Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

Hata Mayweather hajawahi kulipa hiyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani unamaanisha mayweather hajawahi kulipwa Dola laki 2 (Tsh.230Mil) hivi mkuu unafuatilia kweli ngumi au umesema tu
Hiyo ni hela ambayo Mayweather hawezi kupanda ulingoni kabisaa
 
Sio dola laki 2 alimaanisha Dola milioni 120
Yaani unamaanisha mayweather hajawahi kulipwa Dola laki 2 (Tsh.230Mil) hivi mkuu unafuatilia kweli ngumi au umesema tu
Hiyo ni hela ambayo Mayweather hawezi kupanda ulingoni kabisaa
 
Yaani unamaanisha mayweather hajawahi kulipwa Dola laki 2 (Tsh.230Mil) hivi mkuu unafuatilia kweli ngumi au umesema tu
Hiyo ni hela ambayo Mayweather hawezi kupanda ulingoni kabisaa
Kuna boys huko juu kasema mwakinyo anakunya USD million 80 ndo walichopinga hicho
 
Nafuatilia hili pambano la hawa mademu, sio poa, kuna mikuki inarushwa na huyu Natasha mpaka raha yani.
 
Oyahaaa, sio poa, hawa madem noma, hufai kuwaoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…