Mill broh
Member
- Jul 30, 2023
- 86
- 130
Kwa hiyo likikukuta mungu ameruhusu?Shetani hana mamlaka juu ya mungu mkuu, shetani anaweza kukushawishi ufanye jambo baya au jambo baya likukute ila kama mungu hataruhusu likukute basi halitokukuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo likikukuta mungu ameruhusu?Shetani hana mamlaka juu ya mungu mkuu, shetani anaweza kukushawishi ufanye jambo baya au jambo baya likukute ila kama mungu hataruhusu likukute basi halitokukuta
Kwahiyo huko hayo mambo hayapo?Kwa hiyo eneo likiwa na rate kubwa ya ufirauni ndio hasira ya Mungu inapanda?
Hivi kati ya ufirauni unaofanywa na watu wazima wenye akili na maamuzi yao binafsi, Na ulawiti unaofanywa na viongozi wa dini kwa watoto wadogo, kipi ni kibaya zaidi?
Huo ufurauni ni sehemu tu ya mambo mengi ambayo yanamkasirisha Mungu wetu bwana expertMafuriko ya saudia 2009 ilikua ni ufirauni upi ulifanyika?
Kila mtu angekua ana amini tu kila kitu ni Mungu sidhani hata kama tuweza kutatua changamoto zinazotukabili kwa njia chanya.Huo ufurauni ni sehemu tu ya mambo mengi ambayo yanamkasirisha Mungu wetu bwana expert
Kwahiyo hayo majanga ambayo yalitokea huko ni sehemu ya maovu mengi ambayo yanafanyika na Mungu anatukumbusha kwamba yeye yupo
Expert najua wewe ni miongoni mwa wasioamini uwepo wa Mungu,ila ni tatizo lako na si langu
Mbona ni common sense tu au unahisi unaweza kufanya kitu na mungu asijueKwa hiyo likikukuta mungu ameruhusu?
Huwa mnamjua huyo Mungu kuliko yeye anavyojijua 😁Mbona ni common sense tu au unahisi unaweza kufanya kitu na mungu asijue
Hilo la kuthibitisha expert ni tatizo lako,yan maadamu mimi naamini hivyo sina shidaKila mtu angekua ana amini tu kila kitu ni Mungu sidhani hata kama tuweza kutatua changamoto zinazotukabili kwa njia chanya.
Kila mtu anayo haki ya Kuamini chochote ila unaposema imani yako ni ukweli , ili imani iwe ukweli inapaswa ithibitishwe , thibitisha majanga mbalimbali yanatokea karibu dunia ni nzima ni adhabu ya Mungu na sio vinginevyo ?
Hawapendi kuskia ukweliWee ni Upinde
Ni kweli kabisa upo sawa, shida ipo kwa wale wanaotaka kile wanacho kiamini kiwe ukweli na kila mtu akiamini hivyo hivyo bila uthibitishoHilo la kuthibitisha expert ni tatizo lako,yan maadamu mimi naamini hivyo sina shida
Inapotokea dharula hakuna uwezekano wa disconection?Elimu Elimu Elimu
Wenzetu wana mtandao wa mabomba ya gesi nchi nzima na hayo ndo huleta madhara katika nyakati kama hizo za majanga ya moto.
Kumbe hata kipigo kwa Magaidi wa Hamas,Hezbollah na Houthi ni mipango wa Mungu kwa hiyo acheni kulialia ovyo acha wapigwe tu maana hakuna namna!!!Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Wafuga Midevu na Majini wanafikiri kutumia Makalio kabisa!!! Huko Gaza unasema watoto wanauliwa kwani huko ndiko kuna kiwanda cha kutengeneza watoto? Na kwa nini watoto tu Ina maana mabomu ya Israel yanalenga watoto tu na wakubwa yanawakwepa? Na kwa nini hamsemi akina Baba,Mama,na vijana? Au mnasema watoto ili moats huruma kwa walimwengu? Kumbuka Hamas walivyofanya mauaji huko Israel Oct 07,2023 waliua watoto,wanaume na wanawake na walibaka na wengine kuwateka nyara hao wewe kwa akili yako ndogo hata huwasemei au kwa akili zenu za kushikiwa unaona watoto ni Gaza tu? Acheni ujinga!!Asiyeamini kama huyu ni mungu hawezi kuamini chocjote kwenye maisha yake , acha waisome namba wengi wao walichanga hadi hela ili gaza watoto wauliwe leo wao mungu kawapa dozi kidogo tu wanalia kama watoto, karma never miss the address
Haya majamaa hayanaga kumbukumbu kama mbuzi vile,majanga kama hayo yakitokea nchi za kiarabu wanakuwa kimya lakini yakitokea nchi za wakristo ndio utawaona wanavyotokwa na povu eti Mungu anawapa adhabu 🤣🤣Haya Ile ya uturuki nayo??, sir God ali maindi ehh!!
Hadithi gani hizo mkuu ambazo unasema mimi naziamini na wakati mimi mwenyewe sizijui hizo hadithi?Mkuu, mbona hadithi zipo nyingi na ambazo wewe unaziamini?
Kinachoendelea marekani kwa sasa sio jambo la kawaida, moto unaowaka sidhanai kama ni tukio la kawaida, moto unaruka mabarabara kuhamia upande wa 2 na kwenda kuunguza majengo, unavuka mito na kwenda kuunguza upande wa 2. Hata msitu ulipoanzia moto kuna mto mkubwa tu ila umerula na lwenda kuunguza upande wa 2.
Mungu huchoma moto akichukizwa na matendo maovu. Marekani ina uchafu mwingi.
Sodoma na gomora iliunguzwa na eneo lililoungua ni dogo sana ukilinganisha na maelef ya heka zilizochomeka.