Hasira ya Mungu imeshuka juu ya LOS ANGELES, inateketea Kama Sodoma Na Gomora

Hasira ya Mungu imeshuka juu ya LOS ANGELES, inateketea Kama Sodoma Na Gomora

Hahaha! Kiburi chako kinanikumbusha watu wa Nabii Nuhu alivyotumwa kwa watu wake awapatie ujumbe kutoka kwa Mungu. Qur'an inanukuu:

Wakamwambia Nabii Nuhu:"Kwani wewe waliyokufuata ni watu gani? Ni watu wadhalilifu, watu hohehahe! Hatujaona hata businessman mmoja kakafuata wewe! Mtu tajiri na pesa zake kaamua kukufuata, ingekuwa hivyo, angalau ungetushtua juu ya utume wako!"

Wakamdharau na hawakuishia hapo bali walimwambia Nuhu na Qur'an inanukuu vilevile:

"Hakuwa huyu Nuhu isipokuwa ni mtu tu kama sisi. Lengo lake kutangaza utume anataka kujifanya yeye apate cheo na ubora juu yetu."

"Huyo ni mtu tena kama mfano wenu ninyi. Kama Mungu kweli alikuwa anataka kutuletea Mtume, basi huyo Mtume asingekuwa ni mwanadamu, angekuwa ni malaika."

Hii dunia yupo aliyeifanya iwepo! Wanasayansi wenyewe wanaochunguza anga wakiangalia kanuni na nidhamu za maumbile ya huko namna yanavyokwenda wanakubaliana bila shaka yupo anayesanifu hii hali!

Halikadhalika, bila shaka yupo aliyekuleta. Kuwa na akiba, usiwe na kiburi. Ila ukisema potelea mbali na ukaendelea na utaraibu wako nayo si mbaya! Kwani potelea mbali nayo ni njia utakuwa umeichagua mwenyewe.

Fanya maamuzi sahihi! Ishi kwa kufakari!
Hadithi ya Nuhu unaiamini kabisa mkuu?
Tukianza kuichambua hiyo hadithi ina mapungufu mengi mkuu. Wewe kama unaamini ilikuwa kweli endelea kuamini.
Mimi naiona kama hadithi nyingine tu za kupoteza muda
 
California kila mwaka inatokea mioto sio moto na kuharibu maelfu ya hekta za misitu, leo hii kwa kuwa umepitia makazi ya watu ishakuwa sababu ya ushoga? Watz tunapaswa kutafuta sana elimu wandugu tupunguze umbeya na wastage of time mitandaoni badala yake tutumie kujipa maarifa tulikosa huko vidatoni na majalalani tutapungiza aibu ndogondogo kama hizi!
Umesema Ukweli mtupu mkuu
 
Mkuu,
Unaangalia magnitude ya dhambi au unaangalia dhambi kama ilivyo?

Kwani huyo Mungu anaipimaje dhambi? Kwa sababu kama ni uzinzi watz tunazini tu kama kwingine duniani, majambqzi yapo, wafiraji wapo, yaani hakuna dhambi iliyopo Los Angeles unaikosa Dar.

Sasa Mungu anatumia kigezo gani?
Dar hakuna p didy wewe!
 
Hadithi ya Nuhu unaiamini kabisa mkuu?
Tukianza kuichambua hiyo hadithi ina mapungufu mengi mkuu. Wewe kama unaamini ilikuwa kweli endelea kuamini.
Mimi naiona kama hadithi nyingine tu za kupoteza muda
Mkuu, mbona hadithi zipo nyingi na ambazo wewe unaziamini?
 
Sio chuki zangu huo ndio uhalisia na kwa taarifa tu insurance haitowalipa hata mia
Duh! Hii hatari!

Kwao hawana sera kama za China?

China kuna mji ulikumbwa na mafuriko ukaharibiwa. Serikali ikaamua kuujenga kisha wakawakabidhi walengwa nyumba zao kwa kuwakata tozo kadhaa mpaka kufikia thamani ya nyumba husika na kukabidhiwa umiliki kamili wa nyumba.
 
Duh! Hii hatari!

Kwao hawana sera kama za China?

China kuna mji ulikumbwa na mafuriko ukaharibiwa. Serikali ikaamua kuujenga kisha wakawakabidhi walengwa nyumba zao kwa kuwakata tozo kadhaa mpaka kufikia thamani ya nyumba husika na kukabidhiwa umiliki kamili wa nyumba.
Irani walilipa nini kwa tetemeko lililoua zaidi ya 3000?
 
Duh! Hii hatari!

Kwao hawana sera kama za China?

China kuna mji ulikumbwa na mafuriko ukaharibiwa. Serikali ikaamua kuujenga kisha wakawakabidhi walengwa nyumba zao kwa kuwakata tozo kadhaa mpaka kufikia thamani ya nyumba husika na kukabidhiwa umiliki kamili wa nyumba.
insurance policy za los angeles zina kipengele cha force majeure, hawakulipi kama ni natural disaster iwe moto, floods, etc ndio maana unaona vilio vimekuwa vingi
 
Irani walilipa nini kwa tetemeko lililoua zaidi ya 3000?
Mkuu, unafikiri kila mtu ana chuki na kupenda ubishani?

Sipo tayari kwa hilo ambalo unalianzisha.
 
Asiyeamini kama huyu ni mungu hawezi kuamini chocjote kwenye maisha yake , acha waisome namba wengi wao walichanga hadi hela ili gaza watoto wauliwe leo wao mungu kawapa dozi kidogo tu wanalia kama watoto, karma never miss the address
Mwanzo nilidhani kuwa uko na point, kumbe ni mfuasi wa mudi mvaa kobazi 😂😂😂
 
California ni eneo hanga kwa mioto ya mwituni Toka miongo mingi nyuma.

Kabla hata na baada ya Arnold Schwarzenegger kuwa governor wa Jimbo Hilo.

Tel Aviv huko Israel mashoga hufanya mpaka sherehe na hakuna moto ushukao dhidi Yao.

Tutumie ufahamu na maarifa ( elimu) kuyajadili matukio kama haya. Naamini MUNGU yupo, lakini kuhusu California moto ni kawaida kulikumba eneo hili japo kwa awamu hii madhara ni makubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom