Hata nchi ikienda upinzani mnaweza msione tofauti!

Hata nchi ikienda upinzani mnaweza msione tofauti!

Katiba pia ikirekebishwa husitegemee makubwa maana hata iliyopo hiafuatwi inavyotakiwa lakini hakuna kinachofanyika. Tatizo hapo ni watu.Kwa aina ya sisi watu wa hii nchi hata katiba mpya ikiletwa tusitegemee makubwa. Mfano kiongozi wa tume huru ya uchaguzi atakuwa huru kweli kwa maana ya yeye kama yeye hataleta mapenzi kwa chama fulani? Je kwa aina ya jamii zetu hao watu wapo?
Hii ni misleading, katiba haifuatwi sababu mahakama sio huru Ila kama Jaji hateuliwi na Rais and hawezi ondolewa na Rais obviously katiba ikivunjwa mahakama haitokubali. Mfano Kenya si unaona zaidi ya 70% ya kesi huwa serikali inaangushwa.

Kingine bunge la Sasa linamilikiwa na Rais yaani ana haki ya kulivunja ila katiba mpya italipa bunge uhuru maana hata akifukuzwa chama anabaki kama mgombea binafsi, na hata bunge likimpinga Rais Hana uwezo wa kulivunja n.k Sasa hapo unadhani kutakua na mtu muoga kukosoa?

Mahakamani na bunge vikiwa huru katiba itaheshimiwa tu utake usitake
 
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!.

Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna vinavyoenenda,hulka za wanachama wengi wa vyama hivyo n.k.

Nimeuangalizia upinzani kwenye nchi yetu kwasababu ccm tayari tushaijua!,kama namna yauendeshwaji wa chama hichi tawala haina tofauti sana na vyama hivi pinzani sitashangaa siku upinzani ukishika nchi nayo ikafanya yaleyale!.

Imani yangu ktk pumzi za nchi naamini inashikiliwa na usalama wa taifa (engineering in everything), wakishirikiana na jeshi lakujenga taifa na vyombo vyengine vya usalama.

Hivi vyombo vyote vya usalama ndio ngao, njia na ni kama Sheria ya yeyote yule atakaepata cheo cha kisiasa lazima aenende na matakwa ya nchi kama ilivyoelekezwa na Sheria.. hawa watabaki kuwa waangalizi wa mwenendo, washauri na wasimamizi wa masilahi ya taifa.

Kelele tunazosikia za upinzani sitokuja kushangaa siku wakipata madaraka nao wakaufyata halafu ccm ndio akawa mbwatukaji!.

Kama vyama vyetu vinanjaa tusitegemee shibe watakaposhika usukani!.
Kama hakuna wakuvisimamia hivi vyama kivitendo basi maendeleo tutayaona kwa nchi zilizoendelea!.

Ukiona mtu yupo kwenye chama chochote na chama chake kikakosea jambo nae asifanye lolote kuhusu hilo kosa,aidha kulitatua,ama kuwajibisha n.k ndugu jua huyo mtu yupo kimasirahi hana uzalendo wala upendo..
Wewe mwanachama mdogo wa chama chochote nikupe tu taarifa jua unatumika sana tu kuwasukuma waliokuzidi wazidi kukaa juu yako!. Wewe utakalishwa kwenye vikao vya uzalendo halafu wao watakaa pembeni wakutenge kwenye vikao vyao vya namna yakuila nchi!..

Nakumbusha tena hili andiko ni la utafakari....

Watu huongozwa kutokana na namna walivyoendelea ktk nyanja mbalimbali aidha walivyoendelea kiuchumi na kielimu!,na ndio maana huwezi kusikia siasa za maji taka na madawati kwenye siasa za nchi kama USA!.
wao waambie kuhusu usalama,uchumi,sayansi n.k ktk namna ambayo imeendelea sio uchumi wakuuziana mitumba!.

Tunapigwa na hawa wanasiasa wetu kwasababu wanajua bado tumelala!,laiti kama tutabadirika sisi hata wao hawatakuwa nabudi yakubadirika waendane nasi!.

Muda mwengine sisi wananchi wakawaida tunayakwamisha maendeleo yetu wenyewe kwasababu tunashikilia bendera za vyama na sio bendera ya taifa!.

Hatuzungumzi kuhusu Tanzania tunazungumza kuhusu vyama!.

Kaa ukijua kelele unazowasaidia kupiga wewe hautanufaika nazo bali wao!.. kesho yako itadidimia na yao itaimarika!.

