Hata nchi ikienda upinzani mnaweza msione tofauti!

Hata nchi ikienda upinzani mnaweza msione tofauti!

Kama unapata ugumu kuelewa uliza mi sijalembalemba ili kutetea hoja zangu kisa nimekuwa challenged!

Sijasema TZ ni special na wala sijasema upinzani usiingie nimesema kuhusu kuwepo system itakayokuwa inasimamia masirahi ya taifa hata akiingia nani.. na ndio maana mwishoni nikasema hata likae jiwe au boya nchi iongozeke!. Ukiambiwa soma na utafakari wewe wasoma bila kutafakari!.
Sina shida na mabadiriko ya chama ktk uongozi nina shida na ufuatwaji wa dira ya taifa.

Kwenye katiba imeeleza kuwa kazi ya usalama wa taifa ni kutafuta taarifa,kuichambua na kuishauli serikali nini chakufanya!..
Hivyo serikali ni kazi kwao kuamua kufuata ushauli wa usalama wa taifa au wasiufate na ndio hapo niliposema usalama hawana meno!.. kwa maana ipi hata wawe na taarifa kubwa na pana kiasi gani hawawezi kuilazimisha serikali ifuate ushauli wa usalama. Usalama hawana ruhusa ya kumkamta mhalifu hata kama wanataarifa zenye hakika ya kwamba ni muarifu na anastahili kukamatwa!. Napo mpaka waifate serikali ndo iamue! Hiyo process inaweza ikaingiwa na ulaghai na ndio maana nikaandika kuwa hawana meno!.
Kama napo utakuwa hujanielewa basi tutafute kalamu na karatasi tufundushane Sasa!.

Swala la Kenya kwenda na vyama tofauti litakuwa halina tija kama namba ya rasilimali zao haziwapi namba ya uchumi wao uwe wapi!!!.
Hatuangalii Kenya kamshinda Tanzania kiuchumi tunaangalia Kenya kutokana na rasilimali zake je anastahili kuwa hapo alipo,hiyo ndio mantiki... Kama Kuna nchi Zina rasilimali chache kuliko Kenya halafu Kenya ipo chini kiuchumi kuliko hiyo nchi huoni hilo ni tatizo hata kama wanabadili uongozi Kila siku...???
Watu wengi wanaochanganya R na L huwa na vichwa vigumu sana kuelewa mambo ya kijamii yanoyohitaji tafakari tunduizi, wewe ni mmojawapo.
 
Watu wengi wanaochanganya R na L huwa na vichwa vigumu sana kuelewa mambo ya kijamii yanoyohitaji tafakari tunduizi, wewe ni mmojawapo.
Dah! Sawa naona umeamua kuniteta kisa r na l
 
Toa maelezo ya kutosha lasivyo ni ukanjanja tu
 
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!.

Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna vinavyoenenda,hulka za wanachama wengi wa vyama hivyo n.k.

Nimeuangalizia upinzani kwenye nchi yetu kwasababu ccm tayari tushaijua!,kama namna yauendeshwaji wa chama hichi tawala haina tofauti sana na vyama hivi pinzani sitashangaa siku upinzani ukishika nchi nayo ikafanya yaleyale!.

Imani yangu ktk pumzi za nchi naamini inashikiliwa na usalama wa taifa (engineering in everything), wakishirikiana na jeshi lakujenga taifa na vyombo vyengine vya usalama.

Hivi vyombo vyote vya usalama ndio ngao, njia na ni kama Sheria ya yeyote yule atakaepata cheo cha kisiasa lazima aenende na matakwa ya nchi kama ilivyoelekezwa na Sheria.. hawa watabaki kuwa waangalizi wa mwenendo, washauri na wasimamizi wa masilahi ya taifa.

Kelele tunazosikia za upinzani sitokuja kushangaa siku wakipata madaraka nao wakaufyata halafu ccm ndio akawa mbwatukaji!.

Kama vyama vyetu vinanjaa tusitegemee shibe watakaposhika usukani!.
Kama hakuna wakuvisimamia hivi vyama kivitendo basi maendeleo tutayaona kwa nchi zilizoendelea!.

