Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

Naona mmekomaa na kutaja viwanda. Viwanda na kampuni zenye ajira kubwa zilizoanza wakati wa Magufuli, kwa kutaja chache:
Gas Security Services ($221million)
Jambo Foods ($130millions)
KAMAKA Co. ($92million)
Red Earth ($52million)
ASCO Taduing ($39million)
Five Star Pinter (($11million)
Hivi ni wanda vichache kati vingi vilivyoanzishwa wakati wa Magufuli. Ukitaka list jaribu kuingia katika tovuti za serkali mwenyewe. Kwa msaada fuata hii tovuti ifuatayo: https://www.dnb.com/business-directory/company-information.manufacturing.tz.html
We jamaa mweupe kabisa! Hujui lolote kwenye viwanda umekalia kuimba mapambio tu na sound za Mwendazake.

Five star printers ya Masumini ipo kitambo kabla ya Magu. Jambo Food ya Salim Mbuzi wa Shinyanga ipo tangu wakati wa Kikwete. Huyo gas security service ndio nini sasa? Hakuna kiwanda kinaenda kwa jina hilo!
 
Kutaja tu haitoshi. Mwambie aseme viko wapi na kila kiwanda hicho kilianzishwa mwaka gani...

Hiki cha Jambo Food it just happened kuwa nakifahamu na kumkatalia uongo wake...

By the way, kuna kiwanda fulani cha madawa huko Mwanza maeneo ya Buhongwa/Nyashishi kiliwahi kuanzishwa na kufunguliwa/zinduliwa wakati wa Jakaya Kikwete...

Lakini kwa kupenda sifa za kijinga, huyu John Pombe Magufuli anayelazimishiwa kupakwa legacy isiyokuwepo wala kustahili, eti naye wakati fulani akakizindua tena..!

Likely, "THE SUKUMA GANG" wakaja hapa na kukiweka ktk orodha ya hivyo vinavyoitwa "viwanda vya legacy ya Magufuli" vya aliyekuwa dikteta uchwara huyo..!!

Jamaa huyu Magufuli alikuwaga mwongio sana. Na kwa kweli, haikufaaga tuwe na Rais mwongo kiasi kile...

Nimesema hivi, hao "SUKUMA GANG" waache kutengeneza takwimu za kisiasa eti tu kujaribu kuisifu na kuiabudu maiti ya mtu aitwaye Magufuli inayooza mavumbini...

Nimesema pia kuwa, huo ni ujinga na ni upambavu wa mwanadamu anayeishi chini ya jua...
Hata kiwanda cha tiles Mkuranga, JK alizindua kwanza
Daraja la Tanzanite Kikwete alizindua ujenzi na yeye akaja kuzindua,

Kuna baadhi ya barabara Kikwete alizijenga na kuzindua na yeye akajakuzifungua!

Jambo ni madon WA siku nyingi Shinyanga!
 
We jamaa mweupe kabisa! Hujui lolote kwenye viwanda umekalia kuimba mapambio tu na sound za Mwendazake.

Five star printers ya Masumini ipo kitambo kabla ya Magu. Jambo Food ya Salim Mbuzi wa Shinyanga ipo tangu wakati wa Kikwete. Huyo gas security service ndio nini sasa? Hakuna kiwanda kinaenda kwa jina hilo!
Kwamba hakuna kiwanda kinachotoa services za gas na security? 🙄
Hatare.
 
Huyu Hashimu alinikosha sana wakati fulani wa awamu ya uongozi ulopita,

Alisuta mtu yule alisema ananyoosha nchi. [emoji14][emoji14][emoji14]

Akauliza ; Kwani nchi imepindia wapi? [emoji2369][emoji2369]

Akauliza imepinda Kwa ubungo au kariakoo?


Akasema mbona kariakoo inang’ara?!

Mwendokasi Je ?!

Huyu mzee alijua kunikosha sana wakati ule [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Akasema;

“ nasikia kuna watu wanatamba na kujisifu eti wananunua ndege,

Kwani kununua ndege kuna ugumu gani ? Si ni kuamua kuchukua hela hazina/bot na kununua ?

