min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Huwa mnaropoka tu bila kufikiri mkibanwa mnaanza kulialia watu wanakufuru, tatizo lenu mmezoea kanisani kufuata kila kitu bila kuhoj.That's what we are about to find out.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa mnaropoka tu bila kufikiri mkibanwa mnaanza kulialia watu wanakufuru, tatizo lenu mmezoea kanisani kufuata kila kitu bila kuhoj.That's what we are about to find out.
USA : NO CEASEFIREMimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Hujui wala huna exposure ya kujua nini kinachoendelea los angeles , wewe kaa utulie uache mungu afanye kazi yake , wenyewe wanajua walichokifanya na acha wavune dhambi zaoUwepo wa wapumbavu kama wewe na mleta uzi hapa nchini utasababisha tuzidi kuchelewa sana kimaendeleo. Mna ujinga mwingi mno. Kwa akili zako za kipumbavu ni kwamba Mungu alikuwa anamlipiza James Wood kwa kuchoma nyumba hata za wasio na hatia?
Kama ulikuwa hujui kuna mgogoro mkubwa sana kuhusu property insurance california na kampuni nyingi zilijitoa since july 2024, wakazi wengi wa california hawana property insurance, hii imekula kwaoHapo insurance company's zitapata hasara sana
HallelujahHii kitu imenibariki Sana,kwa hili naamini Mungu anajibu kwa wakati kabisa
www.forbes.com
Huu sio moto wa kawaida ni mpumbavu pekee atakayeamini eti hiyo ni majanga ya asili . Kuna funzo hapoAmerica is burning😳😳😳🥹🥹🥹
View attachment 3198021
LAPD si wamemkamata Arson ambaye ndiyo aliyeunguza huo mji.
Kwa hiyo hapa duniani wanaokuchukiza ni mashoga tu?Wachawi,majambazi,magaidi na wajinga wengine hauwaoni?Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Nadhani Tuishie HapaHuo mji unatakiwa kupangwa upya hio ni mbinu tu imetumika.
Wazee wa kusoma hadithi🤔Luka 13
Wakati huo huo, kulikuwa na watu waliomwambia Yesu habari za Wagalilaya ambao Pilato aliwaua, na damu ya hao watu akaichanganya na dhabihu yao waliyokuwa wanatoa. Yesu akawauliza, “Mnadhani kwamba hawa Wagalilaya ambao walikufa kifo cha namna hiyo walikuwa na dhambi kuwazidi Wagalilaya wengine wote? La hasha! Ninyi nanyi msipotubu, mtaangamia vivyo hivyo. Au wale watu kumi na wanane waliokufa walipoangukiwa na mnara huko Siloamu: mnadhani wao walikuwa waovu kuliko watu wote waliokuwa wanaishi Yerusalemu? Nawaambia, la hasha! Ninyi nanyi msipotubu, wote mtaangamia vivyo hivyo.”
Kwa hiyo eneo likiwa na rate kubwa ya ufirauni ndio hasira ya Mungu inapanda?Sasa expert rate ya huu ufirauni unaona fanyika huko mamtoni ni sawa na wa hawa wapuuzi wachache wa huku?
Je unahitaji takwimu katika hili?
Mkuu kumbe hata janga la kariakoo Mwenyezi alitoa tu kama warning jijini Dar es Salaam kwa kuongoza kuwa na ushoga na kufi**na😂😂Mbona ni suala la akili tu hata kama kiroho haupo vizuri
Hilo Jiji lilijengwa Kwa kuzingatia majanga kama haya .
Wameshindwa Kwa sababu alouanzisha ndio Mwanzo na Mwisho .
Vigoma vya kibao kata na full laana.Kwani mbagala kuna nini tena mkuu
Hakuna cha hasira ya Mungu hapo,acha bangi za chooni,mbona hatuoni hiyo hasira mtaa wa Ohio dar kwa Malaya wanaojiuza, kule zenj kwenye sherehe za mashoga, au uwanja wa fisi dar na Masasi! Mbona hizo, hasira hatuzioni zikiipiga Israel kwa managing inayoyafanya GaZa!Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Sasa kwanini useme ni mpuuzi..?Muda mwingine Mungu anasingiziwa, upuuzi wa mvuta sigara nao asingiziwe Mungu?
Sawa Bw.Sasa kwanini useme ni mpuuzi..?
Kwahyo kuvuta sigarani upuuzi.?
Je moto wa sigara unaweza sababusha milima kuwaka moto..?
Kwanini usiseme bangi na sio sigara..?
Tumewakosea nini sisi..?
Mbona kila siku sisi..?
Na nyie mvute tuone kama mtawasha moto