Hata Mwl Nyerere ilifikia kipindi akaitwa kiongozi asiyeambilika, lakini hatujawahi kusikia viongozi waliomfuata wakimkosoa hadharani ughaibuni

Tafasiri nyingine kwa sababu yeye Mama alijua katiba inasema akifa yeye ndiye mrithi maana yake alimuua ili awe rais. Yaani sijui Mama kama huwa anapima kauli zake
Umeongea vyema sana
 
Muache atoe ya moyoni mwake ili tumuelewe hakuwa pamoja naye katika baadhi ya mambo.
Ni sahihi. Lakini ikijakutokea kwake(hatuombei), isionekane ni ubaguzi wa kijinsia.
 
👍
 
Muache atoe ya moyoni mwake ili tumuelewe hakuwa pamoja naye katika baadhi ya mambo.
Kweli kabisa hata kipindi Hayati Magufuli anamwapisha PM Majaliwa Dodoma November 2020 (Then, VP) Samia alisema"Rais Magufuli hapo mwanzoni tulipata taabu kidogo kukuelewa lakini sasa hivi tumeelewa unachotaka"

Hii nukuu inaweza isiwe perfect in details, lakini ambao mnaweza kutafuta video YouTube mtaona Rais Samia amewahi kuonesha kwamba palikuwepo na tofauti kati ya Magufuli na watendaji wengine wa Serikali, tena aliyasemea mbele ya Magufuli.
Samia alianza kumkosoa Magufuli tangu Magu akiwa hai. Kwahiyo anayoyafanya sasa hivi siyo unafiki bali ni kutoa ya moyoni hasa anapo ona ilivyo vigumu kurekebisha uharibifu alioufanya Magu ndani na nje ya nchi.
 
Kwa kweli Magufuli alikuwa stubborn na mwenye ukatili mkubwa wacha mambo yawekwe wazi na kila mtu kuanzia Samia aliyevumilia sana hadi wamachinga waliodanganywa vibaya.
 
Alimchenjia kinyama!

Basi sawa.
 
Mungu fundi. Mjamaa hakuwa mtz ndio maana faster akamfinya
 
Muasisi wa kuponda wenzake lazima apondwe rejea hotuba zake kadhaa amewabagaza sana kina Kikwete
Upo sahihi kabisa, huo ndio mtindo wa viongozi wetu kuponda watangulizi wao.
 
Viongozi wetu wana 'ndimi mbili' ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…