Kwani marais walopita walishindwa kufanya hivyo ?

Isipokuwa walikuwa wanazingatia vipaombele kwanza.

[emoji1787][emoji1787]

Huyu mzee nampendaga sana!

Yani anajua kuwakilisha!

Popote ulipo Mwenyezi Mungu azidi kukuweka @ Hashim Rungwe
 
Aliongelea kuona viwanda sio kujua taarifa za hivyo viwanda. Ajue taarifa za uhakika za hivyo viwanda kwani alikuwa anataka kuvinunua?
Akili yako yote imehamia kwenye ubwabwa wa huyo jamaa, si bure!
Kwani akishaona what next?
 
Dah...Kwa Umri Wake Yule Mzee hakika ilikuwa ndo awe Mfano wa Wapinzani Makini, Lkn Kila nikimwangalia Sioni Uwakilishi Wa Upinzani makini...!

Nadhani hata Yeye Mwenyewe Kajiweka Kundi La Upinzani Wa jokes ndo Mana Kwenye Kampeni zake Alikuwa anatembea na MAHOTIPOTI Ya Ubwabwa.

Yawezekana Hakuna Kiwanda Kilichokamilika...Lkn ni Kweli Vyote vilivyokuwepo kwenye Ilani ya chama Hakuna kilichokamilika...!
Ipo haja Kuomba Mungu wakati Unazeeka Uzeeke Vizuri.
Muonyesheni viwanda vilivyojengwa na serikali ya Magufuli, just simple yeye hana tatizo wekeni orodha na mahali vilipo
 
Mwaka 2018 tarehe 02 mei Hayati Magufuli alifungua kiwanda kikubwa Sana kule Iringa na siku hiyo nilikuwepo ,nimekupa mfano hai kabisa. Haya huyo Babu anaposema uongo anamaanisha nini?
Mkuu kiwanda gani hicho kikubwa kilichofunguliwa Mkoa wa Iringa?
Acha uwongo na kushabikia vitu visivyo vya kweli
 
Nguvu kubwa ya watu wa kipato Cha kati na juu inatumika kuondoa LEGACY ya MWAMBA
Tunajisahaulisha kuwa huko kwa wananchi wa daraja la tatu UZUSHI wetu hauna nafasi!!

Na ukihitaji kwa urahisi na HARAKA KUPIGWA mawe huko kwa wananchi halisi basi Mimi na wewe tubebe hoja hizi na kuzifikisha kwao
Legacy hailindwi,madaraja sijui sgr sio legacy
 
Naona mmekomaa na kutaja viwanda. Viwanda na kampuni zenye ajira kubwa zilizoanza wakati wa Magufuli, kwa kutaja chache:
Gas Security Services ($221million)
Jambo Foods ($130millions)
KAMAKA Co. ($92million)
Red Earth ($52million)
ASCO Taduing ($39million)
Five Star Pinter (($11million)
Hivi ni wanda vichache kati vingi vilivyoanzishwa wakati wa Magufuli. Ukitaka list jaribu kuingia katika tovuti za serkali mwenyewe. Kwa msaada fuata hii tovuti ifuatayo: https://www.dnb.com/business-directory/company-information.manufacturing.tz.html
Yaani huto tuviwanda twa juice ndio kiwanda kikubwa? Una akili timamu?

Kama hivyo ni viwanda vikubwa na hivi tuviitaje?👇

Screenshot_20220513-104418.png


Screenshot_20220513-160510.png


Screenshot_20220513-160416.png
 
Watu wasiomuelewa Magufuli wana upofu wa maana…elimu ya mkoloni imefanikiwa kwao..na sidhani km wataona in this lifetime…tuzidi kuomba Mungu atupatie kiongozi mwenye macho na ujasiri km JPM


Nikiwaza zaidi Nyerere alipata shida sana kuongoza kipindi kile…taifa la watu wajinga…akapambana akapeleka shule wakaelimika baadae akaja kugundua mtu anaweza akasoma ila uzalendo na kuitumia elimu kwa manufaa ya wananchi inategemea na utashi wa mtu na ni zawadi kwa Mungu…

Asante Mungu kwakutupa JPM umlaze mahali pema peponi…
Wajinga kama wewe na huyo uliyemtaja ndio mnaona hao ni WA maana..