Si walikuambia kura yako inathamani?

Ndio inathamani lkn haitakuwa na thamani kama itatumika kutuletea mijitu ya hovyo!,kura yako lazima iwe inamatokeo ya kesho yako na vizazi vijavyo!.

Tutoke kwenye fikra za kupata nabii wakisiasa ndio aje atubadilishie upepo ambapo kesho asipokuja nabii tunalia na nyimbo zilezile!.

Tunapotakiwa hivi Sasa ni kufika kule ambapo hata lisimamishwe jiwe ama boya kwenye kiti kikuu,basi tule na tunywe kama inavyotakikana kwamaana mfumo hautegemei nabii mmoja ambae ataharibu au atapatia!.

Siamini kwenye kunywa maji yabendera ya chama chochote cha siasa bali naamini kwenye kunywa maji yabendera ya taifa langu.
Zile ndoto zako za Ndege kuanguka na Vitumbwi ya majini zimekurudia?
 
Ila ni bora kuliko kukaa na wale wake mlaka wanaota mizizi na wanafanya waoendavyo
Uzuri wa kuweza kuwatoa na kuwabadilisha ni kutii matakwa ya raia kuliko sasa
Tutakuwa na uwezo wa kuwawajibisha pindi tunapotaka
Bora chama chochote kishinde kuliko hawa jamaa kurudi
Hapo ndipo itakuwa mwanga wapi Tunataka kuelekea
 
Ila ni bora kuliko kukaa na wale wake mlaka wanaota mizizi na wanafanya waoendavyo
Uzuri wa kuweza kuwatoa na kuwabadilisha ni kutii matakwa ya raia kuliko sasa
Tutakuwa na uwezo wa kuwawajibisha pindi tunapotaka
Bora chama chochote kishinde kuliko hawa jamaa kurudi
Hapo ndipo itakuwa mwanga wapi Tunataka kuelekea
Sahihi
 
Tunapotakiwa hivi Sasa ni kufika kule ambapo hata lisimamishwe jiwe ama boya kwenye kiti kikuu,basi tule na tunywe kama inavyotakikana kwamaana mfumo hautegemei nabii mmoja ambae ataharibu au atapatia!.

Siamini kwenye kunywa maji yabendera ya chama chochote cha siasa bali naamini kwenye kunywa maji yabendera ya taifa langu.
Tupate mgombea binafsi
 
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!.

Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna vinavyoenenda,hulka za wanachama wengi wa vyama hivyo n.k.

Nimeuangalizia upinzani kwenye nchi yetu kwasababu ccm tayari tushaijua!,kama namna yauendeshwaji wa chama hichi tawala haina tofauti sana na vyama hivi pinzani sitashangaa siku upinzani ukishika nchi nayo ikafanya yaleyale!.

Imani yangu ktk pumzi za nchi naamini inashikiliwa na usalama wa taifa (engineering in everything), wakishirikiana na jeshi lakujenga taifa na vyombo vyengine vya usalama.

Hivi vyombo vyote vya usalama ndio ngao, njia na ni kama Sheria ya yeyote yule atakaepata cheo cha kisiasa lazima aenende na matakwa ya nchi kama ilivyoelekezwa na Sheria.. hawa watabaki kuwa waangalizi wa mwenendo, washauri na wasimamizi wa masilahi ya taifa.

Kelele tunazosikia za upinzani sitokuja kushangaa siku wakipata madaraka nao wakaufyata halafu ccm ndio akawa mbwatukaji!.

Kama vyama vyetu vinanjaa tusitegemee shibe watakaposhika usukani!.
Kama hakuna wakuvisimamia hivi vyama kivitendo basi maendeleo tutayaona kwa nchi zilizoendelea!.

Ukiona mtu yupo kwenye chama chochote na chama chake kikakosea jambo nae asifanye lolote kuhusu hilo kosa,aidha kulitatua,ama kuwajibisha n.k ndugu jua huyo mtu yupo kimasirahi hana uzalendo wala upendo..
Wewe mwanachama mdogo wa chama chochote nikupe tu taarifa jua unatumika sana tu kuwasukuma waliokuzidi wazidi kukaa juu yako!. Wewe utakalishwa kwenye vikao vya uzalendo halafu wao watakaa pembeni wakutenge kwenye vikao vyao vya namna yakuila nchi!..

Nakumbusha tena hili andiko ni la utafakari....

