Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Nawasikitikia Sana wajukuu zake maana kumuita Babu mtu kama huyu ni aibu, ninachojua mpaka mtu astahili kuitwa Babu anatakiwa kuonesha kiwango cha hekima na busara kisichotiliwa shaka.
Mzee Rungwe leo kadhalilisha wazee wenye rika Kama lake bora angekaa kimya tusingejua uzee wake
Kupitia mlango upi?Lakini Tanzania iliingia uchumi wa kati
Wewe hata hiyo K yako iliyosinyaa ni kiwanda piaHata shanga zako ni Kiwanda pia
Labda Mwijage atusaidieKwenye hii comment sijaona mahali umeonesha kiwanda alichojenga Magufuli. Wakati ule tuliambiwa vimejengwa viwanda 3000, viko wapi?
Acha porojo,tuonyeshe kiwanda hata kimoja.Dah...Kwa Umri Wake Yule Mzee hakika ilikuwa ndo awe Mfano wa Wapinzani Makini, Lkn Kila nikimwangalia Sioni Uwakilishi Wa Upinzani makini...!
Nadhani hata Yeye Mwenyewe Kajiweka Kundi La Upinzani Wa jokes ndo Mana Kwenye Kampeni zake Alikuwa anatembea na MAHOTIPOTI Ya Ubwabwa.
Yawezekana Hakuna Kiwanda Kilichokamilika...Lkn ni Kweli Vyote vilivyokuwepo kwenye Ilani ya chama Hakuna kilichokamilika...!
Ipo haja Kuomba Mungu wakati Unazeeka Uzeeke Vizuri.
Kabla hatujamuuliza huyo mama utueleze hivyo viwanda vilivyokuwa vinajengwa viko wapi. Kwamba tangu 2015 mpaka 2021 alikuwa anavijenga bado, viko wapi na vilitarajiwa kukamilika liniAlisema inajenga siyo imejenga, mnamponda marehemu wakati hata nyinyi kiswahili kinawapiga chenga.Hili swali aulizwe mama viko wapi viwanda vilivyokuwa vinajengwa na marehemu?
Onyesha kiwanda wewe Mataga YatimaHuyo mzee Anazeeka,hata sisi Sote Tutazeeka isipokuwa yeye Anazeeka Vibaya..!
Anayo sifa Ya Kung'ang'ania Nafasi Kama Rafiki Yake Mbowe...... Hivi mmeshamuuliza 2025 Atagombania tena Uraisi na Zile Sera Zake Za 'Ubwabwa'..
Vipo Tanzania.Vinatarajiwa kukamilika lini aulizwe muheshimiwa Samia.Kabla hatujamuuliza huyo mama utueleze hivyo viwanda vilivyokuwa vinajengwa viko wapi. Kwamba tangu 2015 mpaka 2021 alikuwa anavijenga bado, viko wapi na vilitarajiwa kukamilika lini
Hicho Kiwanda kinaitwaje na kinazalisha nini? Usije kunitajia Kiwanda cha Asas maana kilikuwepo tangu ya Utawala wake.Mwaka 2018 tarehe 02 mei Hayati Magufuli alifungua kiwanda kikubwa Sana kule Iringa na siku hiyo nilikuwepo ,nimekupa mfano hai kabisa. Haya huyo Babu anaposema uongo anamaanisha nini?
Hivi hatuwezi kama taifa tukatenga siku maalumu ya kumfukua na kumchapa viboko?Yule jamaa yenu hakuna mtu mwenye akili timamu hata mmja anamsemea vizuri 😆😆😆😆
Labda katikati ya masaburi yako,tutajie hata kiwanda kimoja cha Kayafa.Lakini Tanzania iliingia uchumi wa kati
In babu Duni's voiceMagufuli kwisha kwisha kwisha kabisa
Yaani! Nawaonea huruma Sana. Goti limekaba shingo za legacy gang, hawapumui Kama George Floyd.Dah hapa wafuasi wa jiwe wamebanwa mbavu kweli kweli.
Mzee Rungwe ni Wakili Msomi sio kama yule fascist tapeli,muuaji aliekufa na PhD fake ya maganda ya korosho.Akili timamu ni za Rungwe kweli? Tusiabishe watu wenye akili timamu