Hasira ya Mungu imeshuka juu ya LOS ANGELES, inateketea Kama Sodoma Na Gomora

Hasira ya Mungu imeshuka juu ya LOS ANGELES, inateketea Kama Sodoma Na Gomora

Los Angeles Mayor ordered $49 million cut in Fire dept's budget week before wildfire; cuts would have closed 16 stations

Got money for WAR NOT THEIR PEOPLE

US to provide $3.5bn more in military aid to Israel amid war on Gaza
 
Wafuga Midevu na Majini wanafikiri kutumia Makalio kabisa!!! Huko Gaza unasema watoto wanauliwa kwani huko ndiko kuna kiwanda cha kutengeneza watoto? Na kwa nini watoto tu Ina maana mabomu ya Israel yanalenga watoto tu na wakubwa yanawakwepa? Na kwa nini hamsemi akina Baba,Mama,na vijana? Au mnasema watoto ili moats huruma kwa walimwengu? Kumbuka Hamas walivyofanya mauaji huko Israel Oct 07,2023 waliua watoto,wanaume na wanawake na walibaka na wengine kuwateka nyara hao wewe kwa akili yako ndogo hata huwasemei au kwa akili zenu za kushikiwa unaona watoto ni Gaza tu? Acheni ujinga!!
Wewe kaa na akili zako tuachie ujinga wetu unachoumia ni nini? Mungu hapangiwi acha afanye kazi yake
 
Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.

Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.

Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.

Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.


View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Acha kumsingizia Mungu mkuu,siupendi ushoga na sipendi kumsingizia Mungu vitu vya uongo. Inamaana Mungu kauona uovu wa L.A tu? Sasa mbona kateketeza majengo na raia waliokufa ni 11 mpaka sasa ? Hawa 11 ndio walikua waovu pekeyao? Unataka kutuaminisha wote waliopona ni watakatifu?
 
Asiyeamini kama huyu ni mungu hawezi kuamini chocjote kwenye maisha yake , acha waisome namba wengi wao walichanga hadi hela ili gaza watoto wauliwe leo wao mungu kawapa dozi kidogo tu wanalia kama watoto, karma never miss the address
Kama hii ni karma basi inahuruma sana,mimi na mwamini Mungu na sio mugu unaemzungumzia hapa. Namwamini Mungu anaesema nawaangazia nuru waovu na watakatifu kwakua wote ni wangu. Hizo karma ni za munguwenu.
 
Yaani LA imekuwa kama Gaza
Ila wao hawakupigwa hata na silaha moja ila wamekiona cha mtema kuni
Wacha waonje nao kwa kukosa pa kuishi kama wanavyowaona wa Gaza
Mungu mkubwa
Unalinganisha gaza na L A mbona havilingani hata kwa punje ya ulezi wenzio kule asilimia kuwa wamiliki wa nyumba wanabima za majanga.
 
Waislamu huwa wanafuata tu upepo unakoelekea bila kutumia akili , wanasahau kuwa wana Gaza ndiyo waliwachokoza Israel October 7 na allah hana nguvu yoyote ya kuwasha moto Israel.
Israel inapewa nguvu na Marekani uko Marekani kwasasa usingizi akuna kumekuwa jaanamu!!
 
Huko ndoa za mashonga ni halali.Huko shoga analindwa anapetipetiwa watumishi wa mungu wanaoa wanaume wenzao. Hayo niyasikia kwa muhubiri flani wa huko usa mwaka jana alikuwa anasema hasira ya bwana iko karibu kuwashukia kwenye hii miji hasa las angeles.

Mimi sio muumini sana wa majanga kama haya kumusisha mungu huwa niko kinyume kabisa maana majusi tumeshudia vibunga vya kufa mtu kule kule magharibi
Kwahiyo tetemeko la ardhi lililopiga Syria na uturuki mwakajuzi nako ni kwa sababu ya haya uliyoyaeleza?
 
Yaani LA imekuwa kama Gaza
Ila wao hawakupigwa hata na silaha moja ila wamekiona cha mtema kuni
Wacha waonje nao kwa kukosa pa kuishi kama wanavyowaona wa Gaza
Mungu mkubwa
casuality rate ni ndogo saana, so si mfano sahihi wa Sodoma na Gomora, na uwezo wao wa kurudi kwenye hali ya kawaida ni mkubwa na kwa haraka, kuliko ingetokea huku kwetu.
 
Wafuga Midevu na Majini wanafikiri kutumia Makalio kabisa!!! Huko Gaza unasema watoto wanauliwa kwani huko ndiko kuna kiwanda cha kutengeneza watoto? Na kwa nini watoto tu Ina maana mabomu ya Israel yanalenga watoto tu na wakubwa yanawakwepa? Na kwa nini hamsemi akina Baba,Mama,na vijana? Au mnasema watoto ili moats huruma kwa walimwengu? Kumbuka Hamas walivyofanya mauaji huko Israel Oct 07,2023 waliua watoto,wanaume na wanawake na walibaka na wengine kuwateka nyara hao wewe kwa akili yako ndogo hata huwasemei au kwa akili zenu za kushikiwa unaona watoto ni Gaza tu? Acheni ujinga!!
Mungu wa yupi mkweli ona Palestine ona sasa machozi ya watoto wapalestina kodi za marekani zinatumika kutililisha machozi ya wapalestina leo marekani inawaka MOTO MOTO MOTO MOTO MOTO ukweli akuna maigizo apo kama kwenu mungu wenu zaifu kias mchungaji inabidi apange mchongo kuigiza tukio kisha mtu adai kapona uwongo ntupu kichefuchefu zaid sifa anapewa YES● na mikeleleeee kibao yesu anaweza yesu anaokoa haaaaa raaaaa sana MOTO UWO LIVE je kwanini tusiamini mungu wa Palestine ndio mkuu!!!
 
Back
Top Bottom