Hata Mwl Nyerere ilifikia kipindi akaitwa kiongozi asiyeambilika, lakini hatujawahi kusikia viongozi waliomfuata wakimkosoa hadharani ughaibuni

Hata Mwl Nyerere ilifikia kipindi akaitwa kiongozi asiyeambilika, lakini hatujawahi kusikia viongozi waliomfuata wakimkosoa hadharani ughaibuni

Mbona mkuu wa nchi yetu kama anafanya ndivyo sivyo? Kuongoza nchi kumbe kazi sana. Upo nje kwenye ziara ya kikazi alafu unaeleza kwenye media kubwa kama NY times kuwa mtangulizi wako alikuwa stubborn, hii inaleta picha gani?

Hukuwa na raha wakati unafanya nae kazi pamoja kiasi cha kumchukia kwa kutofuata ushauri wako wakati wewe ulipokuwa msaidizi wake?

Ulifanya nae kazi huku ukiwa na kinyongo maana alikuwa mkaidi?

Ina maana ulikuwa unacheka nae hadharani lakini moyoni humtaki sababu ni stubborn?

Lakini mbona hata Mwl Nyerere inasemekana wazi kabisa alikuwa mkaidi juu ya kufuata ushauri wa wasaidizi wake mpaka ilifikaia hatua akaitwa baba haambiliki, hatujawahi kusikia Mzee Mwinyi au Mkapa wakimnanga huko mamtoni?

Inasemekana alishauriwa masuala mengi tu na akakaidi, mfano aliambiwa asihamishe watu kwenye miji yao kwa ajili ya vijiji vya ujamaa lakini akawahamisha. Jambo ambalo lilileta lawama kubwa. Lakini hatikusikia akipondwa huko nje. Alishauriwa asiijifanye yeye ni superpower wa Afrika lakini akakag'ag'ania kupeleka majeshi Msumbiji, Zimbabwe na Uganda ,mataokeo yake Tanzania ikakwama kiuchumi.

Tunajichafua sisi Watanzania huku wazungu wakitucheka.
Hoja safi sana ulizozisema zenye mantiki.

Kwanza kabisa, hakuna haja ya kwenda kusema mambo ya nchi nje ya nchi yako. Unafanya hivyo ili iweje? Warithi wa uongozi Marekani au Uingereza hawaendi nchi za nje na kuanza kuwasuta watangulizi wao. Kuna video kadhaa zinazosambaa mitandaoni zikimuonyesha Samia akiwa Makamu wa Rais akisifia mipango iliyokuwa ikitekelezwa wakati wa Magufuli, kama vile suala la machinga; kukataza uagizaji wa sukari kutoka nje; kusitisha bandari ya Bagamoyo; wafanyakazi hewa; wafanyakazi wasiokidhi kiwango cha elimu; wanafunzi wanaozaa; wananchi kuunganishiwa umeme kwa Sh. 27,000 tu; n.k. Ina maana kusifia huko ilikuwa ni unafiki tu kiasi kwamba baada tu ya kutwaa madaraka unarudisha wafanyakazi waliokuwa hawana elimu ya kutosha; unaamuru sukari iagizwe kutoka nje; unasema Tanesco hawawezi kuunganisha umeme kwa Sh. 27,000; n.k. Kama hizo ndiyo zilikuwa fikra zake tangu awali, ilibidi amwambie Rais, yeye akiwa mshauri wake mkuu.

Mtoa hoja umemkariri Mwalimu kwamba alikuwa 'haambiliki'. Mwalimu alikuwa anakusikiliza umridhishe kwa hoja ndipo abadilishe msimamo wake. Kwa mfano alimuondoa Profesa Justinian Rweyemamu, bingwa wa taaluma ya uchumi, kutoka Chuo Kikuu na kumfanya mshauri wake wa mambo ya uchumi. Profesa hakudumu sana katika wadhifa huo mpya kwa sababu hawakukubaliana na baadhi ya mambo aliyokuwa akimshauri Rais. Kwa kuwa Profesa aliamini anayoyafahamu na hakutaka unafiki, alimwambia wazi mwalimu kwamba anaachia ngazi; wakashikana mkono wa kwaheri na Profesa akaenda Marekani kufundisha uchumi Chuo Kikuu cha Havard. Vipi Samia alishindwa kuachia ngazi ya Umakamu wa Rais kama alikuwa hakubaliani na aliyokuwa akiyafanya Rais Magufuli? Mbaya zaidi ni kule kukosoa ukiwa nje ya nchi. Huu ni ukosefu wa uzalendo.

