Mike Moe
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 319
- 335
Kukamatwa na Serikali kwa hilo jambo ulilolisomaKukamatwa kwa nini? Na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukamatwa na Serikali kwa hilo jambo ulilolisomaKukamatwa kwa nini? Na nani?
SawaWeiterleitungshinweis
www.google.com
Haya soma hapo ,halafu muwe mnajitahidi kufuatilia international news kuongeza tu uelewa kichwani itawasaidia kujua mambo yanayoendelea duniani kwa undani
Mossad ndio wamechoma Israel hatari sana wana wa Israel wanna akili sanaa ukiwapinga Mungu anakupa janga kubwa. Nyie kigeu kigeu tatizo ingekuwa IRAN ndiio aya majanga tunawajua kwa propaganda za kidini ingepambwa israel adi tuogope ujinga.Ningekujibu lakini kwa kuwa umeingiza mambo ya dini naona bora nikuache tu maana hakuna ujualo na Ujinga na Upumbavu unakusumbua kufananisha tukio la kupigwa magaidi wa Hamas kutokana na uchokozi wao wa Oct 07,2023 na Janga la moto lililotokea huko Marekani!!
Weka hapa serikali itanijuaje, weka hapa kosa litakalotumika kunikamata.Kukamatwa na Serikali kwa hilo jambo ulilolisoma
Nyie leo mnajidai amtaki tuamini mungu ndio anaichoma marekani lkn mlivo mizwazwa ingekuwa MOTO upo iran mungesifia muuni wenu mnaomwita mungu!!!!!! Lkn Leo mnajidai eti majanga ya asili umeona wapi ktk dunia hii MOTO KAMA HUUU??allah kiboko alipeleka tetemeko Turkey, mafuriko dubai, na Iran maana mishoga na misagwaji imejaaaa sana huko.
allah kapeleka kipondo gaza na kaacha hamas na hezbollah ipoteze viongoz wao tena kwa kuuliwa kibudu maana na wao walizidi sana kuwa mashoga na misagwaji.
Upo nchi gani mkuu?Weka hapa serikali itanijuaje, weka hapa kosa litakalotumika kunikamata.
Tena lieleweke mpaka Interpol na US State Department, kwa sababu mimi sipo Tanzania.
Yuko Gaza!!Upo nchi gani mkuu?
weee kwa hiyo ni moto toka kwa allah?Nyie leo mnajidai amtaki tuamini mungu ndio anaichoma marekani lkn mlivo mizwazwa ingekuwa MOTO upo iran mungesifia muuni wenu mnaomwita mungu!!!!!! Lkn Leo mnajidai eti majanga ya asili umeona wapi ktk dunia hii MOTO KAMA HUUU??
Yess malipo apa apa marekani ndio Israel uwez kuwatenganisha, silaha wanajeshi majenerali wa marekani ndio wanaongoza vita apo GAZA kila kitu ni Marekani wauwaji wa watoto na machozi yao lazima wayalipie pakubwa huuu mwanzo tuuuuuu!! Ata nyie mashabiki maandazi kwakuwa nanyi mmedhabikia mauwaji yale mjue mtakutana na majanga aina tofaut tofaut kias mjue zambi yenu!! Vinauliwa vitoto nyie mnashangilia!!! Mtalipia na yumkin bahadhi yenu mshaanza kulipia!!weee kwa hiyo ni moto toka kwa allah?
Nishakuambia ila wewe hujui kusoma kwa ufahamu tu.Upo nchi gani mkuu?
Mbona unaumia utadhani ww ni Mmarekani?Hawezi kukupa Source ya UHARO huu maana jamaa anaongozwa na Chuki binafsi na marekani hivyo anajitahidi kuleta uongo ili tu aeneze chuki za kutosha dhidi ya marekani. Najiuliza yeye sijui itamsaidia nini!!
Mitizamo ya kijinga siwezi kuiheshimu hata siku moja!! Na wewe kwa akili yako ndogo umejua mauaji ya wapalestina tu na hujui kabisa mauaji yaliyofanyika Oct 07,2023 ambayo hao unaowaita wewe Wapalestina waliteka,wakatesa watu,wakabaka na kuua watu 1,200 ulivyo mjinga huyaoni hayo!! Acha chuki za kijinga kama hizo. Ulivyo limbukeni unafikiri utu ni kwa waarabu tu kwa wengine hapana? Hayo yote ni ujinga na Upumbavu walioufanya waarabu wenzako Oct 07,2023 sasa acha wavune walichopanda.Mbona unaumia utadhani ww ni Mmarekani?
Yaani unamtukana na kutweza utu wa mtz mwenzako kisa Marekani ambayo hata hujawahi wala hutarajii kuikanyaga?
Ww una sema chuki dhidi ya Marekani inamsaidia nini ,vipi na ww mauaji ya wapalestina yana kusaidia nini kwenye maisha yako mbona unayafurahia?
Heshimu mitazamo ya wenzako.
Huo ni Ujinga na Upumbavu uliopitiliza Iran imekuwa kwenye majanga makubwa kila Mwaka nayo tuseme ni moto kutoka kwa Allah wenu? Nashangaa sana kila waarabu wanaposhindwa vita hawaachi kusingizia Marekani kuwa inaisaidia Israel wameshaanza wao anayewasaidia hata kama hawana kama wao wanaona kusaidiwa ni deal kwa nini nao wasitafute mpambe wa kuwasaidia? Kuna ujinga mwingine wa kusema watoto wanauliwa huko Gaza wamesahau kuwa Hamas ni magaidi wanatumia watoto kama kinga ili wahurumiwe na jumuia za kimataifa.hata hivyo mwenye akili Tim am ataki uliżą hayo mabomu ya Israel yanaua watoto tu wakubwa yanawakwepa? Lakini kwa ujinga wako unalishwa UHARO wa waarabu na wewe unaufakamia bila kujua wenzako wana Łęgno la kutafuta huruma kutoka wa watu maana Israel inashusha kipigo kikubwa mnóstwo kwao hivyo wanatafuta huruma kwa nguvu zote.Yess malipo apa apa marekani ndio Israel uwez kuwatenganisha, silaha wanajeshi majenerali wa marekani ndio wanaongoza vita apo GAZA kila kitu ni Marekani wauwaji wa watoto na machozi yao lazima wayalipie pakubwa huuu mwanzo tuuuuuu!! Ata nyie mashabiki maandazi kwakuwa nanyi mmedhabikia mauwaji yale mjue mtakutana na majanga aina tofaut tofaut kias mjue zambi yenu!! Vinauliwa vitoto nyie mnashangilia!!! Mtalipia na yumkin bahadhi yenu mshaanza kulipia!!
Ndio nimerudi kusoma tena mkuu nilichokielewa nahisi ntakuwa sawa, fanya mpango vijana tuje huko kubeba hata maboksiNishakuambia ila wewe hujui kusoma kwa ufahamu tu.
Unakaa Tanzania , huna vifaa vya uchunguzi. HUWEZI JUA CHANZO CHA MOTO ULIOTOKEA MAREKANI. NI UONGO.WAO WATASEMA WAKIFANYA UCHUNGUZI KWA SASA HAKUNA ANAYEWEZA KUJUA CHANZO CHA MOTO ULIOTOKEA MAREKANI NA ANAISHI TANDALE KWA MFUGA MBWA AU MABIBO MAJI MATITU.Leo tuwe na mjadala huu: kuna vitu vinahitaji watu wavielewe kiundani.
Wewe unahisi Chanzo cha moto wa Los Angeles California ni kipi? Toa sababu unazozijua