Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Umeniacha na viulizo! Hongera kwa maana ipi?Hongera sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeniacha na viulizo! Hongera kwa maana ipi?Hongera sana mkuu
Oh hongera yangu imelenga hayo maelezo yako yote mkuu. Hata Mimi Niko hivyo pia, na kwa miaka mingi nilikuwa sijui kwa nini Niko hivi, hadi nilipoona uzi umeandikwa na Da'Vinci kuhusu " Jinsi introverts wanavyopata shida kujichanganya na jamii/watu" ndipo nilipoelewa kwa nini Niko hivi.Umeniacha na viulizo! Hongera kwa maana ipi?
Duniani wawili wawili, shukrani.Oh hongera yangu imelenga hayo maelezo yako yote mkuu. Hata Mimi Niko hivyo pia, na kwa miaka mingi nilikuwa sijui kwa nini Niko hivi, hadi nilipoona uzi umeandikwa na Da'Vinci kuhusu " Jinsi introverts wanavyopata shida kujichanganya na jamii/watu" ndipo nilipoelewa kwa nini Niko hivi.
Naam, imenipa kujikubali na kujiamini mno, sina rafiki, na maishani mwangu naweza kusema nimewahi kuwa na marafiki wawiki tu, ila wengine tunaongea kidogo tu, ndio imeisha. Mkuu kuna mengi mno, ila kama maelezo yako yalivyo, ni ndivyo na Mimi nilivyo. Nafurahi mno kuwa hivi, kwa sababu mpaka sasa naona Mungu ameniapusha na mambo mengi ambayo naona ni uovu, naam, hivyo nikiona mtu yuko kama maelezo yako,...nafurahi mno kuona na kusoma maelezo kama yako, maana yananipa raha.
Naam!!!
Kuna jamaa mmoja nilikutana nae katika ngazi za kielimu baada ya kunigundua jinsi nilivyo akaniambia "hukufaa kuishi kwenye hii karne! Karne hii si yako!! Karne za nyuma zingekufaa zaidi"Sahihi mkuu.
Na mimi nina machache ya kuelezea lakini naona inatosha kuyasoma ya wadau.
Muhimu naona kuwa watu sisi wenye tabia hizi tutumie muda wetu kujinufaisha zaidi kuliko mtu anakaa peke yake huku akifanya ujinga.
Tabia ya kukaa peke yangu imenifanya niwe mtu wa kuwaza tofauti sana,na hili nalishuhudia kwa watu wangu ambao wamekuwa wakinitegemea katika mawazo wakati wao ni watu wazima.
Kwa kweli hii tabia ni nzuri sana,japokuwa mimi nina rafiki angu
Una cheo gani chaputa mkuu??Kuchoka kuwa introvert ni Sawa na kuuchoka uasilia wako,unaweza jaribu kujibadili ila mwisho wa siku unajikuta peke yako pasipo kupenda
Me mpaka Leo zaidi ya mika 24 cjawai kuwa na mpenzi/demu nikijaribu kutafuta mpenzi kunamaswali huwa najiuliza na kujijibu mwisho Siku zinaenda hvhv
Mkuu wiki chache nyuma nilikuwa na jamaa mmoja kanipa lifti kwenye gari yake nakaa nae mtaa mmoja.Kuna jamaa mmoja nilikutana nae katika ngazi za kielimu baada ya kunigundua jinsi nilivyo akaniambia "hukufaa kuishi kwenye hii karne! Karne hii si yako!! Karne za nyuma zingekufaa zaidi"
Aliniona si mtu wa kuwazungumzia watu na sipendi umbea. Nikitoka hostel asubuhi narudi jioni. Si mtu wa wanawake, sinywi pombe, sivuti sigara. Vipindi vya TV walivyokuwa wanaangalia wao mimi nilikuwa siviangalii nipo zangu chumbani. Si mtu wa starehe zinazopendwa na watu wanazoziita starehe. Si mtu wa kuvimba, ni simple man.
Sijali watu watanichukuliaje kimuonekano kwa sababu maisha ni mimi na mimi ndiye ninaejijua nipoje (kifedha). Maadamu najijua nipoje basi inanitosheleza mwenye moyoni mwangu. Kwa hiyo atakaye ni-define nipo hivi ama vile ni yeye mwenyewe ndiye ameni define na mimi simjaji.