Watu huongozwa kutokana na namna walivyoendelea ktk nyanja mbalimbali aidha walivyoendelea kiuchumi na kielimu!,na ndio maana huwezi kusikia siasa za maji taka na madawati kwenye siasa za nchi kama USA!.
wao waambie kuhusu usalama,uchumi,sayansi n.k ktk namna ambayo imeendelea sio uchumi wakuuziana mitumba!.

Tunapigwa na hawa wanasiasa wetu kwasababu wanajua bado tumelala!,laiti kama tutabadirika sisi hata wao hawatakuwa nabudi yakubadirika waendane nasi!.

Muda mwengine sisi wananchi wakawaida tunayakwamisha maendeleo yetu wenyewe kwasababu tunashikilia bendera za vyama na sio bendera ya taifa!.

Hatuzungumzi kuhusu Tanzania tunazungumza kuhusu vyama!.

Kaa ukijua kelele unazowasaidia kupiga wewe hautanufaika nazo bali wao!.. kesho yako itadidimia na yao itaimarika!.

Si walikuambia kura yako inathamani?

Ndio inathamani lkn haitakuwa na thamani kama itatumika kutuletea mijitu ya hovyo!,kura yako lazima iwe inamatokeo ya kesho yako na vizazi vijavyo!.

Tutoke kwenye fikra za kupata nabii wakisiasa ndio aje atubadilishie upepo ambapo kesho asipokuja nabii tunalia na nyimbo zilezile!.

Tunapotakiwa hivi Sasa ni kufika kule ambapo hata lisimamishwe jiwe ama boya kwenye kiti kikuu,basi tule na tunywe kama inavyotakikana kwamaana mfumo hautegemei nabii mmoja ambae ataharibu au atapatia!.

Siamini kwenye kunywa maji yabendera ya chama chochote cha siasa bali naamini kwenye kunywa maji yabendera ya taifa langu.

Tunapotaka katiba mpya ya wananchi ni ili kupata majibu ya haya mashaka yako.
 
Nawasiwasi na uelewa wako sidhani kama mada umeielewa... By the way unajua tiss hiyohiyo haijapewa baadhi ya meno ndio maana haing'ati?

Kwasababu hao wanasiasa wanajua wakiipa meno itawang'ata!!!.

Nafikiri huna taarifa fulanifulani ndio maana umeandika hivi...😅
Katiba si ndio itawapa meno? Kwanza umejifanya sijui vyombo vya usalama ndio dira ya nchi, sasa umepewa ukweli na mifano ya hao vyombo vya usalama kuwa ni bendera fuata upepo, kisha unasema hawajapewa meno!

Hebu kaa kimya maana unaoneka una uoga wa mabadiliko, ama unacheza mind game ili tuone kuwa ni sawa kuendelea kutawaliwa na CCM kwa shuruti.
 
Sio kweli mfano JPM alipinga chanjo TISS wakaona ni SAWA, kaja Samia kasema chanjo lazima na hao hao TISS wakaona SAWA pia? Same to Katiba mpya kipindi cha JK hao TISS waliona sawa tu katiba mpya ije, kaja JPM kasema katiba mpya ni makaratasi tu hao TISS nao wakaridhia tu, then kaja Samia anataka katiba mpya still TISS Wamekubali!!

Sasa kama hao TISS tu wanakubali Kila Rais aje na lake hata kama linakinzana na Rais aliyepita kivipi hoja ya kusema lazima "uendane na matakwa ya nchi"?

Hao Marais Mafisadi kama JK au Mkapa je ni haki kupora Mali za Umma? Mbona TISS Bado waliwasaidia kuiba kura Ili hao Wezi wabaki madarakani?

Nikishaona mtu analeta habari za kwamba TISS ndio Ina suka siasa za nchi hii namuona mjinga tu kama hao uliowaita wajinga.

Kama TISS ingekua na hizo sifa basi Kuna watu kama Chenge wasingemaliza hata miaka 2 wakiwa hai!!
Utakuwa mpumbavu kama unaamini Mkapa aliiibia nchi.
Niliposoma tu hapo nikaona ni hoja ya kisichana kinachojiuza mtaani.
 
Vyama vya siasa ni utapeli tena ni maslahi ya watu ,wanajipatia pesa kibao kupitia siasa .

Ewe kijana usiwe mjinga fanya kazi achana na ushabiki wa kisiasa.
Ili waendelee kutupiga vizuri sio?