Baada ya kutwaa madaraka, Rais Chiluba alikuwa akiropoka mengi kumsuta mtangulizi wake Rais Kaunda wa Zambia. Alifikia hata kusema kwamba Kaunda alikuwa amejenga mahandaki chini ya Ikulu ya kuhifadhia maiti za wapinzani wake aliokuwa akiwaua. Bahati mbaya hakutoa hata mfupa mmoja wa mtu aliyeuawa. Baadaye ndipo usalama wa taifa wakamjulisha kwamba aliyokuwa akidhania ni makaburi ya wanaouawa ni tahadhari tu kwa usama wa Rais, akiwemo yeye mwenyewe. Ndipo akameza uropokaji wake.
 
Mbona mkuu wa nchi yetu kama anafanya ndivyo sivyo? Kuongoza nchi kumbe kazi sana. Upo nje kwenye ziara ya kikazi alafu unaeleza kwenye media kubwa kama NY times kuwa mtangulizi wako alikuwa stubborn, hii inaleta picha gani?

Hukuwa na raha wakati unafanya nae kazi pamoja kiasi cha kumchukia kwa kutofuata ushauri wako wakati wewe ulipokuwa msaidizi wake?

Ulifanya nae kazi huku ukiwa na kinyongo maana alikuwa mkaidi?

Ina maana ulikuwa unacheka nae hadharani lakini moyoni humtaki sababu ni stubborn?

Lakini mbona hata Mwl Nyerere inasemekana wazi kabisa alikuwa mkaidi juu ya kufuata ushauri wa wasaidizi wake mpaka ilifikaia hatua akaitwa baba haambiliki, hatujawahi kusikia Mzee Mwinyi au Mkapa wakimnanga huko mamtoni?

Inasemekana alishauriwa masuala mengi tu na akakaidi, mfano aliambiwa asihamishe watu kwenye miji yao kwa ajili ya vijiji vya ujamaa lakini akawahamisha. Jambo ambalo lilileta lawama kubwa. Lakini hatikusikia akipondwa huko nje. Alishauriwa asiijifanye yeye ni superpower wa Afrika lakini akakag'ag'ania kupeleka majeshi Msumbiji, Zimbabwe na Uganda ,mataokeo yake Tanzania ikakwama kiuchumi.

Tunajichafua sisi Watanzania huku wazungu wakitucheka.
Tumuache Rais Samia aseme anavyotaka na aseme popote, hivyo anatupa nafasi ya kujua yeye ni nani kwa undani! Maana tangu mwanzo alikuwa amefichama. Wananchi hatukumjua vizuri - alijificha kivulini mwa JPM, jinsi anavyoendelea kuwa huru na kujiamini, wananchi tutamuelewa. Na tuta penda au tutamchukia.
 
We wa ajabu sana....unamzungumziaje MTU aliyepigania Uhuru wetu na aliyenyima Uhuru kwa wananchi tena ngoz moja.Hapana,hapana mkuu
 
Mtu anayetafuta sifa kwa nguvu zote ikiwa ni pamoja na kutumia propaganda zisizo na ukweli, huwa hana limit ya maneno; atazungumza lolote ili mradi tu asifiwe. Siku akienda Chato atasema kuwa yeye na Magufuli walikuwa kitu kimoja, hawezi kusema hayo anayosema huko ughaibuni kam ni kweli aliyasema hakusingiziwa.
... hiki ulichoeleza hapa ndio ilikuwa sifa kuu ya Jiwe.
 
Kumbe wewe bado hujui kwa nini anafanya hivyo?

Huu ni wakati wake wa kujijengea jina, sifa ya kuwa kiongozi mzuri (anadhani hivyo).

Huko alikokwenda kuyasemea haya kuna maana kubwa kwake. Ni kwa wakubwa wa dunia, kwa hiyo hao wakimkubali, anajihisi wengine wote watamtambua.

Huyu ni kiongozi hafifu sana.

