana elements zifuatazo:
1. Mwanaume ni mume wa mtu mwenye migogoro na mkewe halali wa ndoa then mwanamke akaingilia kati ili aolewe. Mgogoro lazima utokee.
2. Kubeba ujauzito kabla ya mahusiano kuwa rasmi.
3. Mwanamke kupenda mwanaume badala ya kutii na kumheshimu jambo ambalo ni kinyume na maagizo ya mwenyezi MUNGU.
4. Kuingia ndoani na mihemuko aidha ya kingono wakiamini kwenye ndoa ni 90% shughuli za kitandani tu, kutaka kuwa couple ya maonyesho ya mitandao, mihemuko ya kitrauma na kadhalika.

Ukipata mgogoro kawaone wataalamu watakupa chanzo cha mgogoro wa mahusiano yako.

Tazama unavyotetea kukosa maadili against maadili yenyewe. Hapa unatofauti gani na kumtetea jambazi wakati anachezea kichapo kwa kusema "anajitafutia kipato kupitia wizi wake mnataka akale wapi sasa na ajira hakuna".

Wewe kama mzazi na kichwa cha familia,binti yako ambaye yupo chini ya himaya yako na ni mdogo,unatoa ridhaa akafanye mahusiano na mwanaume akuletee mimba? Yaani unaona ni sawa binti kuanza kulala na wanaume akiwa katika rika la utoto badala ya kushika misingi ya kimaadili ya kujisitiri na kuiheshimisha familia yake kwa kungoja hadi Ndoa ndipo kuanza kufanya mapenzi.

Kama hawa kwako ndio priority wewe nenda kaoe wakupe hayo material ya wife ila kwa upande wa jamii ni lazima injiri isonge mbele.

Masingle mother sio mpango wa MUNGU ni mpango wa shetani katika kusiambaratisha jamii. Hakuna faida hata moja ya mwanamke kuzaa nje ya ndoa then kujiita single mother na kuendelea na maisha katika hiyo hali.

Inawezekana kabisa kwa binti kujituliza akisubiria mwanaume sahihi wa kuanza nae Maisha au yeye kujiweka safi huku akingojea mwanaume sahihi ambaye mahusiano yao yalenge Ndoa na sio kuzaa huku hawakuwa na mpango wa kuishi kama mume na mke halali wa ndoa.

Kusema "kuna single mothers kibao ambao ni wife material" ni sawa na kusema "kuna majambazi na wauza unga kibao ambao yanatunza na familia zao vizuri na kujenga maisha bora" so unajisahaulisha kuwa wauza unga na majambazi ni watu wa aina gani katika jamii?

Get tha fuk otta here.
Basi basi basi punguza spana
 
mkuu ana chafua vipi hadhi ya mwanaume akati kila mtu ana mwili na heshima yake?

azizi k ni mtu mzima aliye fanya maamuzi kwa akili na utashi wake, hizi mambo za kakosea sisi hazi tuhusu as long as ana uhuru wa kuchagua na kuamua yupi ni bora kwake.
Aiseeee wewe jamaaa ni kiazi sana. Kama kila mtu na mwili wake kwann ushoga unapigwa? Kwani shoga si anatumia mwili wake?
Kwanini movie za ngono zinapigwa? Anayeigiza si anatumia kiungo chake na anayoangalia si anatumia macho yake?
Kwann dawa za kulevya zinzpigwa? Anayetumia si anaharibu mwili na akili yake?
Kwanini video za muziki huwa zinzfungiwa kuwa zinadharirisha wanawake?
 
Unapomsanua mwamba atumie akili hata maamuzi yake atatumia akili, atamlipia ada mtoto wa Me mwenzie sio kwa kumshawishi mama yake akupende ila ni kutoa msaada tu,
Yaani unamlipia ada mtoto wa mwanaume mwezio ambaye huna nasaba nae kwa kigezo kuwa unatoa msaada, wakati ndugu zako kibao wanateseka hawana uhakika wa kula, makazi wala mavazi achilia mbali kusomesha
Wengine mmetelekeza mpaka wazazi wenu lakini mnalea mabao ya wanaume wenzenu.

Muulize mama yako mzazi kama anafurahia wewe kuoa single mother ndio utaelewa kuwa tunazungumzia uhalisia na nyie simp mnatumia hisia za mapenzi kuliko akili
 
Haya mambo si ya kuyachukulia serious sana utapata tatizo la saikolojia.

Uhalisia ni kuwa, Aziz K pamoja na wanaume wengi humu kumuona boya sijui simp, ila wake au wapenzi wao wakitakwa na Aziz wanatanua miguu na kuirudishia ikichomoka.
Huna Akili! Sasa Hilo Ni Tatizo La Mwanaume Au Mwanamke
Kwani Wanawake Wote Wanachepuka Na Aziz Ki?
 
Back
Top Bottom