Hasira baada ya Quran kuchomwa nje ya msikiti Sweden

Kwa hiyo waislamu wa taifa fulani wakichoma moto waKristo au Kuwachinja wa Kristo, tuwafukuze mabalozi wao sio?? Morocco has acted unwisely......Walio anzisha Uislamu wa saudi arabia wenyewe hawajafukuza Balozi, Hawa morroco walioletewa dini ya Saudi Arabia inakuwaje wanafukuza Balozi wa Sweeden??
 
Mimi ni mkristo na kama mkristo au mwislamu akiamua kuinunua biblia na kuichoma wala mimi siwezi kuumia kwa chochote maana najua atapambana na Mungu wake.

Sisi wakristo tunajua Mungu ni Mkuu/ mkubwa kuliko kitu chochote kilichoko mbinguni na duniani hivyo si wa kupiganiwa bali ndiye anayetupigania sisi dhidi ya maadui zetu.

Inaonyesha kwamba huyu mungu wa waislamu ni mdogo kuliko wao ndio maana wanapambana sana pale linapotokea jambo la kumgusa.
 
Mmh sijaona mtu akienda mbele ya kanisa na kuchoma moto Bible. Tuseme ukweli tuna waprovoke waislamu kwa makusudi. Hivi kila mtu akiheshimu dini ya mwengine kuna shida gani?
Ukristo hapa unahusikaje?

Huyo aliyechoma Quran SIO Mkristo. Ni muislam mwenzao raia wa Iraq ambaye ameachana na Uislam.
 
Sasa balozi amekosa nini mpaka arudishwe nyumbani?
 
Wazungu wakishajua wewe ni jinga basi wanakugeuza kiny'ago chao..
Hawa waarabu ni ovyo sana.
 
Weka mfano hapa wa mtu aliekwenda mbele ya kanisa akachana Bible au kuchoma moto
 
Mimi nawasiwasi unaweza kukuta hii ni propaganda za Urusi kuwachonganisha Sweden na wafia dini na uturuki ili Sweden iendele kupingwa kujiunga na NATO na Urusi iendele kupata followers kutoka kwa wafia dini
 
Mimi ni mkristo na sikubaliani na mtu yeyote kuchoma kitabu cha dini yeyote kwa lengo la kuwakasirisha wafuasi wa dini hiyo.
 
Ni muda sasa umefika wawaache wafanye watakavyo soon watachoka kuichokonoa dini ya watu. Biblia tele zinachanwa na kuchomwa moto na watu hawapigi kelele mpaka wachanaji wanajiona wajinga
shida ni utakatifu wa QURAN.kitabu ambacho hakijawah kuchuja.miaka na miaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…