Hivi ulishamsikia Pence akilalamika juu ya Trump, pamoja na uhayawani wote wa Trump? Hata Biden haendi Ulaya kulalamika juu ya mtangulizi wake.
Kawaida ya marais wote waislamu tulionao tz wanapenda kusujudia wazungu "mabeberu" kama mungu wao...kwao wabeberu ni ALLAH
 
Hoja safi sana ulizozisema zenye mantiki.

Kwanza kabisa, hakuna haja ya kwenda kusema mambo ya nchi nje ya nchi yako. Unafanya hivyo ili iweje? Warithi wa uongozi Marekani au Uingereza hawaendi nchi za nje na kuanza kuwasuta watangulizi wao. Kuna video kadhaa zinazosambaa mitandaoni zikimuonyesha Samia akiwa Makamu wa Rais akisifia mipango iliyokuwa ikitekelezwa wakati wa Magufuli, kama vile suala la machinga; kukataza uagizaji wa sukari kutoka nje; kusitisha bandari ya Bagamoyo; wafanyakazi hewa; wafanyakazi wasiokidhi kiwango cha elimu; wanafunzi wanaozaa; wananchi kuunganishiwa umeme kwa Sh. 27,000 tu; n.k. Ina maana kusifia huko ilikuwa ni unafiki tu kiasi kwamba baada tu ya kutwaa madaraka unarudisha wafanyakazi waliokuwa hawana elimu ya kutosha; unaamuru sukari iagizwe kutoka nje; unasema Tanesco hawawezi kuunganisha umeme kwa Sh. 27,000; n.k. Kama hizo ndiyo zilikuwa fikra zake tangu awali, ilibidi amwambie Rais, yeye akiwa mshauri wake mkuu.

Mtoa hoja umemkariri Mwalimu kwamba alikuwa 'haambiliki'. Mwalimu alikuwa anakusikiliza umridhishe kwa hoja ndipo abadilishe msimamo wake. Kwa mfano alimuondoa Profesa Justinian Rweyemamu, bingwa wa taaluma ya uchumi, kutoka Chuo Kikuu na kumfanya mshauri wake wa mambo ya uchumi. Profesa hakudumu sana katika wadhifa huo mpya kwa sababu hawakukubaliana na baadhi ya mambo aliyokuwa akimshauri Rais. Kwa kuwa Profesa aliamini anayoyafahamu na hakutaka unafiki, alimwambia wazi mwalimu kwamba anaachia ngazi; wakashikana mkono wa kwaheri na Profesa akaenda Marekani kufundisha uchumi Chuo Kikuu cha Havard. Vipi Samia alishindwa kuachia ngazi ya Umakamu wa Rais kama alikuwa hakubaliani na aliyokuwa akiyafanya Rais Magufuli? Mbaya zaidi ni kule kukosoa ukiwa nje ya nchi. Huu ni ukosefu wa uzalendo.

Baada ya kutwaa madaraka, Rais Chiluba alikuwa akiropoka mengi kumsuta mtangulizi wake Rais Kaunda wa Zambia. Alifikia hata kusema kwamba Kaunda alikuwa amejenga mahandaki chini ya Ikulu ya kuhifadhia maiti za wapinzani wake aliokuwa akiwaua. Bahati mbaya hakutoa hata mfupa mmoja wa mtu aliyeuawa. Baadaye ndipo usalama wa taifa wakamjulisha kwamba aliyokuwa akidhania ni makaburi ya wanaouawa ni tahadhari tu kwa usama wa Rais, akiwemo yeye mwenyewe. Ndipo akameza uropokaji wake.

Nenda taratibu. Marekani na Ulaya viongozi wanakosoana kwenye international media kwa hoja nzito na propaganda zilizopimwa huku dunia nzima ikifuatilia. Hawahitaji kwenda nje kusemana vibaya. Na misingi ya taifa haitikisiki.

Btw, Magufuli alipokuwa akiwananga maRais wa awamu zilizotangulia hadharani kwa kulea ufisadi, habari hizo hata video clips zilikuwa zinakusanywa, zinatafsiriwa na kuchapishwa kwenye international media. Bunge letu tu linasikilizwa vizuri sana. Of course hawategemei kitu cha maana toka huko lakini wanaambulia angalau vicomedi vya kutengenezea habari nyepesi nyepesi.

