Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kwa muktadha wa kuchoma Bible au Quran vitendo na hisia vinakwenda sambambaSijaongelea hisia hapa ila nimeongelea kitendo. So ikitokea mtu amechoma biblia utachukua hatua gani? It means na wewe utachoma Quran?
Miungu ipo mingi. Kwa nini mnalazimisha awe mmoja?Mungu wetu ndio kila kitu na ni mmoja tu...!!!
Badae watamfata tu we subiriSasa huyo balozi wa sweden ndio aliyemtuma huyo jamaa kuchana kurwani,moroko wana upuuzi mwingi
Aliyechoma hicho kitabu sio Mkristo. Ni muislam mwenzao mhamiaji kutoka IraqKasome habari kwenye vyombo vya habari vya kimataifa acha uvivu.mimi ni mkristo lakini kilichofanyika ni ujinga na ushamba wa hali ya juu.
Nani alikuambia 😀😀😀nilisikiaga ukichana unaungua kumbe uongo bhana ?
Sio nchi ni diniYaani kuna nchi ni vituko sana
Tatizo akili mtu wangu.Watu wana akili na mitazamo ya ile kale chakavu na ya kijima. Yaani Quran ikiandikwa kwenye karatasi na kuwekwa kitabuni halafu ikachanwa eti wanaandamana.
Mbona inavyokuwa unistalled kwenye simu hawaandamani?
Wangepiga marufuku zisiwepo apps za quaran wala zisiandikwe mitandaoni (electronically) sababu huenda watu waka format na hivyo kuwa sawa na kuchana tu.
Sasa balozi wa Moroco abaki kuwakilisha nini tena, awaache na ukafir wao tu tenaSasa huyo balozi wa sweden ndio aliyemtuma huyo jamaa kuchana kurwani,moroko wana upuuzi mwingi
Inasemekana ni mahakama, jambo ambalo sina hakika kabisa, yaani kuchoma kitabu fulani inatakiwa uombe kibali Cha mahakama!Toa hilo tamko la serikali ya sweden kumruhusu huyo muarabu kuchana kurwani.
Inasemekana ni mahakama, jambo ambalo sina hakika kabisa, yaani kuchoma kitabu fulani inatakiwa uombe kibali Cha mahakama!
Lengo la tetemeko lililo tokea uturuki hadi misiki na quran kuteketea lilikuwa ni nini?Lengo lake lilikua ni nini?
Uzuz utakuisha lin ? Mbona biblia mnachana kila siku huko Somalia , je wametumwa na serikali ya somalia ?Serikali ya Sweden walimruhusu jamaa
Zamani walikuwa wanasema ukichoma sijui inabadilika kuwa kitu gani sijui eti kwa sababu kimeshushwa
Kumtoa baloz sio kumhukum baloz ila ni kuonesha umavunja uhusiano na nchi husika , sasa swala la dini ni moja kati ya mambo ya ushirikiano baina ya Morocco vs Sweden , hawa waarab ndo wanapofer , MIHEMKO MING SANAHuyo Balozi wa Morocco nchini Sweden, kosa lake ni lipi?.
Aliyechana kitabu ni Mwarabu toka huko Dini ilikotokea!View attachment 2673379
Salwan Momika, anayesemekana kuwa mzaliwa wa Iraq anayeishi Sweden, alichoma moto nakala Quran mbele ya msikiti mkuu wa Stockholm siku ya Jumatano.
Mataifa ya Mashariki ya Kati yakiwemo Iraq, Iran, Saudi Arabia na Misri yamekosoa vikali uchomaji huo.
Na Uturuki, imesema kuwa ni "kitendo cha kudharau" huku Morocco ikimrudisha nyumbani balozi wake wa nchini Sweeden kufuatia kuchomwa kwa Koran kwenye maandamano mjini Stockholm.
BBC
Mods kabadilisha heading yangu ilisema ("Mwarabu"achana Quran huko Sweden)Aliyechana kitabu ni Mwarabu toka huko Dini ilikotokea!