Ukiona mtu yupo kwenye chama chochote na chama chake kikakosea jambo nae asifanye lolote kuhusu hilo kosa,aidha kulitatua,ama kuwajibisha n.k ndugu jua huyo mtu yupo kimasirahi hana uzalendo wala upendo..
Wewe mwanachama mdogo wa chama chochote nikupe tu taarifa jua unatumika sana tu kuwasukuma waliokuzidi wazidi kukaa juu yako!. Wewe utakalishwa kwenye vikao vya uzalendo halafu wao watakaa pembeni wakutenge kwenye vikao vyao vya namna yakuila nchi!..

Nakumbusha tena hili andiko ni la utafakari....

Watu huongozwa kutokana na namna walivyoendelea ktk nyanja mbalimbali aidha walivyoendelea kiuchumi na kielimu!,na ndio maana huwezi kusikia siasa za maji taka na madawati kwenye siasa za nchi kama USA!.
wao waambie kuhusu usalama,uchumi,sayansi n.k ktk namna ambayo imeendelea sio uchumi wakuuziana mitumba!.

Tunapigwa na hawa wanasiasa wetu kwasababu wanajua bado tumelala!,laiti kama tutabadirika sisi hata wao hawatakuwa nabudi yakubadirika waendane nasi!.

Muda mwengine sisi wananchi wakawaida tunayakwamisha maendeleo yetu wenyewe kwasababu tunashikilia bendera za vyama na sio bendera ya taifa!.

Hatuzungumzi kuhusu Tanzania tunazungumza kuhusu vyama!.

Kaa ukijua kelele unazowasaidia kupiga wewe hautanufaika nazo bali wao!.. kesho yako itadidimia na yao itaimarika!.

Si walikuambia kura yako inathamani?

Ndio inathamani lkn haitakuwa na thamani kama itatumika kutuletea mijitu ya hovyo!,kura yako lazima iwe inamatokeo ya kesho yako na vizazi vijavyo!.

Tutoke kwenye fikra za kupata nabii wakisiasa ndio aje atubadilishie upepo ambapo kesho asipokuja nabii tunalia na nyimbo zilezile!.

Tunapotakiwa hivi Sasa ni kufika kule ambapo hata lisimamishwe jiwe ama boya kwenye kiti kikuu,basi tule na tunywe kama inavyotakikana kwamaana mfumo hautegemei nabii mmoja ambae ataharibu au atapatia!.

Siamini kwenye kunywa maji yabendera ya chama chochote cha siasa bali naamini kwenye kunywa maji yabendera ya taifa langu.
Iende kwanza
 
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!...
Ni kweli bhana sijawahi kuona kwenye kampeni Marekani wananchi wamebeba bendera za vyama Bali hubeba bendera ya nchi, mpaka leo siijui hata rangi ya bendera ya democratics au republicans
 
Utakuwa mpumbavu kama unaamini Mkapa aliiibia nchi.
Niliposoma tu hapo nikaona ni hoja ya kisichana kinachojiuza mtaani.
Former President Benjamin Mkapa opens up on EPA scandal in ‘My Life, My Purpose’

Hiyo link nimekuwekea hapo Mkapa anakiri kuruhusu mabilioni ya EPA yaibiwe Ili kusaidia kwenye kampeni za CCM 2005!! Ni wakati wake pia ubinafsishaji ulifanyika kifisadi let alone kashfa ya Kiwira!! Huyu naye ni jizi tu kama majizi mengine na Uzuri alikiri mwenyewe Sasa unachomtetea Nini?
 
Kama unapata ugumu kuelewa uliza mi sijalembalemba ili kutetea hoja zangu kisa nimekuwa challenged!

Sijasema TZ ni special na wala sijasema upinzani usiingie nimesema kuhusu kuwepo system itakayokuwa inasimamia masirahi ya taifa hata akiingia nani.. na ndio maana mwishoni nikasema hata likae jiwe au boya nchi iongozeke!. Ukiambiwa soma na utafakari wewe wasoma bila kutafakari!.
Sina shida na mabadiriko ya chama ktk uongozi nina shida na ufuatwaji wa dira ya taifa.

