Watu watu wa kuwaonea huruma ila mtu muuwaji na aneyetoa hadi hela ili watu wauliwe na kutamka hadharani kill them all, huyo ni wa kuonewa huruma, atleast wameonja wenzao wanachopitia, life can humble u, bila ya mungu kufanya haya wasingeelewa wakiona wale watoto wanavyouliwa na kubomolewa nyumba zao kule gaza na kwingineko dunianiYani ninacho endelea kukushangaa unafurahiaje majanga kwa ndugu yako?
Huyo atakuwa Mungu mwingine unayemwongelea, Mungu baba yake Kristo hafurahii adui kuumia na wala hachukii watenda maovu.Watu watu wa kuwaonea huruma ila mtu muuwaji na aneyetoa hadi hela ili watu wauliwe na kutamka hadharani kill them all, huyo ni wa kuonewa huruma, atleast wameonja wenzao wanachopitia, life can humble u, bila ya mungu kufanya haya wasingeelewa wakiona wale watoto wanavyouliwa na kubomolewa nyumba zao kule gaza na kwingineko duniani
Tatizo la masikini akiona tajiri anafilisika anafikiri kufilisika kwake kutamsaidia yeye kuwa tajiri. Kitu ambacho masikini wengi hawajui ni kwamba matajiri wakiongezeka katika eneo lako nawewe uwezekano wa kuwa tajiri unaongezeka. Pia masikini wote wanafikiri utajiri unatoka kwa Mungu. Wakati utajiri unatoka kwenye mawazo na tabia za mtu. Mawazo ya masikini ni kushinda kwenye nyumba za ibada kuomba Mungu ampe utajiri. Mawazo ya jijiri ni kufanya kazi ,kuwaza namna kutatua matatizo ya watu wanao mzunguka kwa malipo.Nasikia baadhi ya mataifa Marekani au Urusi wana teknolojia ya kutengeneza mvua, vp wameshindwa kutengeneza mvua inyeshe ili moto uzimike?
Ningekujibu lakini kwa kuwa umeingiza mambo ya dini naona bora nikuache tu maana hakuna ujualo na Ujinga na Upumbavu unakusumbua kufananisha tukio la kupigwa magaidi wa Hamas kutokana na uchokozi wao wa Oct 07,2023 na Janga la moto lililotokea huko Marekani!!Mungu wa yupi mkweli ona Palestine ona sasa machozi ya watoto wapalestina kodi za marekani zinatumika kutililisha machozi ya wapalestina leo marekani inawaka MOTO MOTO MOTO MOTO MOTO ukweli akuna maigizo apo kama kwenu mungu wenu zaifu kias mchungaji inabidi apange mchongo kuigiza tukio kisha mtu adai kapona uwongo ntupu kichefuchefu zaid sifa anapewa YES● na mikeleleeee kibao yesu anaweza yesu anaokoa haaaaa raaaaa sana MOTO UWO LIVE je kwanini tusiamini mungu wa Palestine ndio mkuu!!!
Ni kweli hii ni hasira ya Mungu kwa wamerekaniMimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Na Uturuki MUNGU Alikasirika Nini baada ya tetemeko Kuwa Watu zaidi ya 1000??🎤Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
wewe unasumbuliwa na Ujinga na Upumbavu. Mwaka jana tu Iran ilipata janga la mafuriko ndiyo tuseme Allah wenu alikuwa akifanya kazi yake? Hebu angalia majanga yaliyotokea huko Iran-Wewe kaa na akili zako tuachie ujinga wetu unachoumia ni nini? Mungu hapangiwi acha afanye kazi yake
Huo ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuhusisha kipigo kwa magaidi wa hamas walifanya mauaji ya Oct 07,2023 na Janga walilopata Marekani. Mbona Iran wao majanga huko ni kawaida kwa miaka 5 wamepata mafuriko,Matetemeko na majanga mengi tu kwa hiyo tuseme nao hiyo ni Hasira ya Allah???Ni kweli hii ni hasira ya Mungu kwa wamerekani
Akikujibu ni Tag na mimi nijue anabwabwaja vipi?wale waliofunikwa na jengo kariakoo ni Mungu aliwaangushia jengo?
Nadhani unaumwa,nani kasema kuwa hasira za Mungu ni kwa ajili ya kipigo cha hamas?Huo ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuhusisha kipigo kwa magaidi wa hamas walifanya mauaji ya Oct 07,2023 na Janga walilopata Marekani. Mbona Iran wao majanga huko ni kawaida kwa miaka 5 wamepata mafuriko,Matetemeko na majanga mengi tu kwa hiyo tuseme nao hiyo ni Hasira ya Allah???