Ni ujinga kufikiri kuna “private space” hapa duniani ya kufichia uozo. Kama kuaminishana kuwa Lissu alitoa siri ndipo ndege yetu ikakamatwa huko Canada. Uongozi au utendaji mbovu hauwezi kuwa siri za taifa.
 
Hilo pumbu lina effects hadi kichwani. Kua na pumbu tu kuna relationship kubwa na maamuzi kichwani kwa hiyo hicho ndicho nachomzidi.

Mwanamke ni mwanamke tu. Ndio maana hata Marekani wanakesha na kuomba Biden asije kufa akiwa mamlakani yule mama akachukua nchi, hawataki itokee kabisa na wanajua madhara ya mwanamke kua kichwa cha nchi.

Madhara mojawapo ndio haya, mwanamke haaminiki, anaweza kuropoka chochote mahala popote maana ni watu wanaotumia hisia zaidi kuliko akili.
Unapoandika utumbo huu kumbuka yafuatayo;
1. Wewe mwenyewe ni mtoto wa mwanamke

2. Angela Merkel katawala Germany zaidi ya miaka 16 na kuifanya Germany Taifa linaloongoza kiuchumi kwa Ulaya

3. UK ilikuwa mwanamama PM kuanzia 1979 hadi 1990

4. Israel ilikuwa na Golda Meir 1969-74

5. Cleopatra alikuwa mtawala wa Egypt mwaka 51-30 BC
 
Mbona mkuu wa nchi yetu kama anafanya ndivyo sivyo? Kuongoza nchi kumbe kazi sana. Upo nje kwenye ziara ya kikazi alafu unaeleza kwenye media kubwa kama NY times kuwa mtangulizi wako alikuwa stubborn, hii inaleta picha gani?

Hukuwa na raha wakati unafanya nae kazi pamoja kiasi cha kumchukia kwa kutofuata ushauri wako wakati wewe ulipokuwa msaidizi wake?

Ulifanya nae kazi huku ukiwa na kinyongo maana alikuwa mkaidi?

Ina maana ulikuwa unacheka nae hadharani lakini moyoni humtaki sababu ni stubborn?

Lakini mbona hata Mwl Nyerere inasemekana wazi kabisa alikuwa mkaidi juu ya kufuata ushauri wa wasaidizi wake mpaka ilifikaia hatua akaitwa baba haambiliki, hatujawahi kusikia Mzee Mwinyi au Mkapa wakimnanga huko mamtoni?

Inasemekana alishauriwa masuala mengi tu na akakaidi, mfano aliambiwa asihamishe watu kwenye miji yao kwa ajili ya vijiji vya ujamaa lakini akawahamisha. Jambo ambalo lilileta lawama kubwa. Lakini hatikusikia akipondwa huko nje. Alishauriwa asiijifanye yeye ni superpower wa Afrika lakini akakag'ag'ania kupeleka majeshi Msumbiji, Zimbabwe na Uganda ,mataokeo yake Tanzania ikakwama kiuchumi.

Tunajichafua sisi Watanzania huku wazungu wakitucheka.
Acheni yote yazungumzwe yaani mema na mabaya , huruma au dhuruma nk.
 
Mbona mkuu wa nchi yetu kama anafanya ndivyo sivyo? Kuongoza nchi kumbe kazi sana. Upo nje kwenye ziara ya kikazi alafu unaeleza kwenye media kubwa kama NY times kuwa mtangulizi wako alikuwa stubborn, hii inaleta picha gani?

Hukuwa na raha wakati unafanya nae kazi pamoja kiasi cha kumchukia kwa kutofuata ushauri wako wakati wewe ulipokuwa msaidizi wake?

Ulifanya nae kazi huku ukiwa na kinyongo maana alikuwa mkaidi?

Ina maana ulikuwa unacheka nae hadharani lakini moyoni humtaki sababu ni stubborn?

Lakini mbona hata Mwl Nyerere inasemekana wazi kabisa alikuwa mkaidi juu ya kufuata ushauri wa wasaidizi wake mpaka ilifikaia hatua akaitwa baba haambiliki, hatujawahi kusikia Mzee Mwinyi au Mkapa wakimnanga huko mamtoni?