Kwenye katiba imeeleza kuwa kazi ya usalama wa taifa ni kutafuta taarifa,kuichambua na kuishauli serikali nini chakufanya!..
Hivyo serikali ni kazi kwao kuamua kufuata ushauli wa usalama wa taifa au wasiufate na ndio hapo niliposema usalama hawana meno!.. kwa maana ipi hata wawe na taarifa kubwa na pana kiasi gani hawawezi kuilazimisha serikali ifuate ushauli wa usalama. Usalama hawana ruhusa ya kumkamta mhalifu hata kama wanataarifa zenye hakika ya kwamba ni muarifu na anastahili kukamatwa!. Napo mpaka waifate serikali ndo iamue! Hiyo process inaweza ikaingiwa na ulaghai na ndio maana nikaandika kuwa hawana meno!.
Kama napo utakuwa hujanielewa basi tutafute kalamu na karatasi tufundushane Sasa!.

Swala la Kenya kwenda na vyama tofauti litakuwa halina tija kama namba ya rasilimali zao haziwapi namba ya uchumi wao uwe wapi!!!.
Hatuangalii Kenya kamshinda Tanzania kiuchumi tunaangalia Kenya kutokana na rasilimali zake je anastahili kuwa hapo alipo,hiyo ndio mantiki... Kama Kuna nchi Zina rasilimali chache kuliko Kenya halafu Kenya ipo chini kiuchumi kuliko hiyo nchi huoni hilo ni tatizo hata kama wanabadili uongozi Kila siku...???
Hata sijui najadili nini na ww, hao usalama wa taifa unaowazungumzia ni kabla ya sheria ya juzi, sasa hivi wanaruhusiwa kuchunguza na kukamata. Hebu pitia kwanza hilo kisha tuendelee na mjadala.
 
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!.

Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna vinavyoenenda,hulka za wanachama wengi wa vyama hivyo n.k.

Nimeuangalizia upinzani kwenye nchi yetu kwasababu ccm tayari tushaijua!,kama namna yauendeshwaji wa chama hichi tawala haina tofauti sana na vyama hivi pinzani sitashangaa siku upinzani ukishika nchi nayo ikafanya yaleyale!.

Imani yangu ktk pumzi za nchi naamini inashikiliwa na usalama wa taifa (engineering in everything), wakishirikiana na jeshi lakujenga taifa na vyombo vyengine vya usalama.

Hivi vyombo vyote vya usalama ndio ngao, njia na ni kama Sheria ya yeyote yule atakaepata cheo cha kisiasa lazima aenende na matakwa ya nchi kama ilivyoelekezwa na Sheria.. hawa watabaki kuwa waangalizi wa mwenendo, washauri na wasimamizi wa masilahi ya taifa.

Kelele tunazosikia za upinzani sitokuja kushangaa siku wakipata madaraka nao wakaufyata halafu ccm ndio akawa mbwatukaji!.

Kama vyama vyetu vinanjaa tusitegemee shibe watakaposhika usukani!.
Kama hakuna wakuvisimamia hivi vyama kivitendo basi maendeleo tutayaona kwa nchi zilizoendelea!.

Ukiona mtu yupo kwenye chama chochote na chama chake kikakosea jambo nae asifanye lolote kuhusu hilo kosa,aidha kulitatua,ama kuwajibisha n.k ndugu jua huyo mtu yupo kimasirahi hana uzalendo wala upendo..
Wewe mwanachama mdogo wa chama chochote nikupe tu taarifa jua unatumika sana tu kuwasukuma waliokuzidi wazidi kukaa juu yako!. Wewe utakalishwa kwenye vikao vya uzalendo halafu wao watakaa pembeni wakutenge kwenye vikao vyao vya namna yakuila nchi!..

Nakumbusha tena hili andiko ni la utafakari....

Watu huongozwa kutokana na namna walivyoendelea ktk nyanja mbalimbali aidha walivyoendelea kiuchumi na kielimu!,na ndio maana huwezi kusikia siasa za maji taka na madawati kwenye siasa za nchi kama USA!.
wao waambie kuhusu usalama,uchumi,sayansi n.k ktk namna ambayo imeendelea sio uchumi wakuuziana mitumba!.

Tunapigwa na hawa wanasiasa wetu kwasababu wanajua bado tumelala!,laiti kama tutabadirika sisi hata wao hawatakuwa nabudi yakubadirika waendane nasi!.

Muda mwengine sisi wananchi wakawaida tunayakwamisha maendeleo yetu wenyewe kwasababu tunashikilia bendera za vyama na sio bendera ya taifa!.

Hatuzungumzi kuhusu Tanzania tunazungumza kuhusu vyama!.