Hujaona leo wamarekani walivyokuwa wanamuomba mungu msamaha kwa kusujudu makanisani? Chezea vyote usocheze na mungu, leo james woods wa kulia kwenye tv kisa tu nyumba yake imeungua na hana insurance, wakati alisema kwenye tweets zake kill them all kuhusu gaza, thats life mungu huwa halali ,unachomuobea mwenzako ndio mungu anakuridishia, leo watu wa california wamekuwa wakupewa misaada ya chakula na nguo, indeed god is great, allahu akbarwewe unasumbuliwa na Ujinga na Upumbavu. Mwaka jana tu Iran ilipata janga la mafuriko ndiyo tuseme Allah wenu alikuwa akifanya kazi yake? Hebu angalia majanga yaliyotokea huko Iran-
1.
View: https://x.com/maryam_rajavi/status/1553462679544758272?s=612.
View: https://x.com/top_disaster/status/1691437892311425024?s=613.
View: https://x.com/hananyanaftali/status/1110511722383765506?s=614.
View: https://x.com/ehsanrebound/status/1109033083607633920?s=61Hakuna uhusiano wowote kati ya kipondo kwa magaidi wa Hamas walioua watu Oct 07,2023 na Janga la moto huko Marekani. Hata hivyo janga la hilo moto haliwezi kupunguza kipigo kwa Magaidi wa Hamas huko Gaza wao wataendelea kuchezea kipondo mpaka watakapowaachia mateka wote huko Gaza.!!
Endelea kudhani lakini hakuondoi wala kupunguza kipondo kwa magaidi wa Hamas kupigwa kutokana na unyama na mauaji waliyoyafanya Oct 07,2023 na wataendelea kupigwa mpaka mateka wote nami nasema wapigwe tu maana hakuna namna!!!!Nadhani unaumwa,nani kasema kuwa hasira za Mungu ni kwa ajili ya kipigo cha hamas?
Ulivyo mjinga na mpumbavu endelea kujifariji tu yaani mnamfanya mungu kuwa mjinga kama ulivyo wewe? Israel ndiyo ndiyo inapigana huko Gaza harafu adhabu aipe marekani badala ya kuipa Israel.Ujinga huo Mungu wetu hafanyi labda mungu wenu AllahHujaona leo wamarekani walivyokuwa wanamuomba mungu msamaha kwa kusujudu makanisani? Chezea vyote usocheze na mungu, leo james woods wa kulia kwenye tv kisa tu nyumba yake imeungua na hana insurance, wakati alisema kwenye tweets zake kill them all kuhusu gaza, thats life mungu huwa halali ,unachomuobea mwenzako ndio mungu anakuridishia, leo watu wa california wamekuwa wakupewa misaada ya chakula na nguo, indeed god is great, allahu akbar
Hivi unadhani mungu ana akili fupi kama zako? Mungu hajui nani anafadhili haya yote yanayofanyika gaza? Mungu hajui wanachopanga kwa siri ? Unadhani mungu anapata habari kwenye tv kama wewe? Grow upUlivyo mjinga na mpumbavu endelea kujifariji tu yaani mnamfanya mungu kuwa mjinga kama ulivyo wewe? Israel ndiyo ndiyo inapigana huko Gaza harafu adhabu aipe marekani badala ya kuipa Israel.Ujinga huo Mungu wetu hafanyi labda mungu wenu Allah
Hamas sio magaidi,ni ufinyu wako wa kufikiri ndio unaokutuma kusema hamas ni magaidiEndelea kudhani lakini hakuondoi wala kupunguza kipondo kwa magaidi wa Hamas kupigwa kutokana na unyama na mauaji waliyoyafanya Oct 07,2023 na wataendelea kupigwa mpaka mateka wote nami nasema wapigwe tu maana hakuna namna!!!!
Basi mungu wenu atakuwa mjinga sana. Hata hivyo hiyo haisaidii kupunguza kipigo kwa magaidi wa Hamas walioua watu,wakabaka watu na kuteka watu Oct 07,2023. Hamas wataendelea kutwangwa mpaka warudishe mateka waliowateka bila hivyo mpaka waishe wote kabisa. Na hii vita haiishi mpaka Hamas wafutike!!!Hivi unadhani mungu ana akili fupi kama zako? Mungu hajui nani anafadhili haya yote yanayofanyika gaza? Mungu hajui wanachopanga kwa siri ? Unadhani mungu anapata habari kwenye tv kama wewe? Grow up
Thinitisha kuwa unayosema una hakika isiyo na shaka.Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Kwa akili yako finyu ni wateule wa mungu wako?? Hamas ni Magaidi vitendo vyao vinadhibitisha kuwa wao ni Magaidi wala si vinginevyo,Oct 07,2023 walivamia huko Israel wakateka watu,wakatesa watu,wakabaka watu na kuua watu hadi sasa wanawatumia watu kama kinga( Human-Shield ) hizo zote ni sifa za magaidi ulimwenguni!!!Hamas sio magaidi,ni ufinyu wako wa kufikiri ndio unaokutuma kusema hamas ni magaidi
Na vipi kule Iran, UAE-dubai kulivyotokea mafuriko au turkey tetemeko itakuwa nchi hizi kuna mishoga na misagaji mingi mnoooooo.....Kiwango cha kufiranaa Dar es Salaam na Los Angeles ni mbingu na ardhi..