Hata kama Chawa wa Rais Samia, sio kutete supuuzi. Yaaani ongezeko la Tsh 1,500 ndio iwe sababu?

Hata kama Chawa wa Rais Samia, sio kutete supuuzi. Yaaani ongezeko la Tsh 1,500 ndio iwe sababu?

Upuuzi mtupu alioungea huyu hafai kuitwa msomi wa chuo kikuu! Kwanza tujue kwanza umri wake, familia aliyotokea pamoja na chuo anachosoma! Na nafasi yake katika uongozi wa serikali ya wanafunzi!

Ni mpuuzi pekee atakayekaa kwenye media asifie kupita kiasi kwa ongezeko la 1500 ambayo atakuja kuilipa yeye akidhani Ni hisani! Huko mbele Kuna Giza la ajira hajui hatma yake anaishi kinadharia. Basically hajaangalia rate ya mfumuko wa bei za bidhaa na huduma in relation to hiyo buku jero iliyoingizwa katika Deni au mkopo wake.

Hapo nyuma, universities zilikua Ni think Tank ya Taifa, lakini Sasa wamekua walamba matako wa wanasiasa na hawawezi kunyoosha kidole pale wanapoona Mambo hayaendi sawa katika Nyanja zote za serikali!

Ni aibu kubwa Sana kwa mwanafunzi wa Elimu ya Juu kuhusisha wanafunzi wenzako na kubeti na udangaji! Hii inatoa picha kwamba siku za nyuma kabla ya ongezeko la fedha za kujikimu, wanafunzi walikua wanajihusisha na tabia hizo Jambo linalopelekea taswira mbaya kwa vyuo vyetu pamoja na wazazi ambao Wana matarajio makubwa kwa vijana wao!

Swali Ni kwamba 1500 itamuepusha mwanamke mdangaji au mwanaume mkamaria na tabia hiyo? 1500 ambayo hata RB Huwezi kupata ukiacha soda na maji ya kunywa?

Ingekua enzi zile wanafunzi wa vyuo vikuu wangeandamana kuupinga huu ujinga na upumbavu aliouzungumza huyu Kichaa! Mkumbusheni yakiyokua yamkute Marehemu Efraim Kibonde katika kipindi cha Jahazi alipoongea ule upumbavu wake.
Tumekuja kuwa na vijana wa hovyo! Kuna Mambo ya kuzingumza kwenye media publicly Kama mwanazuoni ukaeleweka kuwa unatoa hoja za kisomi kuhusu Mambo hayo hayo ya boom. Sio ujinga huu!

Kuna mwanafunzi X wa UDSM nilimuuliza unapafahamu REV square? Akaniambia hiyo sehemu haipo chuo kikuu Cha dar es salaam! Ilihali na yeye Ni kiongozi wa DARUSO! Mbaya zaidi Ni Mwanafunzi wa Ualimu na zaidi ya hapo Ni H***ual!

Nikajiuliza Nini hatma ya watoto wetu,? Kama Hawa tutaenda kuwapa dhamana ya kuwalea na kuwasaidia kufikia malengo yao kitaaluma na waweze kutoa mchango wao katika maendeleo ya familia zao na Taifa lao.

Nikajiuliza Tena Kama huyu Ni Mwanafunzi wa UDSM inayoaminika kuwa among the best Universities in Africa ,tayari Yuko hivi na Wala hajui wajibu wake kwa Taifa yeye pamoja na uongozi alionao Nini hatima ya mama Tanzania?

Si ajabu Basi kukutana na Hawa wa Aina hii wanaoenda kwenye media ili waonekane kuwa Ni wasifiaji na Ni rahisi kutumika kwa kutweza utu wao ili wapate kula na madaraka kwa gharama ya mateso ya wengine
 
Idadi ya wanavyuo wote nchini wenye kunufaika na mkopo kwa kukadiria ni 70000
1500*70000=105,000,000/=
Pesa ndogo sana hiyo kwa serikali.
Hata hakukuwa na haja ya kusifiana kiasi hicho
Zaid ya 3b per month mkuu
 
Wasomi wetu siku hizi ni kusifia tuuu ili aonekane kisha ateuliwe , zaidi ya hapo wapo wapo tu
Hatuna wasomi huko vyuoni Kama Hawa ndio viongozi wao! Serious wanahudhuria lecture theaters tu na kufanya mitihani! Hakuna wanalosoma!
 
