Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Upinzani ni kioo cha jamii maana hukosoa na kuwaambia watawala makosa wanayofanya.
Upinzani kufanya mikutano ya kisiasa na kueleza sera na mikakati ya kukamata dola sio sababu ya kuzuia wananchi kufanya kazi zao.
Mbona hata kabla hatujapata uhuru TANU ilikuwa inafanya mikutano ya hadhara na watu wakaendelea na shughuli zao?
CCM acheni uonevu usio kuwa na mantiki. Huwezi kupambana ngumi na mwenzako huku umemfunga kamba miguuni na mikononi.
Upinzani kufanya mikutano ya kisiasa na kueleza sera na mikakati ya kukamata dola sio sababu ya kuzuia wananchi kufanya kazi zao.
Mbona hata kabla hatujapata uhuru TANU ilikuwa inafanya mikutano ya hadhara na watu wakaendelea na shughuli zao?
CCM acheni uonevu usio kuwa na mantiki. Huwezi kupambana ngumi na mwenzako huku umemfunga kamba miguuni na mikononi.