EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #181
Daudi hakuwahi kuwa NABII πππSoma Bible vizuri ,Nabii Daudi (Peace be upon him ) kapigana vita nyingi sana na hata ndani ya bible kuna vita nyingi sana za kidini zimezungumzwa.
Daudi hakuwahi kuwa NABII πππ
Halafu Sauli akachukua madem na mifugoπ€£π€£Inasikitisha sana haya yapo katika bible ,tokea enzi watu wanampigania Mungu.View attachment 2675835
Itafutie sehem Daudi alitoa unabii.
Hizo ni chai .Halafu Sauli akachukua madem na mifugoπ€£π€£
unajua kilichomtokea Sauli?? Soma sura nzima
Acha kuokoteza vijimistari kujifariji.
Unajua ugomvi wa Waamaleki na Israel /Yuda?
Kasome halafu njoo yujadili
Kila mtu abaki anavyoamini mimi nitaamini kama Nabii wa Allah wewe baki unavyoamini ,content yangu ni kwamba mapigano katika bible yapo mengi na vita vya kumpigania Mungu huo ndio ulikuwa msingi wa mjadala sasa mmeikuza hoja ya Unabii na kuiacha hiyo.N
Itafutie sehem Daudi alitoa unabii.
Basi elewa DAUDI hajawahi kuwa NABIIKila mtu abaki anavyoamini mimi nitaamini kama Nabii wa Allah wewe baki unavyoamini ,content yangu ni kwamba mapigano katika bible yapo mengi na vita vya kumpigania Mungu huo ndio ulikuwa msingi wa mjadala sasa mmeikuza hoja ya Unabii na kuiacha hiyo.
Kuna watu akili hamna kabisa nasi kama hivyo mahekalu Yerusalem yasingebomolewa na wahuni tu na huyo mnayemuita Yesu asipigwa misumari ya nguvu na Makanisa yasingeharibiwa na kuibiwa ,watu wema wasingekufa.
Kasome Biblia, mbona kuna sehemu unainukuu?Hizo ni chai .
Huo muda wa kujadili hayo mimi sina , majadiliano ya kuthibisha Allah yupo huwezi kunikuta napoteza muda wangu kujadilina na mtu haswa akiwa amekuja kwa gia ya ubishi na sio kujifunza na kuelewa.Sijui unaongelea nini lakini huwezi thibitisha allah yupo au yesu yupo ni stori za vijiweni
Thibitisha hao uliowataja hapo juu wapo?
Daudi yupi alikuwa nabii wa Alah?Kila mtu abaki anavyoamini mimi nitaamini kama Nabii wa Allah wewe baki unavyoamini ,content yangu ni kwamba mapigano katika bible yapo mengi na vita vya kumpigania Mungu huo ndio ulikuwa msingi wa mjadala sasa mmeikuza hoja ya Unabii na kuiacha hiyo.
Huo muda wa kujadili hayo mimi sina , majadiliano ya kuthibisha Allah yupo huwezi kunikuta napoteza muda wangu kujadilina na mtu haswa akiwa amekuja kwa gia ya ubishi na sio kujifunza na kuelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] futuhi zako tafuta kwa kupelekaaa, sio hapa JF lolKwa sababu Uislam ndio dini ya asili. Dini iliyofundishwa na kufuatwa na Mitume yote. Na hakuna dini mbele ya Allah, Muumba wa kila kitu, isipokuwa Uislam. Na anayechagua Dini isiyokuwa ya Uislam haitakubaliwa kwake na akhera atakuwa ni mwenye hasara.
Ukristo sio dini ya asili kutoka kwa Allah, ni dini iliyoundwa tu na watu muda mrefu baada ya Yesu kuondoka, kisha wakamnasibishia nayo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekeshaa kweliiii.Sio kwetu sisi tu, Uislam ndio kweli hata kama watu wengi wa magharibi hawaufuati, na utaenea tu kote watu warudi katika asili yao. Pili, ukristo katika nchi za magharibi ni dhaifu tofauti na miaka iliyopita na unaendelea kudhoofika. Hakuna hata nchi moja ya magharibi utakayoiita ya kikristo kiukweli hivi sasa. Hivyo sio dominant. Tatu wakristo, hata wakipigania kueneza dini yao, hawatofaulu, sababu ukristo sio ukweli na sisi hatulazimishi watu watufuate tunachotaka sisi, hasha! Bali Uislam ndio ukweli, nasi tunalingania kweli hii na ukweli ndio wenye kushinda mwisho wa siku;
Qur-an 17:81
View attachment 2675661
81. Na sema: Kweli imefika, na uwongo umetoweka. Hakika uwongo lazima utoweke!
WaIsrseli sio wanadamamu na viumbe wale mpaka uwezekano wa kuwepo Nabii wake ukosekane ? sio yeye tu mbona wengi kutokea Israeli ni Mnabii wake mfanao Musa ,Harun ,Suleyman nkDaudi yupi alikuwa nabii wa Alah?
Nyie watu nyie...[emoji1787]
Nyie ndio mnasemaga Yesu alikuwa nabii wa Alah...Yaani kuna vitu hata kuvisema wewe mwenyewe unaona haviji kabisa.
Alah na manabii wa Israel wapi na wapi???
Childhood mate, in African countries the religion is an opium that has massively improved people to have insanities...[emoji16]Kwa hiyo waislamu wa taifa fulani wakichoma moto waKristo au Kuwachinja wa Kristo, tuwafukuze mabalozi wao sio?? Morocco has acted unwisely......Walio anzisha Uislamu wa saudi arabia wenyewe hawajafukuza Balozi, Hawa morroco walioletewa dini ya Saudi Arabia inakuwaje wanafukuza Balozi wa Sweeden??
Hapa atakimbia π€£π€£π€£Daudi yupi alikuwa nabii wa Alah?
Nyie watu nyie...[emoji1787]
Nyie ndio mnasemaga Yesu alikuwa nabii wa Alah...Yaani kuna vitu hata kuvisema wewe mwenyewe unaona haviji kabisa.
Alah na manabii wa Israel wapi na wapi???
Musa, Harun na Suleiman ni manabii wa nani? Alah?WaIsrseli sio wanadamamu na viumbe wale mpaka uwezekano wa kuwepo Nabii wake ukosekane ? sio yeye tu mbona wengi kutokea Israeli ni Mnabii wake mfanao Musa ,Harun ,Suleyman nk
Kuona ajabu ni wewe tu wengine tunaona kawaida tu na sio katika majambo yasiyowezekana.