Wanacho pambania ni nini?Vitani unabadilisha strategy unaendelea mbele madhaifu Yao siyo wao tu wanayajua hata sisi tunayajua. Kwani wewe hujui kwanini Israel anatamba uwanja wa vita? Hautakiwi kurudi nyuma ukirudi unampa adui ushindi. Hezbollah wapo vizuri sana ila wamezungukwa na ma spy wa Israel ambao ni wenzao lakini pia Israel anasapoti kubwa ya fedha na silaha za teknolojia ya juu kutoka marekani. Hapa juzi wameongezeka Dola Bilioni 8 kwahiyo ni kwamba jamaa wanapambana na jabali tuwape hongera wanajitahidi sana hawapaswi kukatishwa tamaa.
Palestine ipate Uhuru wakeWanacho pambania ni nini?
Hii isikupe tabu wapo kwenye foleni wengi sana Kila mmoja anaitamani hiyo nafasiKichwa kikingine kinaelekea KIBLA.
Kwanini usiende wasaidia?Jihadi Huwa inaendelezwa mpaka mwisho wa vita Aidha ushinde au ushindwe labda wauee waislamu wote huku duniani . Kazi Bado ipo sana tuu msijipe moyo vibaraka wa wayahudi .
πππ naendeleza nikiwa hapa JF . Halafu Mimi ni mkatoliki " pure" siyo wa kuunga unga ila sipendi uonevu.Wewe mbona hauendelezi huo U jihad hapo bagamoyo kwa shemeji yako,
Nikipata hiyo nafasi naendaKwanini usiende wasaidia?
Wamemuua nani? Netanyahu au nani? Wenzao Wana target wanalenga viongozi wa magaidi tuu na furushi la ndevu zao na hawana time na raia wema. Sasa wao wanajirushia tuuakombora hovyo ?Hezbollah Huwa hawafichi taarifa .hii wametangaza wenyewe official tofauti na Israel Leo asubuhi kapigwa ballistic missiles Tel Aviv kazuia media zisitowe taarifa.
Enemy Military bases and Other infrastructure sufferers huge losses within the Occupied Land of PalestineWamemuua nani? Netanyahu au nani? Wenzao Wana target wanalenga viongozi wa magaidi tuu na furushi la ndevu zao na hawana time na raia wema. Sasa wao wanajirushia tuuakombora hovyo ?
Sifurahii kifo cha mtu, isipokuwa nafurahia teknolojia waliyoitumia kumchinjia.Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
Sawa ,wote walio kwenye foleni watamalizwa ,leta KICHWA kata KICHWA operation inaendelea.Hii isikupe tabu wapo kwenye foleni wengi sana Kila mmoja anaitamani hiyo nafasi
Hayo mabomu " Bunker buster" yametolewa na marekani na Jana wametangaza kuongeza msaada wa Dola Bilioni 8 kwa Israeli na Ukraine Kila mmoja kwa kifupi hizi vita zote mbili anapigana USA na atakufa nazo muda siyo mrefu.Sifurahii kifo cha mtu, isipokuwa nafurahia teknolojia waliyoitumia kumchinjia.
Bomu la kufukua handaki mita 20 kwenda chini, hata Mmarekani kaapa kwamba hajawahi kuitumia wala hajawahi kuwa nayo.
Baada ya maangamizi hayo, Israel wamemueleza Iran kuwa wasimchukulie poa kwa kumletea ngebe zao, watamuondoa kiongozi yeyote yule anayeonesha chuki za dhahiri dhidi ya Taifa la Israel.
Na kweli Irani wameona kwamba Israel hajawahi kutoa vitisho, yeye hutenda.
Kwa sasa Mheshimiwa Ayatolah Khameni kafichwa kusikojulikana.
Acha makasiriko mkuu πWakati anatangulizwa atakua anasindikizwa na mashoga zaidi ya miamoja ambao nao watakua wametangulia kwa baba.
USA nitajiri weweHayo mabomu " Bunker buster" yametolewa na marekani na Jana wametangaza kuongeza msaada wa Dola Bilioni 8 kwa Israeli na Ukraine Kila mmoja kwa kifupi hizi vita zote mbili anapigana USA na atakufa nazo muda siyo mrefu.
Nae kuna watamrithi na wako jiwe kweli kweli.Kufa siyo ajabu kwani wewe hautakufa au unadhani Netanyahu ataishi milele?
Kashaanza kukatwa pingili za miguu tuombe uzima tutajionea . Russia anamnyoosha mbaya kabisaa.USA nitajiri wewe
Niko poa kabisa usihofu kamandaAcha makasiriko mkuu π
Nenda frontline kule Lebanon ukawasaidie.πππ naendeleza nikiwa hapa JF . Halafu Mimi ni mkatoliki " pure" siyo wa kuunga unga ila sipendi uonevu.
Kazuia watu kupiga picha ila wewe huko Tandale umeziona!?Hezbollah Huwa hawafichi taarifa .hii wametangaza wenyewe official tofauti na Israel Leo asubuhi kapigwa ballistic missiles Tel Aviv kazuia media zisitowe taarifa.