Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #61
Siyo rahisi hivyo Nasrallah wamemtafuta zaidi ya miaka 20. Sinwar mpaka Leo anawagonga na hawajui watampata wapiIsrael huyu huku MWINGINE wamemteua fanyeni yenu KABLA hajaapishwa
Hiz nafas watu wanaroga ili wasiteuliwe ,na wengine wanafanyia fitina wabaya wao wateuliweNaamini kwenye nafasi hizi hakuna kuleteana majungu au kulogana ili uipate. Hapa kupata hii chance ni death sentence, muda wowote unapotea
Na yeye tunamwua! Hicho kiti hakikalii hata miezi mitatu!Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Ukute ndiye aliyeuza ramani ya kumlengesha mwenzake kwa Israel .Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Unamuuwa na nani wewe mmatumbi tu uko zako mbwinde huko acha shobo na wayahudi watakupapasa makalio shauri yako.Na yeye tunamwua! Hicho kiti hakikalii hata miezi mitatu!
Mtafute bibi yangu Faizafoxy mwomboleze namna wafuasi wa Munyazimungu tunavyowaswaga!Unamuuwa na nani wewe mmatumbi tu uko zako mbwinde huko acha shobo na wayahudi watakupapasa makalio shauri yako.
Usiumie katika dhambi mbaya ni kukataa tamaa. Wapalestina wangekata tamaa kudai nchi Yao Leo hii kusingekua na hii vita.Kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah kimeniuma kiukweli.
Sote ni wa Allah na kwake tutarejea.
Wapange safu upya siyo mbaya!
Sasa wewe si uweke hapa hizo taarfa kutoka uko uliko zotoa ama wewe ni Secrete Service wa wa houthi!?🤣🤣Hezbollah Huwa hawafichi taarifa .hii wametangaza wenyewe official tofauti na Israel Leo asubuhi kapigwa ballistic missiles Tel Aviv kazuia media zisitowe taarifa.
Umenichekesha sanaaHiz nafas watu wanaroga ili wasiteuliwe ,na wengine wanafanyia fitina wabaya wao wateuliwe
Huyu kabla hata hamjajulishwa huko masjid kwenu IDF, Mossad, walishamjua miaka mingi kabla hivyo naye watammaliza vizuri tu.Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Hahahq hatar sana mkuu panya anayeteuliwa kumfunga paka kengele hawez kufurahiaUmenichekesha sanaa
Wewe mbona hauendelezi huo U jihad hapo bagamoyo kwa shemeji yako,Jihadi Huwa inaendelezwa mpaka mwisho wa vita Aidha ushinde au ushindwe labda wauee waislamu wote huku duniani . Kazi Bado ipo sana tuu msijipe moyo vibaraka wa wayahudi .
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630