Walikuwa wanajua kwa kweli tuwape tu pongezi zao"umtafute mpaka umuone mchumba wangu Clara.....mchumba wangu Clara..
Nyumbani anapoishi ni Msimbazi kota.... ukimuona mpe salamu nyingi sana...mueleze mchumba wako Kibwana anakusalimuuu......"
Hatari sana, hawa wazee walikuwa wanajua.
Namba yake mie ninayo.Alijenga sinza ndio anaishi huko nitawaletea namba yake kesho
Iweke jamvini arushiwe hela ya matundaNamba yake mie ninayo.
0784 567750Iweke jamvini arushiwe hela ya matunda
Vizuri sana0784 567750
Nilicoment bila kujua kuwa ulishaelezea mkuuMbona nimeelezea hapo juu. Wimbo unaitwa Shukrani kwa Mjomba. Ameimba pamoja Gurumo.
Looo hunizidi mimi mkuu, jamaa amebarikiwa kipaji cha sauti.Halafu jamaa nasikia aliishia std 6,
Ni Muha wa Kigoma kwa Kabila,
Binafsi mm ni shabiki wake haswa...
Kwenye list yako ongeza ONYO, Na huruma kwa wagonjwa, hutojutia mkuuBaadhi ya Nyimbo ambazo huwa nazo siku zote nitembeapo ni :
- Mume wangu Jerry,
-Kila siku Kelele,
- Pata Potea,
-Chenga ya Mwili,
-Hapendeki
-Clara,
-Akiambiwa Aangukie...
-NK Nk.
Nipo hapa naburudika na onyo mda huu.Baadhi ya Nyimbo ambazo huwa nazo siku zote nitembeapo ni :
- Mume wangu Jerry,
-Kila siku Kelele,
- Pata Potea,
-Chenga ya Mwili,
-Hapendeki
-Clara,
-Akiambiwa Aangukie...
-NK Nk.
Sio vyema kumzushia binadamu mwenzio kifo.Bichuka ana miaka zaidi ya miwili kafaliki RIP.
Tunashukuru snaa mkuu kwa kutuletea mawasiliano yake, jamani shime shime tumsaidie hyu mzee angali hai, namba hyo hapo sasa nadhan kabla hujatuma chochote ihakiki ujiridhishe kwanza.Huyu Mzee anahitaji msaada kila atakae guswa tumchangie kwa no yake nimeongea nae no yake ni 0784567750
Yupo kwake sinza ni mgonjwa mpigie kwa hiyo no yake mtumie chochote.Tunashukuru snaa mkuu kwa kutuletea mawasiliano yake, jamani shime shime tumsaidie hyu mzee angali hai, namba hyo hapo sasa nadhan kabla hujatuma chochote ihakiki ujiridhishe kwanza.
Sawa mkuuYupo kwake sinza ni mgonjwa mpigie kwa hiyo no yake mtumie chochote.