Kwahiyo kwa 1500 mtaacha kudanga na kubeti! Ina maana hizo taasisi Ni za kupata elimu au Ni center za wadangaji na wakamaria?
Wewe kama ulisoma marekani huwezi kuona umuhimu wa 1500. Au unadhani imeongezwa 1500 kwa mwezi ni kwa siku mkuu. Na mtoto wa mkulima hiyo ni kubwa kwake.
 
Wewe kama ulisoma marekani huwezi kuona umuhimu wa 1500. Au unadhani imeongezwa 1500 kwa mwezi ni kwa siku mkuu. Na mtoto wa mkulima hiyo ni kubwa kwake.
Nimesoma hapa hapa Tanzania kuanzia chekechea mpaka Masters degree!
Swali langu Ni kwamba uksosefu wa hiyo buku jero ndio uliwafanya mgeuze universities kuwa sehemu ya Kudanga na kucheza kamari badala ya kusoma?

Hiyo kauli ya Huyo mtu kwmaba mtaacha kudanga na kukamari unaona Ni sahihi kuielekeza kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu ambao wanaandaliwa kuwa watumiaji wa Jamhuri katika secta mbali mbali?
Kama huoni Kuna tatizo hapo Basi ujue na wewe Ni sehemu ya tatizo
 
Yule shetani wa Chato hakuwahi kupandisha hata kwa Tsh 100/- over a period of five years. Kama huwezi kuona alichoongeza Samia basi kichwa chako kimebeba mifupa na misuli tu. Akili hamna.
UTU WA MTU NI BUSARA ZAKE,NA UJINGA KWAKE NI HASARA,
 
hakuna jitu pumbavu km wewe. Ongezeko la sh 1500 ni dogo? Kule nyuma walikuwa wanaongeza sh 500 na ilikuwa inasaidia. Sh 1500 kwa siku, kwa mwezi sh. 45,000/ hapo mwanafunzi amelipia kosi mpaka ya miezi miwili. Watu wengine sijui akili mmeziweka wapi, au makalioni?
Kwa sababu ya uwezo wako mdogo wa kufikiri na kuchanganua Mambo unaweza kujibu hivi.
Report ya Dr Mwakyembe pamoja na Mambo mengine iliweka wazi kwamba moja wapo ya visababishi vya kufeli kwa wanafunzi wa vyuo vikuu Ni pamoja na umri mdogo na kutopevuka akili!
Na kwa rejea hiyo Basi wewe Ni empirical evidence!
 
Nimesoma hapa hapa Tanzania kuanzia chekechea mpaka Masters degree!
Swali langu Ni kwamba uksosefu wa hiyo buku jero ndio uliwafanya mgeuze universities kuwa sehemu ya Kudanga na kucheza kamari badala ya kusoma...
Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni. Kipindi wewe unasoma enzi za mkoloni hakukuwa na betting.

Kwanini asiwe huru kusema mawazo yake? Wewe mwanafunzi wa chuo utaharibikiwa kwa kauli ya mtu kwenye tv? Basi elimu ya chuo haijakusaidia!
 
Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni. Kipindi wewe unasoma enzi za mkoloni hakukuwa na betting.

Kwanini asiwe huru kusema mawazo yake? Wewe mwanafunzi wa chuo utaharibikiwa kwa kauli ya mtu kwenye tv? Basi elimu ya chuo haijakusaidia!
Alokwambia nimesoma enzi za mkoloni Ni nani? Kuna mahali nimejitangaza au kutaja kuwa nimesoma enzi za mkoloni?

Bado unazidi kudhihirisha uelewa wako mdogo na kushindwa kujibu maswali yangu yanmsingi!
Unaposema nimesoma enzi za mkoloni unajua Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu ulianzishwa lini na kwa sababu zipi na kilichokua kinafabyika kabla ya hapo kwa ajili ya wanafunzi wa Elimu ya Juu?

Mwanafunzi wa chuo kuwa labelled kuwa Ni mkamaria na mdangaji Ina athari kubwa Sana kwenye jamii Tena imezungumzwa kupitia chombo Cha habari (tv) kumbuka anayeitoa kauli hii inatolewa na mwanafunzi (Yuko ndani na miongoni mwa wanafunzi)
Atahri yake huwezi kuiona Sasa Ila huku kwenye jamii utakaporudi jamii kubwa inmtawa-stereotype Kama wadangaji na makamaria maarufu! Hamtaaminika kupewa dhamana sehemu yoyote!
Ni Bora kukaa kimya Kama huna neno zuri zaidi la kuweka sehemu husika!

