Sasa hivyo ndiyo vimejengwa na serikali ya jiwe?Viwanda vingi Sana vimejengwa mkuranga mfano Rhino cement, tiles, kiwanda cha nyama, kiwanda cha matunda cha Azam, we unaishi mkoa gani?
Alikua anazindua nn Sasa Kama anajengaAlisema inajenga siyo imejenga, mnamponda marehemu wakati hata nyinyi kiswahili kinawapiga chenga.Hili swali aulizwe mama viko wapi viwanda vilivyokuwa vinajengwa na marehemu?
Amesema anaomba aoneshwe hata kiwanda kimoja kilichojengwa na serikali ya Magufuli.
Amesema utawala wake ndiyo umesababisha ukame wa ajira kwa vijana mpk kuibuka kwa panyaroad.
Legacy kwisha! Kwisha kabisaaaa!
Chanzo: Hashimu Rungwe anahojiwa startv muda huu.
View attachment 2224647
View attachment 2224648
Inawezekana kabisa mkuu maana kaleta hasara kubwa Sana hapa Nchini 😆😆Hivi hatuwezi kama taifa tukatenga siku maalumu ya kumfukua na kumchapa viboko?
Kwa sisi masikini tungekula mtu akikupa mlo mmoja kakusevu kwa Maisha ya Leo.Mtu anaomba kura kupitia ubwabwa uadhani anayo akili huyo.
#MaendeleoHayanaChama
Jiwe alikuwa mhuni. Alikuwa anazindua hata miradi iliyokwisha zinduliwa kabla. Mfano alizindua mradi wa mabasi yaendayo kasi jijini DSM wakati rais Kikwete aliuzindua kablaRhino cement ni kiwanda kilikuwapo tangu 2013 au 2014.
Usimhusushe Azam na sera zenu za viwanda FAKE kwani yeye yupo kwenye industry kabla hata Magufuli hajapata degree yake ya kwanza UDSM
Cha serikali kwani, mbona hata Moro Kuna viwanda vitatu alifungua, Cha mchele, choroko na sigara,. Vya wawekezaji, wahindi.Mwaka 2018 tarehe 02 mei Hayati Magufuli alifungua kiwanda kikubwa Sana kule Iringa na siku hiyo nilikuwepo ,nimekupa mfano hai kabisa. Haya huyo Babu anaposema uongo anamaanisha nini?
Taja hivyo viwanda acha blaa blaaRungwe kwa vile ni wakili basi unajua hawezi kuwa mpumbavu! Huyo alitaka kuwa Rais kwa kuahidi ubwabwa! Nyinyi mnapenda sana kuabudu watu kisa anahela au elimu! Rungwe kwenye kundi la wazee wapumbavu hawezi kukosekana kwa kuwa hana maarifa ana elimu tu! The application of knowledge is power! Huyo hana hiyo Sifa ya knowledge application ndo maana anazungumza ujinga na mpumbavu!
Onyesha kiwanda cha Magufuli acha kujizungushaAcha Kuvitetea hivi 'Vibabu' Mbowe na Rungwe..... yaani Watu tupo shule za Sekondari vyenyewe vipo kwenye nafasi Ya Mwenyekiti..! Tukapiga hatua Vyuo bado vipo Palepale...!
Tumebangaliza Wee mtaani na bahasha Za Vyeti kutafuta kazi hapa na pale na Sasa Tupo sehemu tunapiga Mzigo..!
Kutahamaki Bado hivi Vizee Vipo pale pale..! Hivi Katiba Zao huko Zinasemaje jama.?
Madai ya Katiba mpya ni Bora Yangeanzia ndani Ya Vyama..!
Haiwezekani Wewe uwe na Kiongozi tena nafasi M/kiti hujui Ukomo wa Nafasi Hiyo ni lini...? Watu wanapokezana vijiti Yeye Kavimba tu...!
Uliza nini Kimefanyika nitiririke kile ambacho tangu Uhuru watangulizi Walijitahidi kufanya wakapata changamoto ya Panya buku.....
Onyesha kiwanda acha kujizungushaWewe mtu na akili zake aligombea urais anasema sera yake ni kugawa ubwabwa bado mna argue nae?
Huku unaimba viwanda, huku unatisha wenye viwanda na mawazo ya kujenga viwanda, ie MOSawa serikali ya Samia itajenga na kuzalisha ajira mamilioni
Hahahaha.. aisee.Viwanda vingi Sana vimejengwa mkuranga mfano Rhino cement, tiles, kiwanda cha nyama, kiwanda cha matunda cha Azam, we unaishi mkoa gani?
Tuseme ukweli tu, huyu Magufuli isingekuwa ana lile faili lake la Mirembe, angeweza kuwa rais mzuriAjira zilikiwepo bwana sema si kwa wingi! Hata sasa ajira ni zile zile si nyingi!
Mkuu naomba kujua umri wakoLete picha za kikwete akizindua mradi wa mabasi ya mwendo kasi! Huyo zungukuku wako hana lolote!,,,,,