Kaa ukijua kelele unazowasaidia kupiga wewe hautanufaika nazo bali wao!.. kesho yako itadidimia na yao itaimarika!.

Si walikuambia kura yako inathamani?

Ndio inathamani lkn haitakuwa na thamani kama itatumika kutuletea mijitu ya hovyo!,kura yako lazima iwe inamatokeo ya kesho yako na vizazi vijavyo!.

Tutoke kwenye fikra za kupata nabii wakisiasa ndio aje atubadilishie upepo ambapo kesho asipokuja nabii tunalia na nyimbo zilezile!.

Tunapotakiwa hivi Sasa ni kufika kule ambapo hata lisimamishwe jiwe ama boya kwenye kiti kikuu,basi tule na tunywe kama inavyotakikana kwamaana mfumo hautegemei nabii mmoja ambae ataharibu au atapatia!.

Siamini kwenye kunywa maji yabendera ya chama chochote cha siasa bali naamini kwenye kunywa maji yabendera ya taifa langu.
Watu wenyewe wasio na sera Wala strategy hao wataleta tofauti gani? Huoni Kenya huko Kuna tofauti ya nafuu ya maisha imeletwa na kina Ruto? Ndio kwanza maisha yamekuwa magumu.

Mtu kama Lisu ataishia kuvuruga Kila kitu kama Mwendazake matokeo yake maisha yatazidi kuwa magumu.
 
Ahadi alizozitoa Mugabe wakati ule akiwa kijana anaingia ikulu ya Zimbabwe na kilichokuja kutokea katika utawala wake.

Museveni wa Uganda alitoa hotuba nzuri na ya kutumainia kuihusu Uganda. Leo hii katawala Uganda miaka likuki lakini sidhani kama Yale aliyoyaahidi wakati anaingia ikulu kama kweli kayatekeleza.

Ni kujilisha matango pori tu lakini kiuhalisia mambo ni yaleyale ,watu ni wale wale na si ajabu mpinzani akavurunda kuliko hata aliyepo madarakani kwa sasa.

Kenya waliuana kuitaka katiba mpya ,Leo hii wanazidi kulalamikia uongozi uliopo madarakani pamoja na katiba yao mpya.

Pambania familia yako na maendeleo yako, hayo mengine waachie wenye misuli ya kupambana na polisi na kulala mahubusu na kushinda mahakamani.

Kama huwezi kupambana nao jiunge nao
 
Ngoja kwanza tuwape hawa hawa wapinzani. CCM kwa zaidi ya miaka 60+ hawajafanya makubwa ya kuendelea kuaminiwa.
 
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!.

Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna vinavyoenenda,hulka za wanachama wengi wa vyama hivyo n.k.

Nimeuangalizia upinzani kwenye nchi yetu kwasababu ccm tayari tushaijua!,kama namna yauendeshwaji wa chama hichi tawala haina tofauti sana na vyama hivi pinzani sitashangaa siku upinzani ukishika nchi nayo ikafanya yaleyale!.

Imani yangu ktk pumzi za nchi naamini inashikiliwa na usalama wa taifa (engineering in everything), wakishirikiana na jeshi lakujenga taifa na vyombo vyengine vya usalama.

Hivi vyombo vyote vya usalama ndio ngao, njia na ni kama Sheria ya yeyote yule atakaepata cheo cha kisiasa lazima aenende na matakwa ya nchi kama ilivyoelekezwa na Sheria.. hawa watabaki kuwa waangalizi wa mwenendo, washauri na wasimamizi wa masilahi ya taifa.

Kelele tunazosikia za upinzani sitokuja kushangaa siku wakipata madaraka nao wakaufyata halafu ccm ndio akawa mbwatukaji!.

Kama vyama vyetu vinanjaa tusitegemee shibe watakaposhika usukani!.
Kama hakuna wakuvisimamia hivi vyama kivitendo basi maendeleo tutayaona kwa nchi zilizoendelea!.

Ukiona mtu yupo kwenye chama chochote na chama chake kikakosea jambo nae asifanye lolote kuhusu hilo kosa,aidha kulitatua,ama kuwajibisha n.k ndugu jua huyo mtu yupo kimasirahi hana uzalendo wala upendo..
Wewe mwanachama mdogo wa chama chochote nikupe tu taarifa jua unatumika sana tu kuwasukuma waliokuzidi wazidi kukaa juu yako!. Wewe utakalishwa kwenye vikao vya uzalendo halafu wao watakaa pembeni wakutenge kwenye vikao vyao vya namna yakuila nchi!..