Usijaribu kusema elimu ya chuo haijanisaidia kwa sababu kwa ninachoandika hapa ukilinganisha na unachoandika na kujibu GT wataamua tu kuwa Nani elimu imekomboa akili yake!

Kuna mahali umeniquote na kusema inamsaidia mtoto wa mkulima! Wewe Ni mjinga ashakumu sio matusi! Tunapopnadisha nyuzi huku kulaani na kulalamika swala la mfumuko wa bei za vyakula ninyi pro mnaungana na watesi wetu kusema kwamba hivi Sasa wakulima Ni matajiri kwa sbabu wanauza kwa Bei za juu!

Kama Ni hivyo means wanaweza ku-afford gharama za kusomesha na 1500 haiwezi kuwa na impact kwneye maisha ya watoto wao vyuoni kwani si Wana Mapesa sababu ya nafaka Bei juu!
.......Sasa subiri maisha ya boom yaishe uje mtaani uvue Joho utajua Nini maana ya kukosa ajira mfumuko wa bei na nyongeza ya Buku Jero baada ya muda mfupi board hiyo hiyo inakuja!
 
Alokwambia nimesoma enzi za mkoloni Ni nani? Kuna mahali nimejitangaza au kutaja kuwa nimesoma enzi za mkoloni?

Bado unazidi kudhihirisha uelewa wako mdogo na kushindwa kujibu maswali yangu yanmsingi!
Unaposema nimesoma enzi za mkoloni unajua Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu ulianzishwa lini na kwa sababu zipi na kilichokua kinafabyika kabla ya hapo kwa ajili ya wanafunzi wa Elimu ya Juu?

Mwanafunzi wa chuo kuwa labelled kuwa Ni mkamaria na mdangaji Ina athari kubwa Sana kwenye jamii Tena imezungumzwa kupitia chombo Cha habari (tv) kumbuka anayeitoa kauli hii inatolewa na mwanafunzi (Yuko ndani na miongoni mwa wanafunzi)
Atahri yake huwezi kuiona Sasa Ila huku kwenye jamii utakaporudi jamii kubwa inmtawa-stereotype Kama wadangaji na makamaria maarufu! Hamtaaminika kupewa dhamana sehemu yoyote!
Ni Bora kukaa kimya Kama huna neno zuri zaidi la kuweka sehemu husika!

Usijaribu kusema elimu ya chuo haijanisaidia kwa sababu kwa ninachoandika hapa ukilinganisha na unachoandika na kujibu GT wataamua tu kuwa Nani elimu imekomboa akili yake!

Kuna mahali umeniquote na kusema inamsaidia mtoto wa mkulima! Wewe Ni mjinga ashakumu sio matusi! Tunapopnadisha nyuzi huku kulaani na kulalamika swala la mfumuko wa bei za vyakula ninyi pro mnaungana na watesi wetu kusema kwamba hivi Sasa wakulima Ni matajiri kwa sbabu wanauza kwa Bei za juu!

Kama Ni hivyo means wanaweza ku-afford gharama za kusomesha na 1500 haiwezi kuwa na impact kwneye maisha ya watoto wao vyuoni kwani si Wana Mapesa sababu ya nafaka Bei juu!
.......Sasa subiri maisha ya boom yaishe uje mtaani uvue Joho utajua Nini maana ya kukosa ajira mfumuko wa bei na nyongeza ya Buku Jero baada ya muda mfupi board hiyo hiyo inakuja!
Unavyoniambia nisubiri nije mtaani unadhani mimi ni mwanafunzi?

Mnapenda ku focus energy zenu kwenye mada za kipuuzi mnaacha kukita ubongo kwenye issues za msingi. Kwahiyo kilichokuuma wewe hapo ni kudanga na kubet, nakuuliza tena. Aliesema hayo ni kiongozi au a mere person? Si kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni? Nyinyi wenye uwezo mdogo wa kufikiri ndo mnakaa mnahemka na mada ambazo hazina kichwa wala miguu
 
Wasomi wetu siku hz ni kusifia tuuu ili aonekane kisha ateuliwe , zaidi ya hapo wapo wapo tu
Natamani mngejua ni kwa kiasi gani huko vyuoni kuna vilaza, wala hata msingeshangaa kusikia hizi pumba.

Wanachuo wengi wa kizazi hiki wameenda chuo kukua, wapo huku kwakuwa wazazi wao wanataka wawe chuo.
 
Back
Top Bottom