Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mtani wangu binti kiziwi😂😂😂😂 Wewe ni Mnafiki Wa Kujitegemea au ni Mtani wa Taifa?
Niite chawa ila ndio nakwambia hivyo hivyo chuki zako Kwa Rais usizifungamanishe na Mungu utalaaniwa na Kufa kama Mwendazake.
Samia sio wa kumlinganisha na watu wasio na akili elewa Hilo
View: https://youtu.be/gMFxl1cwhgI?si=zezBdnecMriPOLEP
Ni kweli kabisa Samia hawezi linganishwa na Rais yeyote ukimtoa NyerereUmesema kweli mkuu Samiah Hana wa kulinganishwa naye. Yani kwa ukilaza uliopo ametia fora
Hivi huoni kwamba wewe ndio utaenda motoni Kwa kumchukia Rais bila sababu za msingi?
Narudia kukwambia hapa hakuna Rais yeyote hapa Tanzania Kwa waliopitwa ukimtoa Nyerere anaweza Mikoa Samia sio tuu Kwa utekelezwaji wa mambo Bali Maono.
Mfano mdogo tuu ni Maono yake kwenye swala la Elimu,bila utashi wake wa Kisiasa kinachoitwa mitaala mipya asingeruhusu.
Na mfano mwingine ni Maono yake kwenye Kilimo na Nishati safi 👇
Video: Rais Samia Kuifutia Tanzania & Afrika Aibu ya Njaa.Anatekeleza Maono Ya Baba wa Taifa ya Kilimo Kwa Vitendo.
Toka baada ya uhuru wa Tanganyika na baadae Tanzania na Afrika imekuwa zinapata aibu kutokana na Njaa. Njaa inadhalilisha utu wa mtu na kushusha heshima ya mtu na Taifa.Tanzania na Afrika zimekuwa kwenye aibu hiyo Kwa takribani miaka 60 Baada ya uhuru licha ya Waasisi Wetu kuwa na dhamira njema...www.jamiiforums.com
Hata ungemchukia Samia Kwa kiwango Cha Kujiua lakini haiwezi kuondoa ukweli kwamba ameirudisha Taifa kwenye mstari.
Ni kweli kabisa tunazidi kuongeza matusi 🤣🤣Acheni kumtukana Rais hamuelewi?. Kumtukana Rais ni uhaini. Kuendelea kusema Rais ana maono ni tusi na kejeli inatakiwa ukamatwe.
Ni kweli kabisa Samia hawezi linganishwa na Rais yeyote ukimtoa Nyerere
View: https://youtu.be/jCqeH_GsGO0?si=qTci2jP0aXsQTwwB
Ndio tumeamua kumpeleka maboya Ili Machadema mumpeleke Mbowe kileleni.Mnafurahisha sana. Nyie ndio mnampeleka maboya.
Unachelewa Sasa kuitisha amri tukamatwe.Mnafaa kukamatwa na kufungwa.
Ndio tumeamua kumpeleka maboya Ili Machadema mumpeleke Mbowe kileleni.
Kazi iendelee 👇
View: https://youtu.be/8SOkgrfLZug?si=CTLaLhX6pxz9FA9Y
Unachelewa Sasa kuitisha amri tukamatwe.
Hadi useme Bado hujasema
View: https://youtu.be/03wQeToSjfE?si=b18MbXFrPNK9nj2M
Na Mimi nataka nikukere na haya haya ma movies yasiyo na maana.Mbona unanionseha mavideo yasiyokuwa na maana?. Acheni kumtukana Rais.
Bado hujasema nazodi kuongeza matusiNi ushauri tu punguza matusi. Kunionesha video za round about hazinifanyi kuacha kukuambia kuwa usimtukane Rais.
TPCEndelea kutumia mavideo yako. Yani chawa kaona round about ndio ananitumia kunishawishi kuwa Rais ana maono. Acheni unafiki.
Na Mimi nataka nikukere na haya haya ma movies yasiyo na maana.
Mpaka useme Bado hujasema
View: https://youtu.be/sVopwuIWxFU?si=T_yT5qVBgBQtbryY