Hata kama Chawa wa Rais Samia, sio kutete supuuzi. Yaaani ongezeko la Tsh 1,500 ndio iwe sababu?

Hata kama Chawa wa Rais Samia, sio kutete supuuzi. Yaaani ongezeko la Tsh 1,500 ndio iwe sababu?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Chawa wa mama Samia acheni ujinga

20230216_000314.jpg
 
Chawa wa mama Samia acheni ujinga

View attachment 2518767
Wasomi wa siku hizi hawana uthubutu wa kuhoji kuhusu haki zao za msingi. Kupitia uongozi wao wa wanachuo, wanakosa namna bora ya kuwasiliana na hatimaye kutafuta makubaliano ya pamoja juu ya haki zao za msingi.

Kila wanapotendewa haki kutokana na matakwa ya wakati wao hudhania kuwa wemepewa fadhila, na kuanza kutoa sifa za kijinga. Ongezeko la TZS 1,500/- limetokana na athari za muda mrefu zitokanazo na mfumuko wa bei, kiasi kwamba serikali imeona kuwa "purchasing power" yao imeporomoka sana, kwa hiyo haina namna nyingine, zaidi ya kufanya mabadiliko hayo ili kumpa mwanachuo unafuu wa manunuzi.

Hebu, wajaribu kukokotoa kupitia "exchange rate" ya TZS dhidi ya "stable currency e.g. $) kutoka mwaka 2016 mpaka 2023 waapate kujua kama kuna ongezeko lolote lililo la maana hapo.
 
Ujinga wa chini huanzia juu, umakini wa chini huanzia juu.
 
Chawa wa mama Samia acheni ujinga

View attachment 2518767
Ungekuwa umesoma hesabu usingeandika UPUMBAVU huo hapo juu. Tsh 1,500 ni 17% ya Tsh 8,500 waliyokuwa wanapata awali. Kwa mwezi ni sawa na ongezeko la Tsh 45,000.

Kama unabeza hili ongezeko ambalo ni kubwa kuliko ongezeko ambalo wafanyakazi walipata mwaka jana basi wewe ni kiazi mbatata
 
Idadi ya wanavyuo wote nchini wenye kunufaika na mkopo kwa kukadiria ni 70000

1500*70000=105,000,000/=

Pesa ndogo sana hiyo kwa serikali.

Hata hakukuwa na haja ya kusifiana kiasi hicho
 
Chawa wa mama Samia acheni ujinga

View attachment 2518767
Yaani msomi kabisa unakili wanachuo walikuwa Wana fanya umalaya na kubet!na sasa wameacha,sababu ilyofanya waache,ni Raisi kuongeza pesa ya kujikimu!

Badala ya kuchambua maswala yanayokabili bodi ya mikopo,na ufinyu wa bajeti,

Sasa hv kwa maisha haya magumu,tumebakiwa na machawa,kila mtu anamsujudia Raisi Ili apate kula yake,Siku Raisi akinyanganywa haya madaraka ya kugswa vyeo,huu uchawa ndio utaisha,sasa hv Raisi anaweza

akakunyanyua,au kukushusha,anaweza akateua Mwalimu mkuu wa shule ya msingi kuwa mkuu wa mkoa,Mbunge,au waziri,au hata mkurugenzi wa shirika la umma.

Sasa hv Ukiwa serikalini,wewe busu makalio ya Samia tu,maisha yako yananyooka
 
Ungekuwa umesoma hesabu usingeandika UPUMBAVU huo hapo juu. Tsh 1,500 ni 17% Tsh 8,500 waliyokuwa wanapata awali. Kwa mwezi ni sawa na ongezeko la Tsh 45,000.

Kama unabeza hili ongezeko ambalo ni kubwa kuliko ongezeko ambalo wafanyakazi walipata mwaka jana basi wewe ni kiazi mbatata
Chawa vip.
 
Back
Top Bottom