Noah Scribe
JF-Expert Member
- Dec 29, 2024
- 578
- 1,436
Dar ukilinganisha na Los Angeles, yani wana Dar ni kama wanachezeana tu au wanajifunza kufiraaana 🚨Dar hakuna p didy wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar ukilinganisha na Los Angeles, yani wana Dar ni kama wanachezeana tu au wanajifunza kufiraaana 🚨Dar hakuna p didy wewe!
Kwani nikisema Polisi wamemkamata Muuaji au polisi wamemkamata Mchoma Moto kuna kosa?Umetupiga kamba hapa mkuu. Arson is a serious crime and not name of person.
34-year-old California man arrested for arson over devastating Line Fire
Ila kwa namna moja ama nyengine nakubaliana na watu wa bima.insurance policy za los angeles zina kipengele cha force majeure, hawakulipi kama ni natural disaster iwe moto, floods, etc ndio maana unaona vilio vimekuwa vingi
Ujinga unapokutana na Njaa = WehuMimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Very proud muslimMwanzo nilidhani kuwa uko na point, kumbe ni mfuasi wa mudi mvaa kobazi 😂😂😂
Shetani hana mamlaka juu ya mungu mkuu, shetani anaweza kukushawishi ufanye jambo baya au jambo baya likukute ila kama mungu hataruhusu likukute basi halitokukutaNa shetani je
Tayari imeshawafikia huko los angeles watu wanakimbia nyumba zao, wao na gaza hawachekani
Hiyo ni ajali kama ajali nyingine ila Gaza ni wa kuwahurumia hatima Yao ipo mikononi mwq IsraeliTayari imeshawafikia huko los angeles watu wanakimbia nyumba zao, wao na gaza hawachekani
Haya bwana mkubwa unaojua mipango ya california kuliko matycoon wanaoishi california ingawa wewe upo zako ileje unachemsha kande zako uleImani za hovyo na muafrika 🤣🤣🤣
Hapo nafsi yako imesuuzika balaaahh🤗🤗🤗
Hivi kwa akili za kawaida tu Marekani ni ya kutoa ndege mbili kuzima moto??.
Hivi marekani ni ya kuempty bwawa ambalo ndo reservour ya kutunzia maji ya zimamoto???
Kwanini kampuni kubwa ya bima miezi 3 kabla ya hili tukio ilitoa kipengele cha kulipa fidia ya nyumba ikiungua moto???
LA ni sehemu wanapokaa macelebrity na viongozi na matajiri,sio sehemu ya mchezomchezo mzee. Watu wameplan mambo na yakapangika.
Akili iliyotumika hapo ni akili kubwa mzee watu wanataka kujenga LA SMART CITY wewe unatuletea ngonjera zenu mlizosimuliwa na manabii feki huko mnapoenda kudanganywa😀😀😀
Elimu Elimu ElimuYaweza kuwa ni kweli, chukulia mfano hapa kwetu: hivi Dar inaweza kuteketea kwa moto kama vile mji wote umejengwa kwa nyumba za nyasi?
Chanzo chochote hakiwezi kuteketeza hata nyumba mbili kabla haujadhibitiwa.
Sawa ustaadhi, umeshinda. Na Turkey bilashaka wanafir.ana sana mpaka akawapelekea janga la tetemeko...bila kusahau Saudia alivyowapelekea mafuriko.Mbona ni suala la akili tu hata kama kiroho haupo vizuri
Hilo Jiji lilijengwa Kwa kuzingatia majanga kama haya .
Wameshindwa Kwa sababu alouanzisha ndio Mwanzo na Mwisho .
Ni kweli kabisa, hata Maimaam wa misikiti ni mashoga na Allah amaabudiwa kama kawaida!Huko ndoa za mashonga ni halali.Huko shoga analindwa anapetipetiwa watumishi wa mungu wanaoa wanaume wenzao. Hayo niyasikia kwa muhubiri flani wa huko usa mwaka jana alikuwa anasema hasira ya bwana iko karibu kuwashukia kwenye hii miji hasa las angeles.
Mimi sio muumini sana wa majanga kama haya kumusisha mungu huwa niko kinyume kabisa maana majusi tumeshudia vibunga vya kufa mtu kule kule magharibi
Husianisha huu mstari na hilo tukio la motoShetani hana mamlaka juu ya mungu mkuu, shetani anaweza kukushawishi ufanye jambo baya au jambo baya likukute
Ni mungu ndo kataka moto uwake hapo mkuu ili kuwaonesha kuwa anaweza kuwafanya chochote mkuuHusianisha huu mstari na hilo tukio la moto
Allah hawezi hata kuwasha kiberiti iweje asababushe moto? Leta ushahidiNi mungu ndo kataka moto uwake hapo mkuu ili kuwaonesha kuwa anaweza kuwafanya chochote mkuu
Nimeipenda hii expert,siku zote majanga yakitokea kwa wengine wanachukulia poa,ni zamu yao sasa hawa shwa