Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

Mi nafikiri kwa "busara yako kubwa", ungemjibu Mzee Rungwe kwa kutaja viwanda alivyojenga Magufuli katika miaka yake 5. Badala yake unatoa lawama ambazo hazina msingi. Jibu hoja kwa hoja, siyo porojo.
 
Alisema inajenga siyo imejenga, mnamponda marehemu wakati hata nyinyi kiswahili kinawapiga chenga.Hili swali aulizwe mama viko wapi viwanda vilivyokuwa vinajengwa na marehemu?
 
Acha porojo,tuonyeshe kiwanda hata kimoja.
 
Alisema inajenga siyo imejenga, mnamponda marehemu wakati hata nyinyi kiswahili kinawapiga chenga.Hili swali aulizwe mama viko wapi viwanda vilivyokuwa vinajengwa na marehemu?
Kabla hatujamuuliza huyo mama utueleze hivyo viwanda vilivyokuwa vinajengwa viko wapi. Kwamba tangu 2015 mpaka 2021 alikuwa anavijenga bado, viko wapi na vilitarajiwa kukamilika lini
 
Kabla hatujamuuliza huyo mama utueleze hivyo viwanda vilivyokuwa vinajengwa viko wapi. Kwamba tangu 2015 mpaka 2021 alikuwa anavijenga bado, viko wapi na vilitarajiwa kukamilika lini
Vipo Tanzania.Vinatarajiwa kukamilika lini aulizwe muheshimiwa Samia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…