Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

Ukiuliza wakutajie mfalme au rais wa palestina watakutajiq ni arafat ambaye ni mzaliwa wa misri
Ukweli ni kwamba hakukuwahi kuwa na mfalme au rais wa palestina
 
Ha ha ha ha ballistic missile ubaijua wewe? Ushushiwe hio utaficha nini? Kishindo na vumbi lake hadi Beirut lingeonekana.
Hayo wanayapiga sana tatizo Israel anajitahidi sana kuzuia taarifa zisitoke ila muda itafika watashindwa kuficha taarifa. Ballistic missiles ni mambo ya kawaida sana hapo Yemen wanayapiga Kila siku baharini.
 
Wao wanajua atakuja mwingine lkn lazima kuwe na utofauti .
Jezi no.10 pale Barcelona itavaliwa na wachezaji wengi lkn kumpata wa kiwango cha LEO M ni kubahatisha tu.
Wanaokuja ndio wakali zaidi ya wanaaondoka.
 
Mmeshindwa kumaliza ushoga tanzania sembuse huko kwingine ebu tuachane ndoto za alinacha tanzania tu hapa mashoga wanajionyesha waziwazi bila kificho
ukikomeshwa huko kwa waanzilishi hivi vishoga vya hapa vitaufyata
 
Tukwambie au tusikwambie?
 
Wao wanajua atakuja mwingine lkn lazima kuwe na utofauti .
Jezi no.10 pale Barcelona itavaliwa na wachezaji wengi lkn kumpata wa kiwango cha LEO M ni kubahatisha tu.

Kwani yeye ndiye anayepigana kwenye front ??
 
Kuna mabomu hayafukui ila yanagandamiza hio ardhi inakuwa ngumu zaidi ya jiwe, nadhani USA aliyatumia kule Afghanistan.
 
Ameshaliwa kichwa yakhe

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…