Ila nyie wanasiasa mmetufanya watanzania vilaza sana!?
 
Ccm inafaa ivunjike tupate chama kingine Bora Hawa wapinzani saishie bungeni ikulu hawaiwezi Hawa!!
Wapambe wa iliyokuwa KANU ya Kenya walikuwa wanasema KANU tu ndio inaweza kuendesha Kenya. Leo hii KANU huko Kenya ni marehemu na kwa Kenya hawana vyama vya kudumu, mbona bado Kenya ina uchumi mkubwa kuliko wa Tanzania? Acha mawazo ya kizee yaliyofungwa na propaganda za CCM.
 
Katiba si ndio itawapa meno? Kwanza umejifanya sijui vyombo vya usalama ndio dira ya nchi, sasa umepewa ukweli na mifano ya hao vyombo vya usalama kuwa ni bendera fuata upepo, kisha unasema hawajapewa meno!

Hebu kaa kimya maana unaoneka una uoga wa mabadiliko, ama unacheza mind game ili tuone kuwa ni sawa kuendelea kutawaliwa na CCM kwa shuruti.
watanzania nyie kweli Vichwa ngumu... umesoma lkn hujaelewa still bado umevaa uchama tupu kasome kwenye katiba kazi ya usalama halafu urudi hapa some upya nilichoandika.
 
Ulilosema ndilo lililopo!
Kukaa na kuota kama Alinacha siyo proof kuwa itakuwa hivyo. BTW tunachataka ni fair competition. Tunataka kila chama kijui kuwa kikivunda uchaguzi unaofuata kitawekwa pembeni. Hii italeta mabadiliko kuliko ilivyo sasa kwa CCM kubweteka.
 
Sio kweli mfano JPM alipinga chanjo TISS wakaona ni SAWA, kaja Samia kasema chanjo lazima na hao hao TISS wakaona SAWA pia? Same to Katiba mpya kipindi cha JK hao TISS waliona sawa tu katiba mpya ije, kaja JPM kasema katiba mpya ni makaratasi tu hao TISS nao wakaridhia tu, then kaja Samia anataka katiba mpya still TISS Wamekubali!!
kimsingi mletamada ameteleza hapo ila sehemu kubwa yuko sawa,TISS kama sheria inavyowataka hawawezi kuwa waamuzi wa mwisho sababu ni washauri tu.hivyo kama boss ni maandazi kama aliyepo,na wao kama taasisi wanakosa nguzi sahihi.

fikiria unakwenda kumwambia huyu kwamba hawa DP ni vimeo wasipewe mkataba hakuelewi,unafanyaje zaidi ya kusubiri kuvikwa blanket la lawama kwamba hufanyi kazi!!!
Sasa kama hao TISS tu wanakubali Kila Rais aje na lake hata kama linakinzana na Rais aliyepita kivipi hoja ya kusema lazima "uendane na matakwa ya nchi"?
hawana namna.
Hao Marais Mafisadi kama JK au Mkapa je ni haki kupora Mali za Umma? Mbona TISS Bado waliwasaidia kuiba kura Ili hao Wezi wabaki madarakani?
hawana maamuzi ya mwisho.
Nikishaona mtu analeta habari za kwamba TISS ndio Ina suka siasa za nchi hii namuona mjinga tu kama hao uliowaita wajinga.
ni dhana ya ajabu isiyo na uhalisia.
Kama TISS ingekua na hizo sifa basi Kuna watu kama Chenge wasingemaliza hata miaka 2 wakiwa hai!!
imagine unakuja kujua hata chenge pia ni TISS.kumbe baada ya kushauri sana kama afisa mmoja wapo halafu hasikilizwi nayeye anaamua kuwa MBUZI na kula kwa urefu wa kamba yake.
 
watanzania nyie kweli Vichwa ngumu... umesoma lkn hujaelewa still bado umevaa uchama tupu kasome kwenye katiba kazi ya usalama halafu urudi hapa some upya nilichoandika.
Kwamba umeandika uandishi mgumu sana hadi hatuelewi?! Sema ulichoandika ndio ulichokuwa unakijua, lakini baada ya kuwa challenged unaanza kucheza na maneno ili kuendana na unachokiamini.

