wakuja town
JF-Expert Member
- Oct 26, 2020
- 898
- 1,343
- Thread starter
-
- #81
Kweli mkuu, jitahidi pia umchangie mkuu namba yake hyo hapo juu,.Huyu Mwamba Pale Sikinde alikuwa hana mfano wake..
Sikiliza Kibao cha Hiba utajua kweli huyu mwamba alikuwa ana sauti ya kipekee.
Pole nyingi kwake Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi apate kupona.
Iko wapi..?Kweli mkuu, jitahidi pia umchangie mkuu namba yake hyo hapo juu,.
Iko kwenye heading ya hii postIko wapi..?
Sorry mkuu ipo kwenye heading ya post nyingine ambayo ipo humu (0784567750) hyu ni bichuka mwenyewe.Iko wapi..?
Mods wameufuta mkuu bt namba hyo hapo.Iko wapi..?
Hujui loloteBichuka ana miaka zaidi ya miwili kafaliki RIP.
Aisee nimejikuta nikimkumbuka sana huyu fundi wa muziki wa dansi aliyepata kuvuma sana kwenye muziki wa dansi na nyimbo kadhaa zilizokonga vilivyo nyoyo zetu.
Yu wapi gwiji huyu?
Shukran sana mkuu kwa hii taarifa,Mkurugenzi Mkuu wa TBC Dkt Ayoub Rioba & Watendaji Wenzake Wamtembelea Mwanamuziki Mzee Hassan Rehani Bitchuka Nyumbani Kwake Sinza
Mzee Bitchuka aliyewahi kuimbia bendi mbalimbali kama Msondo na Sikinde anaishi maeneo ya Sinza Jijini Dar es salaam anasumbuliwa na Maradhi ya Macho, Sukari na Shinikizo la damu. Timu ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ikiongozwa na Dkt Rioba ilimtembelea Mkongwe huyo ili kumjulia hali...www.jamiiforums.com
Nautafuta sana huu wimbo kakaNakuonya nakuhaasa wewe zumbukuku, oooo fikiria dunia, inavyokwenda, hapa alishirikiana na kina marehem shaaaban dede.
Huyu Mdau Bichuka, anaendeleaje wadau!?Nautafuta sana huu wimbo kaka
Bado anaumwa nilkutana na mwanae juzi amesema "Hali ya Mzee siyo nzuri bado anapambana na maradhi"Huyu Mdau Bichuka, anaendeleaje wadau!?
Pls mkuu, hii ya kwako ndio latest informations, unaweza elezea zaidi hali yake na the way forward kama unahitaji kuchangia kidogo, una latest number yake ya simu pls?Bado anaumwa nilkutana na mwanae juzi amesema "Hali ya Mzee siyo nzuri bado anapambana na maradhi"
Mzee Gulumo R.I.P, wakati anahojiwa na kituo flani cha Radio wanamziki au waimbaji wake wazuri wa wakati wote yy alisema 1. Cosmass Chidumule 2. Bitchuka 3. Moshi William Tx.Amewahi kuhojiwa ni wimbo gani kwakwe ndio the best kuliko zote akajibu "Si wazuri binadamu"
Hii ni kwasababu walikuwa wanapigana vijembe sana na wapinzani wao sasa baada ya kutoa kibao cha si wazuri binadamu akawa amehitimisha vijembe na havikutolewa tena. Na hata hivyo ni wimbo uliopendwa sana.
Jamaa anajua sana. Natamani kungekuwa na uwezekano tukutane hata wadau 10 au 20 tunajikusanya tunaenda kumuachia hata chochote tutakachojaaliwa.
Chacha Maginga wa TBC wanakipindi cha zilipendwa...na amekuwa akimsupport mara kwa mara kwa michango ya wadau wa music wa dansi. mnaweza kwenda TBC pale mikocheni mkamtafuta nae atawasilisha michango yenu pia mnaweza kufanya kipindi nae na kutoa michango yenu....Ambae ataweza kutupatia mawasiliano yake atakuwa amefanya jambo la maana sana.
Tujitokezeni tumsaidie wakuu,
Karibuni wote kwa suggestions zaidi.
Huyu nafikikiri ni Maxmillian Bushoke...baba yake na Bushoke wa bonge fleverUnajua mwenzangu karibuni utatoka hospitalini,utokapo tafadhali..fika mjini ....
Mimi sina namba ya Mzee Bitucha ila mwanae huwa nakutana naye mara kwa mara,aliwahi kuniambia Mzee anaishi nyumbani kwake Sinza. Ngoja niulize vizuri location na itapendeza kwenda kumtembelea.Pls mkuu, hii ya kwako ndio latest informations, unaweza elezea zaidi hali yake na the way forward kama unahitaji kuchangia kidogo, una latest number yake ya simu pls?
Pls mkuu do that, thanksMimi sina namba ya Mzee Bitucha ila mwanae huwa nakutana naye mara kwa mara,aliwahi kuniambia Mzee anaishi nyumbani kwake Sinza. Ngoja niulize vizuri location na itapendeza kwenda kumtembelea.
Jioni Mungu akipenda nitaleta majibu sahihi Mzee anaishi Sinza sehemu gani na kama atanipa namba ya Mzee na kuniruhusu kuweka hapa nitafanya hivyo.
Nawashukuru WazaziSamahani nje kidogo ya mada. Kuna wimbo wa zamani kuna kijipande kinasema "nilipomaliza masomo nilipata kazi'' naomba jina la wimbo.
Sinza mitaa ya Lion Hotel ukiuliza home kwa Bichu wanakulengeshaBitchuka anaishi Sinza mkuu yupo na mkewe hivyo ukifika pale utaweza kutoa msaada wa moja kwa moja otherwise bado sijapata nafasi yakupata contact zake...Ila yupo nyumbani kwake Sinza na anaumwa huu Ni mwaka wa pili Sasa!...
Tumsaidieni huyu legend!
Shukurani kwa MjombaDaaa memory inashindwa kuload vzr coz hujafafanua zaid mkuu, ingeza nyama kdg tuukumbuke.