Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

Ndondi ukiwa nyumbani na ukafanikiwa kutoboa raundi zote wewe moja kwa ni mshindi ata kama uko mwanzo ulipokea ngumi nzito. Njia rahisi ya mgeni kushinda ni ashinde kwa KO
Mkuu bora soccar tu, huu mchezo wa ngumi nawaachia watemi.
Maana kwenye mchezo wa ngumi kila mtu ni mtemi, kuanzia mchezaji, makocha, refa mpaka mashabiki.

Ndio maana akili zao zinashindwa kuamua vizuri mpaka leo.

Hivi watu wanagombea kombe (mkanda) la kimataifa, alafu mpinzani mmoja anapambana kwao, hivi huoni upendeleo hapo.

Kwanini wasipeleke nchi ngeni kwa kila mmoja?
Mfano pambano lingefanyika hata India, ama nchi yeyote ya Amerka kusini, lakini hawa wapuuzi wameamua game ifanyike England nyumbani kwao Liam Smith tena ndani ya jiji alilo zaliwa (Liverpool) kama sio mchongo ni nini?

Bubu, ngumi ni mchezo wa kiduanzi kuwahi kutokea Duniani
 
Watu wamekosa burudani,awe makini wasimshuti na pipe,mbona alitoka pasipo kuchechemea kama issue ni mguu
 
kaweka video kule instagram anasema alipoteza begi airport eti ndio ikabidi apewe viatu vingine hiyu dogo lipo jambo nyuma ya pazia , how come upoteze begi airport kama sio usanii huu
 
Wewe unazungumzia historia, mimi nazungumzia current forms ktk pambano la leo.

Achana na historia zungumzia, pambano hili la leo.Hata Joshua clip zake YouTube zina vutia ila bado akapigwa.
 
Ashajitetea huku kua kapewa kiatu kibovu . Na hata alipotema mouth guard refa hakusimamisha pambano.
 
Uzuri hadi pambano lilipokuwa limefikia Home noy alikua na credit za kutosha tu na kama hali ingeendelea vile mzungu asingefika raundi ya kumi

Labda kosa la mwakinyo ni kupanda na viatu hivyo ulingoni.kwani alipovivaa hakuisikia hali hiyo mwanzo?
Na hili liwe funzo we umepoteza viatu vyako unasubiria vya kuletewa pasipo kufikiria fitness yake kwanza?

Kweli huku kijichi tumekua dis appointed kwa namna pambano lilivyoisha sababu ulikua ukienda vizuri tu.mwanzo tukajua ni maji walimwaga ili uteleze!

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
kaweka video kule instagram anasema alipoteza begi airport eti ndio ikabidi apewe viatu vingine hiyu dogo lipo jambo nyuma ya pazia , how come upoteze begi airport kama sio usanii huu
Visingizio tu hivyo.
Sema nini,aache madharau kwa wenzake.
 
Kila la kheri Champ! Nilijua lazima wangekufanyia hila yeyote Ile. All the best!
 
MTU anaposema tumuombee kuna kitu watanzania tujifunze kutoka kwa JPM na sasa Mwakinyo na majaji wa mahakama kule kenya

Mtanzania na Bondia Hassan Mwakinyo, amewaomba watanzania kumuombea kuelekea pambano lake la leo dhidi ya bondia, Liam Smith raia wa Uingereza.




" Ni dua zenu pekee zinaweza kunivusha hapa nilipo" ameandika Hassan Mwakinyo.
 
Wewe unazungumzia historia, mimi nazungumzia current forms ktk pambano la leo.

Achana na historia zungumzia, pambano hili la leo.Hata Joshua clip zake YouTube zina vutia ila bado akapigwa.
Kwahiyo wewe huyo mwakinyo unamwona ni mzuri kuliko huyo mzungu?.Hebu tuache kujifariji bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…