Nakumbusha tena hili andiko ni la utafakari....

Watu huongozwa kutokana na namna walivyoendelea ktk nyanja mbalimbali aidha walivyoendelea kiuchumi na kielimu!,na ndio maana huwezi kusikia siasa za maji taka na madawati kwenye siasa za nchi kama USA!.
wao waambie kuhusu usalama,uchumi,sayansi n.k ktk namna ambayo imeendelea sio uchumi wakuuziana mitumba!.

Tunapigwa na hawa wanasiasa wetu kwasababu wanajua bado tumelala!,laiti kama tutabadirika sisi hata wao hawatakuwa nabudi yakubadirika waendane nasi!.

Muda mwengine sisi wananchi wakawaida tunayakwamisha maendeleo yetu wenyewe kwasababu tunashikilia bendera za vyama na sio bendera ya taifa!.

Hatuzungumzi kuhusu Tanzania tunazungumza kuhusu vyama!.

Kaa ukijua kelele unazowasaidia kupiga wewe hautanufaika nazo bali wao!.. kesho yako itadidimia na yao itaimarika!.

Si walikuambia kura yako inathamani?

Ndio inathamani lkn haitakuwa na thamani kama itatumika kutuletea mijitu ya hovyo!,kura yako lazima iwe inamatokeo ya kesho yako na vizazi vijavyo!.

Tutoke kwenye fikra za kupata nabii wakisiasa ndio aje atubadilishie upepo ambapo kesho asipokuja nabii tunalia na nyimbo zilezile!.

Tunapotakiwa hivi Sasa ni kufika kule ambapo hata lisimamishwe jiwe ama boya kwenye kiti kikuu,basi tule na tunywe kama inavyotakikana kwamaana mfumo hautegemei nabii mmoja ambae ataharibu au atapatia!.

Siamini kwenye kunywa maji yabendera ya chama chochote cha siasa bali naamini kwenye kunywa maji yabendera ya taifa langu.
Na ndio maana hata Mimi nilishakataa kupoteza mda eti nahangaika na Wanasiasa wa Tanzania wajinga ndio watakuwa wanatumiwa.

Nitahangaika na siasa pale tuu zitakapokuwa na manufaa kwangu na.sio kufaidisha wengine hao wapiga kelele za njaa.
 
Ahadi alizozitoa Mugabe wakati ule akiwa kijana anaingia ikulu ya Zimbabwe na kilichokuja kutokea katika utawala wake.

Museveni wa Uganda alitoa hotuba nzuri na ya kutumainia kuihusu Uganda. Leo hii katawala Uganda miaka likuki lakini sidhani kama Yale aliyoyaahidi wakati anaingia ikulu kama kweli kayatekeleza.

Ni kujilisha matango pori tu lakini kiuhalisia mambo ni yaleyale ,watu ni wale wale na si ajabu mpinzani akavurunda kuliko hata aliyepo madarakani kwa sasa.

Kenya waliuana kuitaka katiba mpya ,Leo hii wanazidi kulalamikia uongozi uliopo madarakani pamoja na katiba yao mpya.

Pambania familia yako na maendeleo yako, hayo mengine waachie wenye misuli ya kupambana na polisi na kulala mahubusu na kushinda mahakamani.

Kama huwezi kupambana nao jiunge nao
Na pia viongozi wengi ni mbumbumbu wanashindwa kuelewa kwamba bila kuvunja Mifumo ya kinyonyajo iliyoasisiwa na wakoloni hakuna kuendelea.

Utatakani maendeleo lakini huyopata ,kitendo Cha Nchi za Africa Kushindwa kuwa na Biashara kubwa baina Yao ni kaburi la umaskini.

Leo hii Kenya Iko tayari Kuagiza mahindi Brazil kuliko Nigeria Kwa sababu gharama ya meli au ndege kutoka Lagos Hadi Mombasa ni kubwa kuliko Kufuata Ulaya au Uarabuni.

Sasa Kwa mazingira haya mchinhisi haziwezi endelea.
 