Sijui unataka nikasome nini kwenye katiba, ambayo tunaona wazi inafuatwa kwa utashi wa kiongozi aliye madarakani. Tanzania ni nchi special sana hadi unaona wakiingia wengine kwenye utawala ni majaribio, ila ikibaki CCM ndio sahihi! Nimekupa na mfano wa Kenya hapo, karibu kila uchaguzi wanakwenda na chama tofauti, na bado Kenya ina uchumi mzuri kuliko wetu. Sasa Tanzania ina maajabu gani, hadi kikiingia chama kingine iwe ndio hatari hadi uone ni majaribio?!
 
Kwamba umeandika uandishi mgumu sana hadi hatuelewi?! Sema ulichoandika ndio ulichokuwa unakijua, lakini baada ya kuwa challenged unaanza kucheza na maneno ili kuendana na unachokiamini.

Sijui unataka nikasome nini kwenye katiba, ambayo tunaona wazi inafuatwa kwa utashi wa kiongozi aliye madarakani. Tanzania ni nchi special sana hadi unaona wakiingia wengine kwenye utawala ni majaribio, ila ikibaki CCM ndio sahihi! Nimekupa na mfano wa Kenya hapo, karibu kila uchaguzi wanakwenda na chama tofauti, na bado Kenya ina uchumi mzuri kuliko wetu. Sasa Tanzania ina maajabu gani, hadi kikiingia chama kingine iwe ndio hatari hadi uone ni majaribio?!
Kama unapata ugumu kuelewa uliza mi sijalembalemba ili kutetea hoja zangu kisa nimekuwa challenged!

Sijasema TZ ni special na wala sijasema upinzani usiingie nimesema kuhusu kuwepo system itakayokuwa inasimamia masirahi ya taifa hata akiingia nani.. na ndio maana mwishoni nikasema hata likae jiwe au boya nchi iongozeke!. Ukiambiwa soma na utafakari wewe wasoma bila kutafakari!.
Sina shida na mabadiriko ya chama ktk uongozi nina shida na ufuatwaji wa dira ya taifa.

Kwenye katiba imeeleza kuwa kazi ya usalama wa taifa ni kutafuta taarifa,kuichambua na kuishauli serikali nini chakufanya!..
Hivyo serikali ni kazi kwao kuamua kufuata ushauli wa usalama wa taifa au wasiufate na ndio hapo niliposema usalama hawana meno!.. kwa maana ipi hata wawe na taarifa kubwa na pana kiasi gani hawawezi kuilazimisha serikali ifuate ushauli wa usalama. Usalama hawana ruhusa ya kumkamta mhalifu hata kama wanataarifa zenye hakika ya kwamba ni muarifu na anastahili kukamatwa!. Napo mpaka waifate serikali ndo iamue! Hiyo process inaweza ikaingiwa na ulaghai na ndio maana nikaandika kuwa hawana meno!.
Kama napo utakuwa hujanielewa basi tutafute kalamu na karatasi tufundushane Sasa!.

Swala la Kenya kwenda na vyama tofauti litakuwa halina tija kama namba ya rasilimali zao haziwapi namba ya uchumi wao uwe wapi!!!.
Hatuangalii Kenya kamshinda Tanzania kiuchumi tunaangalia Kenya kutokana na rasilimali zake je anastahili kuwa hapo alipo,hiyo ndio mantiki... Kama Kuna nchi Zina rasilimali chache kuliko Kenya halafu Kenya ipo chini kiuchumi kuliko hiyo nchi huoni hilo ni tatizo hata kama wanabadili uongozi Kila siku...???
 
kimsingi mletamada ameteleza hapo ila sehemu kubwa yuko sawa,TISS kama sheria inavyowataka hawawezi kuwa waamuzi wa mwisho sababu ni washauri tu.hivyo kama boss ni maandazi kama aliyepo,na wao kama taasisi wanakosa nguzi sahihi.

fikiria unakwenda kumwambia huyu kwamba hawa DP ni vimeo wasipewe mkataba hakuelewi,unafanyaje zaidi ya kusubiri kuvikwa blanket la lawama kwamba hufanyi kazi!!!

hawana namna.

hawana maamuzi ya mwisho.

ni dhana ya ajabu isiyo na uhalisia.

imagine unakuja kujua hata chenge pia ni TISS.kumbe baada ya kushauri sana kama afisa mmoja wapo halafu hasikilizwi nayeye anaamua kuwa MBUZI na kula kwa urefu wa kamba yake.
Mkuu nafikiri utakuwa umeona watu bado wanagap kubwa la information kuhusu nchi yao pia namna ya utafakari pia!...😂
 
Back
Top Bottom