aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
wale waliofunikwa na jengo kariakoo ni Mungu aliwaangushia jengo?Ni mungu ndo kataka moto uwake hapo mkuu ili kuwaonesha kuwa anaweza kuwafanya chochote mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wale waliofunikwa na jengo kariakoo ni Mungu aliwaangushia jengo?Ni mungu ndo kataka moto uwake hapo mkuu ili kuwaonesha kuwa anaweza kuwafanya chochote mkuu
Wewe kaa na akili zako tuachie ujinga wetu unachoumia ni nini? Mungu hapangiwi acha afanye kazi yakeWafuga Midevu na Majini wanafikiri kutumia Makalio kabisa!!! Huko Gaza unasema watoto wanauliwa kwani huko ndiko kuna kiwanda cha kutengeneza watoto? Na kwa nini watoto tu Ina maana mabomu ya Israel yanalenga watoto tu na wakubwa yanawakwepa? Na kwa nini hamsemi akina Baba,Mama,na vijana? Au mnasema watoto ili moats huruma kwa walimwengu? Kumbuka Hamas walivyofanya mauaji huko Israel Oct 07,2023 waliua watoto,wanaume na wanawake na walibaka na wengine kuwateka nyara hao wewe kwa akili yako ndogo hata huwasemei au kwa akili zenu za kushikiwa unaona watoto ni Gaza tu? Acheni ujinga!!
Hii hawezi kukujibuLazima wapumbavu kama wewe mjitokeze kwenye matukio kama haya. Huko Hanang nao walikutwa na hasira ya Mungu?
Acha kumsingizia Mungu mkuu,siupendi ushoga na sipendi kumsingizia Mungu vitu vya uongo. Inamaana Mungu kauona uovu wa L.A tu? Sasa mbona kateketeza majengo na raia waliokufa ni 11 mpaka sasa ? Hawa 11 ndio walikua waovu pekeyao? Unataka kutuaminisha wote waliopona ni watakatifu?Mimi siwatishi Wala nini, Vyombo vya habari vitawadanganya kua Ni Mabadiliko ya Hali ya hewa, Mara Moto usiojulikana chanzo ,mara vile !!.
Usiombe Mungu akasirike alafu akuonyeshe waziwazi kua amekasirika na aamue kukutumia wewe kama mfano.
Los Angeles, Jiji maarufu ambalo Mashoga na wooote wa LGBTQ waliishi huko wakimchukia Mungu Sasa wamefikwa.
Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles
Ni Moto ambao Taifa la Marekan Licha ya Ubabe wake, Teknolojia yake isoshikika , Uchumi mkubwa , Jeshi kubwa wameshindwa kuuzima , na wanashindwa Kwa sababu ni Moto ambao sio KAZI ya mwanadamu ni MUNGU.
View attachment 3197895
.
View attachment 3197897
.
View attachment 3197898
Kama hii ni karma basi inahuruma sana,mimi na mwamini Mungu na sio mugu unaemzungumzia hapa. Namwamini Mungu anaesema nawaangazia nuru waovu na watakatifu kwakua wote ni wangu. Hizo karma ni za munguwenu.Asiyeamini kama huyu ni mungu hawezi kuamini chocjote kwenye maisha yake , acha waisome namba wengi wao walichanga hadi hela ili gaza watoto wauliwe leo wao mungu kawapa dozi kidogo tu wanalia kama watoto, karma never miss the address
Lazima wapumbavu kama wewe mjitokeze kwenye matukio kama haya. Huko Hanang nao walikutwa na hasira ya Mungu?
uuwe watu kwa makusudi halafu mungu akuonee huruma wakati hutaki kubadilikaKama hii ni karma basi inahuruma sana,mimi na mwamini Mungu na sio mugu unaemzungumzia hapa. Namwamini Mungu anaesema nawaangazia nuru waovu na watakatifu kwakua wote ni wangu. Hizo karma ni za munguwenu.
