Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #41
Subiri tangazo rasmi linakuja.Al Jazeera nmeangalia sijaona. Israel washenzi wale wanakupiga wananyamaza wanakuacha mwenyewe ulie... Ila safari hii wameamua hasa. Irani anasemaje mpaka sasa?au bado ana unya unya tu? Maana Netanyau kasema hakuna sehemu wao hawawezi fika ndani ya Irani
Wewe ndio unaogopa kufa .kufa ni wajibuAmesha jifia while anaishi hatari sana
Hakuna amani bila kuwa na taifa huru la palestina hii ipo hivyo . Hii ni jihadHaina shida! Akiitakia amani Israel atapewa amani. Lau, akitaka vita mayahudi wanapenda vita haoo! Wanaijua vita waleee! Achague mwenyewe.
Naona jihad inapata ushindi kweli kweli! Rejoice!Hakuna amani bila kuwa na taifa huru la palestina hii ipo hivyo . Hii ni jihad
Wayaandae mengi maana hii vita haipoi ndio kwanza inaanza kama mlivyotangaziwa na Iran .Bomu lile umeliona lakini lina rangi ya chocolate
Za chinichini ni kwamba jamaa amegomea uteuziKatika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Muyahudi hataishi kwa amani mpaka Palestina ipate Uhuru wake , watakufa na kulala kwenye mahandaki mpaka kielewekeNaona jihad inapata ushindi kweli kweli! Rejoice!
Wataacha aunde ka baraza kwanza hope katakuwa na hao maulamaaNaye tayari kaingia kwenye tageti za IDF🤣🤣🤣
Tulisubiri toka kipindi kile wamemuua Rais.... Naona miezi tu inakatika. Sisi tunaumia. Why jamaa wanaendelea ku tugonga tu. Tena mpaka home.Subiri tangazo rasmi linakuja.
Haipogo hiyoo hiyo nafasi Kila mmoja anaswali na kuomba Mungu apitishwe hapo ni kama ameteuliwa kuwa papa mkuu.Za chinichini ni kwamba jamaa amegomea uteuzi
Israel huyu huku MWINGINE wamemteua fanyeni yenu KABLA hajaapishwaKatika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Ila mafilisti wao hawatakufa au sio? Unaua 10 mnauliwa 1,000 hiyo akili?Muyahudi hataishi kwa amani mpaka Palestina ipate Uhuru wake , watakufa na kulala kwenye mahandaki mpaka kieleweke
Wanaolala na kuishi kwenye Mahandaki ndo hao wamezikwa humo humo. Au umejichanganya sheikh? Na wanaokufa kwa idadi kubwa si tunawaona? Takwimu za Aljazeera unazo za Vifo na Majeruhi?Muyahudi hataishi kwa amani mpaka Palestina ipate Uhuru wake , watakufa na kulala kwenye mahandaki mpaka kieleweke
Subiri uone, ameshaikataa, linakuja jina lingineHaipogo hiyoo hiyo nafasi Kila mmoja anaswali na kuomba Mungu apitishwe hapo ni kama ameteuliwa kuwa papa mkuu.
Hawapoi na huku wanapopolewa kama kunguru?Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Kwani IDF hawafi?Hawapoi na huku wanapopolewa kama kunguru?
Hiyo nafasi Kila mmoja anaitamani. Ukiipata ni heshima kubwa sanaSubiri uone, ameshaikataa, linakuja jina lingine
Nikuulize wewe mvaa kobaziKwani IDF hawafi?
Wewe utaishi milele?Amesha jifia while anaishi hatari sana
Basi nishapata jibu mvaa kobazi.Nikuulize wewe mvaa kobazi