Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

Subiri tangazo rasmi linakuja.
 
Za chinichini ni kwamba jamaa amegomea uteuzi
 
Israel huyu huku MWINGINE wamemteua fanyeni yenu KABLA hajaapishwa
 
Muyahudi hataishi kwa amani mpaka Palestina ipate Uhuru wake , watakufa na kulala kwenye mahandaki mpaka kieleweke
Wanaolala na kuishi kwenye Mahandaki ndo hao wamezikwa humo humo. Au umejichanganya sheikh? Na wanaokufa kwa idadi kubwa si tunawaona? Takwimu za Aljazeera unazo za Vifo na Majeruhi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…