Unalinganisha gaza na L A mbona havilingani hata kwa punje ya ulezi wenzio kule asilimia kuwa wamiliki wa nyumba wanabima za majanga.Yaani LA imekuwa kama Gaza
Ila wao hawakupigwa hata na silaha moja ila wamekiona cha mtema kuni
Wacha waonje nao kwa kukosa pa kuishi kama wanavyowaona wa Gaza
Mungu mkubwa
Tusifike huko jamaniWee ni Upinde
Hakikaangalau hofu ya Mungu iwarudie
Israel inapewa nguvu na Marekani uko Marekani kwasasa usingizi akuna kumekuwa jaanamu!!Waislamu huwa wanafuata tu upepo unakoelekea bila kutumia akili , wanasahau kuwa wana Gaza ndiyo waliwachokoza Israel October 7 na allah hana nguvu yoyote ya kuwasha moto Israel.
Kwahiyo mungu wenu kalipiza kwa kuua raia 11 tu wa U.S.A wakati gaza wamekufa raia zaidi ya elf 40! Huyo mungu wenu anatumia kilevi gani kufanya maamuzi?uuwe watu kwa makusudi halafu mungu akuonee huruma wakati hutaki kubadilika
🤣🤣🤣🤣kwahiyo hakuna chochote kinachoendelea marekani kwa sasa zaidi ya moto?Israel inapewa nguvu na Marekani uko Marekani kwasasa usingizi akuna kumekuwa jaanamu!!
Kwahiyo tetemeko la ardhi lililopiga Syria na uturuki mwakajuzi nako ni kwa sababu ya haya uliyoyaeleza?Huko ndoa za mashonga ni halali.Huko shoga analindwa anapetipetiwa watumishi wa mungu wanaoa wanaume wenzao. Hayo niyasikia kwa muhubiri flani wa huko usa mwaka jana alikuwa anasema hasira ya bwana iko karibu kuwashukia kwenye hii miji hasa las angeles.
Mimi sio muumini sana wa majanga kama haya kumusisha mungu huwa niko kinyume kabisa maana majusi tumeshudia vibunga vya kufa mtu kule kule magharibi
Ni vyema ukaliuliza tetemeko lenyewe linasemaje .Kwahiyo tetemeko la ardhi lililopiga Syria na uturuki mwakajuzi nako ni kwa sababu ya haya uliyoyaeleza?
casuality rate ni ndogo saana, so si mfano sahihi wa Sodoma na Gomora, na uwezo wao wa kurudi kwenye hali ya kawaida ni mkubwa na kwa haraka, kuliko ingetokea huku kwetu.Yaani LA imekuwa kama Gaza
Ila wao hawakupigwa hata na silaha moja ila wamekiona cha mtema kuni
Wacha waonje nao kwa kukosa pa kuishi kama wanavyowaona wa Gaza
Mungu mkubwa
Mungu wa yupi mkweli ona Palestine ona sasa machozi ya watoto wapalestina kodi za marekani zinatumika kutililisha machozi ya wapalestina leo marekani inawaka MOTO MOTO MOTO MOTO MOTO ukweli akuna maigizo apo kama kwenu mungu wenu zaifu kias mchungaji inabidi apange mchongo kuigiza tukio kisha mtu adai kapona uwongo ntupu kichefuchefu zaid sifa anapewa YES● na mikeleleeee kibao yesu anaweza yesu anaokoa haaaaa raaaaa sana MOTO UWO LIVE je kwanini tusiamini mungu wa Palestine ndio mkuu!!!Wafuga Midevu na Majini wanafikiri kutumia Makalio kabisa!!! Huko Gaza unasema watoto wanauliwa kwani huko ndiko kuna kiwanda cha kutengeneza watoto? Na kwa nini watoto tu Ina maana mabomu ya Israel yanalenga watoto tu na wakubwa yanawakwepa? Na kwa nini hamsemi akina Baba,Mama,na vijana? Au mnasema watoto ili moats huruma kwa walimwengu? Kumbuka Hamas walivyofanya mauaji huko Israel Oct 07,2023 waliua watoto,wanaume na wanawake na walibaka na wengine kuwateka nyara hao wewe kwa akili yako ndogo hata huwasemei au kwa akili zenu za kushikiwa unaona watoto ni Gaza tu? Acheni ujinga!!
Itakuwa kweli hamna kazi za kufanya 😹Huyo jamaa ni bladfakeni asbh nimeweka uzi akaandika hivyo hivyo alivyo ku quote wewe hapo