Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Ukiuliza wakutajie mfalme au rais wa palestina watakutajiq ni arafat ambaye ni mzaliwa wa misrindugu yangu, israel hakalii eneo hata moja la wapalestina, lile ni eneo lao. wapalestina ni wahamiaji wa kiarabu na kimisri wao wenyewe wameongea hilo na wanajijua. hapajawahi kuwepo nchi inaitwa palestina, hapajawahi kuwepo rais au mfalme wa kitu kinachoitwa palestina. ni jina tu la wahamiaji waliovamia nchi ya kiyahudi baada ya wayahudi kukimbia nchi tangu kipindi cha mfalme Nebukadreza na hawakuondoka wote, wapo wayahudi vizazi vilibaki pale hadi leo.
Hayo wanayapiga sana tatizo Israel anajitahidi sana kuzuia taarifa zisitoke ila muda itafika watashindwa kuficha taarifa. Ballistic missiles ni mambo ya kawaida sana hapo Yemen wanayapiga Kila siku baharini.Ha ha ha ha ballistic missile ubaijua wewe? Ushushiwe hio utaficha nini? Kishindo na vumbi lake hadi Beirut lingeonekana.
Magaidi wameua hadi TanzaniaHao hawajaenda makwao Ulaya na Marekani kumuuwa mtu
😂😂 wakimuua anateuliwa mwingine Tena. Kila mtu anaitamani hiyo nafasiKuna drone tayari ina picha inazurura angani inamsaka.
Mmeshindwa kumaliza ushoga tanzania sembuse huko kwingine ebu tuachane ndoto za alinacha tanzania tu hapa mashoga wanajionyesha waziwazi bila kifichohata mm niliitamani sana hii position...ushoga lazma umalizwe
Wao wanajua atakuja mwingine lkn lazima kuwe na utofauti .Wakimuua anakuja mwingine.
Wanaokuja ndio wakali zaidi ya wanaaondoka.Wao wanajua atakuja mwingine lkn lazima kuwe na utofauti .
Jezi no.10 pale Barcelona itavaliwa na wachezaji wengi lkn kumpata wa kiwango cha LEO M ni kubahatisha tu.
Msipo omba Amani na Israel mtakufa sana.Kuzidiwa na nini kwani hujui kifo ni haki ya kila mtu hata wewe na mimi ??
ukikomeshwa huko kwa waanzilishi hivi vishoga vya hapa vitaufyataMmeshindwa kumaliza ushoga tanzania sembuse huko kwingine ebu tuachane ndoto za alinacha tanzania tu hapa mashoga wanajionyesha waziwazi bila kificho
Tukwambie au tusikwambie?Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Msipo omba Amani na Israel mtakufa sana.
Wao wanajua atakuja mwingine lkn lazima kuwe na utofauti .
Jezi no.10 pale Barcelona itavaliwa na wachezaji wengi lkn kumpata wa kiwango cha LEO M ni kubahatisha tu.
na wengine si walitaka kufanya maandamano kwa nguvu wiki iliyopita ??Magaidi wameua hadi Tanzania
Magaidi? Wauawe tu. Hakuna kucheka na magaidi hata kidogo.na wengine si walitaka kufanya maandamano kwa nguvu wiki iliyopita ??
Mashoga 100 wa kiislamu?Wakati anatangulizwa atakua anasindikizwa na mashoga zaidi ya miamoja ambao nao watakua wametangulia kwa baba.
Kuna mabomu hayafukui ila yanagandamiza hio ardhi inakuwa ngumu zaidi ya jiwe, nadhani USA aliyatumia kule Afghanistan.Hayo mashimo labda wayadizaini kama yale ya vita vya Vietnam na USA: kona, kona, kona nyingine, kona tena ndiyo unamfikia 'kingunge'!
Hapo hakuna cha simu, hata ile ya kukoroga wala Radio call.
Ni messanger tu ndiye anayefanyakazi ya kutuma na kupokea barua zote ama kuagizwa kwa mdomo.
Barua hizo zinafunguliwa na kupitishwa maabara na kisha kusomwa kabla ya kukabidhiwa kwa boss.
Na mahandaki ya aina hiyo lisiwe ni moja, yawe ni mengi, leo anakaa hapa, kesho sehemu nyingine na chale zikimcheza kidogo tu anahama muda wowote.
Ni maisha zaidi jela.
Huyo ni Keyboard Warrior wa Jamii Forums. That's all.Nenda ukawasaidie kama imekuuma sanaa
Ameshaliwa kichwa yakheKatika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Christmass huko kote?Kabla ya Christmas nae atakuwa pamoja na Haniye & Nasrallah
Nimeona taarifa wamemla kichwaChristmass huko kote?