Inasemekana alishauriwa masuala mengi tu na akakaidi, mfano aliambiwa asihamishe watu kwenye miji yao kwa ajili ya vijiji vya ujamaa lakini akawahamisha. Jambo ambalo lilileta lawama kubwa. Lakini hatikusikia akipondwa huko nje. Alishauriwa asiijifanye yeye ni superpower wa Afrika lakini akakag'ag'ania kupeleka majeshi Msumbiji, Zimbabwe na Uganda ,mataokeo yake Tanzania ikakwama kiuchumi.

Tunajichafua sisi Watanzania huku wazungu wakitucheka.
Angalau Nyerere alikuwa na utu…
 
Mbona mkuu wa nchi yetu kama anafanya ndivyo sivyo? Kuongoza nchi kumbe kazi sana. Upo nje kwenye ziara ya kikazi alafu unaeleza kwenye media kubwa kama NY times kuwa mtangulizi wako alikuwa stubborn, hii inaleta picha gani?

Hukuwa na raha wakati unafanya nae kazi pamoja kiasi cha kumchukia kwa kutofuata ushauri wako wakati wewe ulipokuwa msaidizi wake?

Ulifanya nae kazi huku ukiwa na kinyongo maana alikuwa mkaidi?

Ina maana ulikuwa unacheka nae hadharani lakini moyoni humtaki sababu ni stubborn?

Lakini mbona hata Mwl Nyerere inasemekana wazi kabisa alikuwa mkaidi juu ya kufuata ushauri wa wasaidizi wake mpaka ilifikaia hatua akaitwa baba haambiliki, hatujawahi kusikia Mzee Mwinyi au Mkapa wakimnanga huko mamtoni?

Inasemekana alishauriwa masuala mengi tu na akakaidi, mfano aliambiwa asihamishe watu kwenye miji yao kwa ajili ya vijiji vya ujamaa lakini akawahamisha. Jambo ambalo lilileta lawama kubwa. Lakini hatikusikia akipondwa huko nje. Alishauriwa asiijifanye yeye ni superpower wa Afrika lakini akakag'ag'ania kupeleka majeshi Msumbiji, Zimbabwe na Uganda ,mataokeo yake Tanzania ikakwama kiuchumi.

Tunajichafua sisi Watanzania huku wazungu wakitucheka.
Maza siyo mtanzania ni mzanzibar akimaliza muda wake atakimbia na kutuacha na shida zetu
 
….. hata Nyerere ilifikia
Ila yule alianza kabla hata hajaupata Uraisi kwa kusema wakinichagua Watalimia meno
Sisi vibogoyo mkatulimisha pia nyie mna dhambi.

Nyerere hakusema tubaki na mavi yetu nyumbani.

Kila binadamu ana mapungufu yake lakini chuki na visasi ni vibaya sana daima utateseka tu hata uondoke
Dikteta alikuwa na chuki sn
 
Kumbe wewe bado hujui kwa nini anafanya hivyo?

Huu ni wakati wake wa kujijengea jina, sifa ya kuwa kiongozi mzuri (anadhani hivyo).

Huko alikokwenda kuyasemea haya kuna maana kubwa kwake. Ni kwa wakubwa wa dunia, kwa hiyo hao wakimkubali, anajihisi wengine wote watamtambua.

Huyu ni kiongozi hafifu sana.

Hivi ulishamsikia Pence akilalamika juu ya Trump, pamoja na uhayawani wote wa Trump? Hata Biden haendi Ulaya kulalamika juu ya mtangulizi wake.
Naelewa sasa kwa nini emotional intelligence ni muhimu kwa viongozi wote.
 
Unapoandika utumbo huu kumbuka yafuatayo;
1. Wewe mwenyewe ni mtoto wa mwanamke

2. Angela Merkel katawala Germany zaidi ya miaka 16 na kuifanya Germany Taifa linaloongoza kiuchumi kwa Ulaya

3. UK ilikuwa mwanamama PM kuanzia 1979 hadi 1990

4. Israel ilikuwa na Golda Meir 1969-74

5. Cleopatra alikuwa mtawala wa Egypt mwaka 51-30 BC
Huwezi kulinganisha huyu wa kwetu na hao.

Kama ilivyo kwa jinsia zote, kuna exceptional cases. Ndio hao unaowataja.
 
Back
Top Bottom