Hassan Mwakinyo ndio bora wa wakati wote hapa Tanzania. Wabongo wanataka kumshusha

Aachane na Uswahili!! Jamaa ni mswahili sana, na alijiona kama hakuna mtu wa kumfanya kitu!!! Yaani ugomvi wako wa mtaani unauleta hadi kwenye mikataba ya kazi za watu!!
Uswahili ni hilka na asili yake, yeye Mtanga, mnataka afanane na Wanyakyusa au wasukuma?
Mnakerwa nini?

Huyu jamaa hana kosa lolote, roho kutu za wabongo ndio zinajitahidi kumshushs
 
Mwakinyo hana mkanda wowote anaoushikiria kwa sasa na pia ana nyota 2 kwa Sasa tofauti na zamani alipokuwa na nyota nne.

Thamani yake imeshuka automatically hivyo hata pesa anazozitaka haziendani na thamani yake , anataka pesa nyingi wakati thamani yake ndogo.

Nyie msiojua boxing anawapelekesha sana kwa kutoelewa kinachoendelea.
 
Mtu ana nyota ashushwe kwa lipi wakati hapo alipo tu yupo chini.

Baada ya kupigwa kijinga na Liam Smith kuna kuna baadhi ya nchi wamempiga stop kupigana kwenye nchi zao maana alidhalilisha sana boxing.
 
Mwakinyo anajua ngumi atakuja kupiga mzungu mwingine ilo hakuna shaka. Ila kukabiliana na wajinga wenye chuki inabidi ajipange vizuri sana. Wanakuwaga wamoja kwenye jambo lao.
 
Uswahili ni hilka na asili yake, yeye Mtanga, mnataka afanane na Wanyakyusa au wasukuma?
Mnakerwa nini?

Huyu jamaa hana kosa lolote, roho kutu za wabongo ndio zinajitahidi kumshushs
Wanasema hawampendi ana nyodo ila fight yake ikitokea kesho kiingilio aweke laki na bado atajaza na biashara itafanyika mno.
 
Akikubishia ntamshanga maana najuwa wewe boxing unaijua nje ndani
Tatizo mleta mada kila kitu anakichukulia kama mziki wa bongo
Fleva na mambo ya wasafi

Ova
 
Unavyosema Mwakinyo ni bondia bora wa muda wote unakosea.! Unamkumbuka Rashid Matumla (snake boy) alichofanya kwenye boxing huyo brazamen hajafika hata robo
Matumla kafanya nini wewe ushawai muona akipigana au ulitazama picha kwenye magazeti πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…