Sio Dollar laki 2 mkuu.Yaani unamaanisha mayweather hajawahi kulipwa Dola laki 2 (Tsh.230Mil) hivi mkuu unafuatilia kweli ngumi au umesema tu
Hiyo ni hela ambayo Mayweather hawezi kupanda ulingoni kabisaa
Natasha Jonas amenikosha sana aisee hizi ndio ngumi sasa huyu dada ni balaa aiseeBabu, huku maporini tunaongopeana mpaka inafikia atua inabidi uamini tu.
Maana unaweza kumuelekeza mtu, mwisho wasiku akaomba pambano la ufunguzi na wewe.
Ila unafuatilia lakini hili pambano ninalo endelea la hawa madem?
Oyah, sio poa hao madem noma
Wameenda mbali wanadai akishinda pambano hili anampita pesa Akon.Hahah saa Nyingine ni Bora kukubali tu,wasije kusema jamaa anajifanya mjuaji.
Hapo UK wanamtambua kama heavy puncher,ndivyo wanavyomuita kwa alivyomfanya ndugu yao Sam eggingtonHuyu Smith ni mbishi sana.
Weakness kwa Hassan Mwakinyo siku zote ni:-
1) Anaishiwa sana pumzi kwenye round za mwisho
2) Ana ngumi nyepesi, ambazo wapinzani wake wanazimudu.
Hahahahaaa sikumuelewa mkuu Dola Mil 230 si ukichaa huo mihela yote hiyooSio Dollar laki 2 mkuu.
Dollar laki 2 mbili mbona ya kawaida tu.
Kuna mwanangu keshawahi lamba Dollar laki mbili na sabini, mwaka 2014, lakini leo hii tuna kula pamoja dona dagaa, na kugongeana ganja kila leo.
Ilikuaje mkuu mpaka akafiliska?Sio Dollar laki 2 mkuu.
Dollar laki 2 mbili mbona ya kawaida tu.
Kuna mwanangu keshawahi lamba Dollar laki mbili na sabini, mwaka 2014, lakini leo hii tuna kula pamoja dona dagaa, na kugongeana ganja kila leo.
Ashinde na sisi tuonekane huko duniani.Nina hisia Mwakinyo anachezea
Mpaka hapo tumeonekanaAshinde na sisi tuonekane huko duniani.
Kuna nimi huko?Mbona ameanza kuwa mpole ghafla
Hashindi aisee. Huyo jamaa yupo home LiverpoolHili pambano ni gumu wazee Sana na daraja la kumpeleka mwakinyo viwanho vingine maana akishinda hapa anakuwa anawatafuta akina eubank Junior akifanikwa kuvuka hapo huyu mwakinyo tutakuwa tunamuona huko marekani tu kwa kweli maana atakuwa level kubwa sana
Upepo unaendaje?Hili pambano ni gumu wazee Sana na daraja la kumpeleka mwakinyo viwanho vingine maana akishinda hapa anakuwa anawatafuta akina eubank Junior akifanikwa kuvuka hapo huyu mwakinyo tutakuwa tunamuona huko marekani tu kwa kweli maana atakuwa level kubwa sana
Ameingia kinyonge sana.Kuna nimi huko?