Naamini katika nidhamu. Jamii ikiguswa na mimi naguswa, naweza nisionekane mtaani lakini yakitokea masuala ya ushirika wa kijamii nipo nitashiriki na halikadhalika nilikuwa hivyo hivyo hostel.
Ghafla tu kwa hiyo hali wengine wakawa wananiogopa. Wengine wakinifuata wananijia kwa nidhamu. Jamaa akaniambia hii karne haikufai.
Tabia ya kupenda kukaa peke yangu bila kuwa na mazoea sana na washakaji ama majirani, kuna siku niliumwa wakuu nikakaa ndani siku nzima nakunywa maji tu hakuna anayejua kama naumwa.
Homa ilinikamata vibaya nje sionekani washakaji na majirani wakajua ndio kawaida yangu kuwa ndani kumbe mwenzao maji ya shingo, niko mbali na familia, wife hayupo.
Nikapiga simu kwa wife, wife akasema huyu jamaa atakufa kwa sababu ananijua sina kampani, wife akasafiri kesho yake akaja ndio ikawa afadhali yanguhayo maana ugonjwa ukiwa peke yako unazidi.
Nikasema nikipona mimi jamani ntatafuta washkaji wa kutembeleana ili nikipata matatizo nisaidiwe, baada ya wiki kupona ndio kwanza nikazidi kujichimbia ndani na vitabu vyangu uchwara😀😀😀
Nashauri wakuu tujitahidini kuwa na watu wa karibu washkaji ama majirani, mimi imenishinda kidogo.
Inabidi ujikubali kuwa ndivyo ulivyo na unatakiwa kuishi hivyo. Ni maumbile na mimi niko kama wewe ila nimejikubaliTabia ya kupenda kukaa peke yangu bila kuwa na mazoea sana na washakaji ama majirani, kuna siku niliumwa wakuu nikakaa ndani siku nzima nakunywa maji tu hakuna anayejua kama naumwa.
Homa ilinikamata vibaya nje sionekani washakaji na majirani wakajua ndio kawaida yangu kuwa ndani kumbe mwenzao maji ya shingo, niko mbali na familia, wife hayupo.
Nikapiga simu kwa wife, wife akasema huyu jamaa atakufa kwa sababu ananijua sina kampani, wife akasafiri kesho yake akaja ndio ikawa afadhali yangu maana ugonjwa ukiwa peke yako unazidi.
Nikasema nikipona mimi jamani ntatafuta washkaji wa kutembeleana ili nikipata matatizo nisaidiwe, baada ya wiki kupona ndio kwanza nikazidi kujichimbia ndani na vitabu vyangu uchwara😀😀😀
Nashauri wakuu tujitahidini kuwa na watu wa karibu washkaji ama majirani, mimi imenishinda kidogo.
Linategemeana na wapi unalitumia jamaa yuko sawaIntrovert nikukosa relationship with any girl nijuavyo mm je ww?
Saivi sihangaiki na vile nilivyo.Inabidi ujikubali kuwa ndivyo ulivyo na unatakiwa kuishi hivyo. Ni maumbile na mimi niko kama wewe ila nimejikubali
Aisee hongera kwa kupata mnayeivana, maana "zodiac signs" zinaogofya...ukipata mtu ambaye hamuendani.Saivi sihangaiki na vile nilivyo.
Ninachofurahi hata mke eangu naye sio mtu wa vijiwe ama vibaraza na marafiki,naweza kaa na wife home siku nzima tunapiga story tunasahau hasa kama sie ni mke na mume.
Oooh swa .mkuuuUsikalili hilo neno
Linategemeana na wapi unalitumia jamaa yuko sawa
We upo km mimi, mi nataka maisha flani ya tarzani ila basi tu yani. Nikipata pesa nyingi nitaenda zangu porini huko kuanzisha familia.mimi ndo najiona nina matatizo kabisa sipendi kuwa na watu npo radhi nkakae porini nisikie sauti za ndege na wanyama huku nasoma vitabu ila watu sitaki mazoea nao nina watu wachache sana wamuhimu hawazidi watano.
😂😂😂bado cjafuzu kigezo cha kupewa uongoziUna cheo gani chaputa mkuu??
Hawa sijui introvert ndo watu gani aisee naombeni mnisaidie maan hili neno si geni na kila mtu anazungumza anavyojua.Hasara kubwa wanayopataga ni kukosa opportunities mbali mbali kama Job promotion/opportunity, kukosa wenzi sahihi, kukosa connection mbali mbali N.K.