Hata kama hamumpendi Rais Samia msifikie hatua hii


Acheni kumtukana Rais hamuelewi?. Kumtukana Rais ni uhaini. Kuendelea kusema Rais ana maono ni tusi na kejeli inatakiwa ukamatwe.
 
Dah mi nikawaza mauno dah! Hii kukurupuka kusoma mbaya sana.
 
Endelea kutumia mavideo yako. Yani chawa kaona round about ndio ananitumia kunishawishi kuwa Rais ana maono. Acheni unafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…