Uko na lundo la wajinga na maskini utapataje shida?

Nyerere wako ndie alikuwa anatoa elimu kwa wachache Ili wengi wawe wajinga iwe rahisi kuwatawala..

Ndivyo yule poyoyo nae alikuwa anafanya hivyo,yeye akaenda mbali zaidi kuwafukafisha,stupid kabisa Bora limejifia huko.
 
Nawasikitikia Sana wajukuu zake maana kumuita Babu mtu kama huyu ni aibu, ninachojua mpaka mtu astahili kuitwa Babu anatakiwa kuonesha kiwango cha hekima na busara kisichotiliwa shaka.

Mzee Rungwe leo kadhalilisha wazee wenye rika Kama lake bora angekaa kimya tusingejua uzee wake
Makasiriko ya Nini we mzee? Si uoneshe kiwanda basi hata kimoja kwa miaka hiyo mitano?
 
Umeingiza JAMBO FOOD nikajua moja kwa moja huu ni uongo...

Mimi naishi Shinyanga mkubwa. JAMBO FOOD a.k.a JAMUKAYA iko Shinyanga. Kiwanda hiki kimekuwepo miaka mingi hata kabla John Pombe Magufuli hajaota kuwa Rais..

Jambo Food alianza uwekezaji wake miaka mingi kabla hata ya Jakaya Kikwete kuwa Rais.

Jambo alianza kwa kujikita zaidi kwenye COTTON GINNING [GINNERIES] na baadaye baadaye akajiingiza kwenye sekta ya vyakula na vinywaji...

Labda ili wueleweke kwa urahisi, taja kiwanda na mwaka kilipoanza. Hii itasaidia watu kufanya follow up....

Otherwise, acheni kutoa data za kupika kwa manufaa ya kisiasa eti tu kumuinua na kui - please maiti ya mtu aliyekwisha kufa na kuoza chini ya ardhi...!!

Huu sio ujinga na UPUMBAVU kweli..?
Yule mtu wao alikuwa taahira Sana,alikwenda Iringa eti kuzindua kiwanda ukiona sasa wala sio kiwanda bali ni incubators za kutotoshelea mayai na kulea vifaranga..

Kampuni ilikuwepo miaka mingi..Tajiri yupi ambae aliingiza pesa kipindi cha Dhalimu,hajipendi?

Ona hapa uwekezaji ulivyoanguka kipindi chake na Sasa Hali ilivyo 👇

Screenshot_20220512-130134.png
 
The general Tyre ya Arusha ilihitajika Kia's Cha bilion Kam 10 HV kufufuliwa na kufungwa mitambo mipya ili iweze kuzaliasha Tyre na kuuza nnchi nzima ila ajabu pesa hzo zipo zinatafunwa tu kwa kujengewa madaraja ya busis na kuzindua royal tour

Hcho kiwanda kingeajiri wanachato 3000 ajira za kudumu

Hata angefufua na kumpa ukurugenzi mwanae au doto James ingewasadia wanna chato
Viwanda outdated havifufuliwi bali vinajengwa upya wewe tumbili..

Vipuri vya miaka ya 60s utavipata wapi?

Ndio maana yule mtu wenu alienda Morogoro eti akaanza kumbwatukia Abood kwamba hajafufua viwanda toka kapewa..

Hivyo viwanda vya zamani vikivyokufa ni kama unapewa plot tena inayokuongezea fixed costs kwa kuanza kufumua kila kitu Ili uweke structure mpya..

Ni better ukachukua eneo virgin.
 
Mwanza Kiwanda cha dhahabu.
Labda kama alienda kuweka Jiwe la msingi ila Samia ndio alizindua hicho kiwanda.

Kahama na Kigamboni kwa Taifa gas ndio niliona anazindua mitambo ya kujaza gas kwenye mitungu na storage zake eti ndio viwanda 😆😆

Screenshot_20220516-083617.png
 
Back
Top Bottom