Hassan Said(26), Askari Magereza Ukonga, ashikiliwa kwa tuhuma za kubaka na kulawiti

Aisee
 
Hawa mabazazi unaminya pumbu ukiisha mhasi unamuachia kuliko gharama za kumlisha jela
 
Kumbe ni tuhuma tuu basi kuna 50% ya huyo km kushinda kesi ova.
 
Siro anajisikiaje kuwa kama mlezi wa Askari kama Hawa?
Anajisikiaje jeshi la Police kuwa na watumishi wa aina
Juzi Handeni wameshika wanawake leo dar wamebaka na kufanya binti wa watu kinyume!
Hawa Askari na Hamza nani ni Gaidi zaidi?
Hawa ni magereza siyo wa Siro
 
Huyo askari apimwe akili kwanza, au labda alitumia bange kwanza kabla ya kutenda tukio
 
mnisamehe bure kwa uamuzi wangu niliochukua kwa tukio nililolifanya nitaonekana nimekufa kizembe”[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827]

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
ITA KUWA HUYU ASKARI MAGEREZA NA MWENZAKE,
WAME CHANJWA CHANJO YA J&J

na ndio maana hata Job ndugai ANASEMA YESU ALI TEMBEA NA MKE WAKE....
 
Ndo matatizo ya kuzuia porn Ayo.

Vijana walkua wanaponea kwenye viganja vyao
 
Hii wiki kesi za ubakaji zmekua nyingi [emoji848]
 
Ni demu wake aliye ishi nae kwa kipindi, jamaa kaomba mkopo kazini baada ya kupata mkopo demu kasepa na mkopo na baadhi ya vitu.. Kamuachia jamaa gheto tupu inavyosemekana lakini
[emoji849][emoji849] Sasa demu alivyoingia kwenye 18 akafanyiwa unyama huo
Nisitafutwe kwa ushahidi maana yapo mengi yanayosemwa
 
Hawana hela ya kuhonga, waongezeni mshahara hadi wanabaka !! Utakuta jamaa.mshaharabtake home 580,000.
 
Labda askali alimaliza mshahara wake lakini mdada hakuonyesha ushirikiano
Pambuchi ilkaliwa kinguvu tu
Labda ndio nini? Unaleta mzaha wakati utu wa mwenzako unachezewa.
 
pole dada uliyelawitiwa.....pole sana....inaumiza sana hizi mambo...nadhani sheria iboreshwe kdg......wawe wanahasiwa kabisa......kufugwa ni kutuongezea gharama walipa kodi.....ahasie au kidudu kifyekwe ndonga..... 😎
 
Hiii kaliii imetokea mkoa wa ilala dar es Salam duuuh sio poa ilala asahv ni mkoa eeeeeeh kweliii bia tamuuuuuu kwakweriiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…