Hassan Mwakinyo ndio bora wa wakati wote hapa Tanzania. Wabongo wanataka kumshusha

Tulia hujui lolote ww uyo KT kafukuzwa na abubakar kama mbwa pale azam masaki hataki ata kumuona promota mwizi uliza uelekezwe kiande
 
Nimependa Sana haya maneno...
Waswahili ni watu wa kuyakadilia mafanikio, kuna mstari wa mafanikio ukiuvuka hata wale waliokupeñda wanageuka kukupiga vita upotee
 
Kwa hiyo wewe shida yako ulitaka apatikane mtu wa kumfanya kitu?? [emoji28][emoji28][emoji28]

Roho mbaya!
Ndo yaleyale Tu Roho Mbaya wabongo wanapenda mtu afikwe na mabaya Tu! Yaani mtu anatamani afanywe kitu.. Kwanza kitu gani? [emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Naomba mwenye ufahamu aweke hapa rekodi ya mapambano aliyocheza bondia Mwakinyo, mapambano aliyocheza mwaka jana na mwaka huu.
 
Huenda ni kweli mwakinyo anajawa dharau na majivuno lakini ni sehemu ya madhaifu yake kama mwanadamu, Mwakinyo amejitahidi kujijengea brand yake na kwa kiasi fulani ameweza ila kuna viongozi wajanja wajanja wanakwamisha
 
Tulia hujui lolote ww uyo KT kafukuzwa na abubakar kama mbwa pale azam masaki hataki ata kumuona promota mwizi uliza uelekezwe kiande

Sijui ndio ila kuzinguana kibiashara ipo ila kitu ambacho huwezi kukitoa kwa Twissa ni ule ubongo.
Kaulize jamaa ni nani kwenye telecommunications Tz hii na hata wakati anarudi bongo kuanzisha kampuni yake, alitokea sportpesa Kenya kwa hiyo, sio choka mbaya au promota chawa kama unavyotaka kumuonesha.

He is a genius na ndio maana Jackson group imeupa thamani mchezo wa ndodi kwa kuupa promotion kubwa lakini pia kuandaa matamasha ya hadhi. Sio huyo mwakinyo maana akili hiyo hana
 
Nyie ndio mnaomharibu mwakinyo kwa uchawa wenu ....mwambieni ukweli

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Management anayo ila ni mjuaji sana na mtu wa kujiskia sana ndyo maana anaenda front mwenyewe.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Huenda ni kweli mwakinyo anajawa dharau na majivuno lakini ni sehemu ya madhaifu yake kama mwanadamu, Mwakinyo amejitahidi kujijengea brand yake na kwa kiasi fulani ameweza ila kuna viongozi wajanja wajanja wanakwamisha
Viongozi janja janja wa wapi ilhali ni yeye mwenyewe alikiuka makubaliano ya mkataba aliosaini yeye mwenyewe?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Nimependa Sana haya maneno...
Waswahili ni watu wa kuyakadilia mafanikio, kuna mstari wa mafanikio ukiuvuka hata wale waliokupeñda wanageuka kukupiga vita upotee
Hayo maneno ni sawa ila kwenye ukweli tuseme ukweli mwakinyo kwenye pambano la juzi kazingua kwa kukiuka mkataba aliosaini yeye mwenyewe kwa io kufungiwa ilikuwa ni halali yake

Hilo la roho mbaya za waswahili sidhani kama ni sehemu yake hapa

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Siku ambayo angepigana na Dullah Mbabe au yule jamaa mjeda ndio siku ambayo angechezea kichapo kama mtoto mdogo.

Wabongo wamekomaa sana miili yao na wanaweza tofauti na wote ambao amewahi kupigana nao Nje ya Nchi na ndio maana hua anaogopa na hataki kupigana na Mbongo kwa sababu anajua atavyochakazwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…