Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

Rwandan-based Smartphone Factory

Rwanda's President Paul Kagame inaugurated what is being described as Africa's "first high tech smartphone factory" in the country's capital Kigali.
Mara Phones opened its $24 million smartphone factory in Kigali, Rwanda on October 7, 2019.
President Kagame hailed the launch as another breakthrough for development in Rwanda, which has enjoyed rapid economic growth in recent years and gained a reputation as a hub of innovation.

The factory has over 200 employees and has the capacity to produce 1,200 smartphones daily.

1652589848081.png


1652589881209.png


1652589903715.png

1652589920506.png

1652589940585.png
 
Viwanda vingi Sana vimejengwa mkuranga mfano Rhino cement, tiles, kiwanda cha nyama, kiwanda cha matunda cha Azam, we unaishi mkoa gani?
Sasa hivyo ndiyo vimejengwa na serikali ya jiwe?
 
Alisema inajenga siyo imejenga, mnamponda marehemu wakati hata nyinyi kiswahili kinawapiga chenga.Hili swali aulizwe mama viko wapi viwanda vilivyokuwa vinajengwa na marehemu?
Alikua anazindua nn Sasa Kama anajenga
 
Amesema anaomba aoneshwe hata kiwanda kimoja kilichojengwa na serikali ya Magufuli.

Amesema utawala wake ndiyo umesababisha ukame wa ajira kwa vijana mpk kuibuka kwa panyaroad.

Legacy kwisha! Kwisha kabisaaaa!

Chanzo: Hashimu Rungwe anahojiwa startv muda huu.
View attachment 2224647

View attachment 2224648

Hashimu Rungwe, Hata sasa mungu asipoingilia Kati tunaelekea kupata matatizo makubwa sana.​

 
Rhino cement ni kiwanda kilikuwapo tangu 2013 au 2014.

Usimhusushe Azam na sera zenu za viwanda FAKE kwani yeye yupo kwenye industry kabla hata Magufuli hajapata degree yake ya kwanza UDSM
Jiwe alikuwa mhuni. Alikuwa anazindua hata miradi iliyokwisha zinduliwa kabla. Mfano alizindua mradi wa mabasi yaendayo kasi jijini DSM wakati rais Kikwete aliuzindua kabla
 
Rungwe kwa vile ni wakili basi unajua hawezi kuwa mpumbavu! Huyo alitaka kuwa Rais kwa kuahidi ubwabwa! Nyinyi mnapenda sana kuabudu watu kisa anahela au elimu! Rungwe kwenye kundi la wazee wapumbavu hawezi kukosekana kwa kuwa hana maarifa ana elimu tu! The application of knowledge is power! Huyo hana hiyo Sifa ya knowledge application ndo maana anazungumza ujinga na mpumbavu!
 
Nataka kwenda kinyume nae..ila wanachojibu huku vijana wa lumumba..ni dhahiri kwamba ni kwel hakujenga kiwanda hata kimoja....wao hawataji hicho kiwanda zaid ya kumtukana mzee wa watu
 
Mwaka 2018 tarehe 02 mei Hayati Magufuli alifungua kiwanda kikubwa Sana kule Iringa na siku hiyo nilikuwepo ,nimekupa mfano hai kabisa. Haya huyo Babu anaposema uongo anamaanisha nini?
Cha serikali kwani, mbona hata Moro Kuna viwanda vitatu alifungua, Cha mchele, choroko na sigara,. Vya wawekezaji, wahindi.
 
Lete picha za kikwete akizindua mradi wa mabasi ya mwendo kasi! Huyo zungukuku wako hana lolote!,,,,,
 
Ta
Rungwe kwa vile ni wakili basi unajua hawezi kuwa mpumbavu! Huyo alitaka kuwa Rais kwa kuahidi ubwabwa! Nyinyi mnapenda sana kuabudu watu kisa anahela au elimu! Rungwe kwenye kundi la wazee wapumbavu hawezi kukosekana kwa kuwa hana maarifa ana elimu tu! The application of knowledge is power! Huyo hana hiyo Sifa ya knowledge application ndo maana anazungumza ujinga na mpumbavu!
Taja hivyo viwanda acha blaa blaa
 
Acha Kuvitetea hivi 'Vibabu' Mbowe na Rungwe..... yaani Watu tupo shule za Sekondari vyenyewe vipo kwenye nafasi Ya Mwenyekiti..! Tukapiga hatua Vyuo bado vipo Palepale...!

Tumebangaliza Wee mtaani na bahasha Za Vyeti kutafuta kazi hapa na pale na Sasa Tupo sehemu tunapiga Mzigo..!

Kutahamaki Bado hivi Vizee Vipo pale pale..! Hivi Katiba Zao huko Zinasemaje jama.?
Madai ya Katiba mpya ni Bora Yangeanzia ndani Ya Vyama..!

Haiwezekani Wewe uwe na Kiongozi tena nafasi M/kiti hujui Ukomo wa Nafasi Hiyo ni lini...? Watu wanapokezana vijiti Yeye Kavimba tu...!
Uliza nini Kimefanyika nitiririke kile ambacho tangu Uhuru watangulizi Walijitahidi kufanya wakapata changamoto ya Panya buku.....
Onyesha kiwanda cha Magufuli acha kujizungusha
 
Back
Top Bottom