Afadhari iende upinzani CCM inatuzarau sana watanzania
 
Hata sijui najadili nini na ww, hao usalama wa taifa unaowazungumzia ni kabla ya sheria ya juzi, sasa hivi wanaruhusiwa kuchunguza na kukamata. Hebu pitia kwanza hilo kisha tuendelee na mjadala.
😂 Sahivi Tena hujui tunajadili nini na matokeo ya juzi hayawezi kufanana na Yale yaliyopita kwa miaka Kenda huko awali..
 
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!.

Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna vinavyoenenda,hulka za wanachama wengi wa vyama hivyo n.k.

Nimeuangalizia upinzani kwenye nchi yetu kwasababu ccm tayari tushaijua!,kama namna yauendeshwaji wa chama hichi tawala haina tofauti sana na vyama hivi pinzani sitashangaa siku upinzani ukishika nchi nayo ikafanya yaleyale!.

Imani yangu ktk pumzi za nchi naamini inashikiliwa na usalama wa taifa (engineering in everything), wakishirikiana na jeshi lakujenga taifa na vyombo vyengine vya usalama.

Hivi vyombo vyote vya usalama ndio ngao, njia na ni kama Sheria ya yeyote yule atakaepata cheo cha kisiasa lazima aenende na matakwa ya nchi kama ilivyoelekezwa na Sheria.. hawa watabaki kuwa waangalizi wa mwenendo, washauri na wasimamizi wa masilahi ya taifa.

Kelele tunazosikia za upinzani sitokuja kushangaa siku wakipata madaraka nao wakaufyata halafu ccm ndio akawa mbwatukaji!.

Kama vyama vyetu vinanjaa tusitegemee shibe watakaposhika usukani!.
Kama hakuna wakuvisimamia hivi vyama kivitendo basi maendeleo tutayaona kwa nchi zilizoendelea!.

Ukiona mtu yupo kwenye chama chochote na chama chake kikakosea jambo nae asifanye lolote kuhusu hilo kosa,aidha kulitatua,ama kuwajibisha n.k ndugu jua huyo mtu yupo kimasirahi hana uzalendo wala upendo..
Wewe mwanachama mdogo wa chama chochote nikupe tu taarifa jua unatumika sana tu kuwasukuma waliokuzidi wazidi kukaa juu yako!. Wewe utakalishwa kwenye vikao vya uzalendo halafu wao watakaa pembeni wakutenge kwenye vikao vyao vya namna yakuila nchi!..

Nakumbusha tena hili andiko ni la utafakari....

Watu huongozwa kutokana na namna walivyoendelea ktk nyanja mbalimbali aidha walivyoendelea kiuchumi na kielimu!,na ndio maana huwezi kusikia siasa za maji taka na madawati kwenye siasa za nchi kama USA!.
wao waambie kuhusu usalama,uchumi,sayansi n.k ktk namna ambayo imeendelea sio uchumi wakuuziana mitumba!.

Tunapigwa na hawa wanasiasa wetu kwasababu wanajua bado tumelala!,laiti kama tutabadirika sisi hata wao hawatakuwa nabudi yakubadirika waendane nasi!.

Muda mwengine sisi wananchi wakawaida tunayakwamisha maendeleo yetu wenyewe kwasababu tunashikilia bendera za vyama na sio bendera ya taifa!.

Hatuzungumzi kuhusu Tanzania tunazungumza kuhusu vyama!.

Kaa ukijua kelele unazowasaidia kupiga wewe hautanufaika nazo bali wao!.. kesho yako itadidimia na yao itaimarika!.

Si walikuambia kura yako inathamani?

Ndio inathamani lkn haitakuwa na thamani kama itatumika kutuletea mijitu ya hovyo!,kura yako lazima iwe inamatokeo ya kesho yako na vizazi vijavyo!.

Tutoke kwenye fikra za kupata nabii wakisiasa ndio aje atubadilishie upepo ambapo kesho asipokuja nabii tunalia na nyimbo zilezile!.

Tunapotakiwa hivi Sasa ni kufika kule ambapo hata lisimamishwe jiwe ama boya kwenye kiti kikuu,basi tule na tunywe kama inavyotakikana kwamaana mfumo hautegemei nabii mmoja ambae ataharibu au atapatia!.

Siamini kwenye kunywa maji yabendera ya chama chochote cha siasa bali naamini kwenye kunywa maji yabendera ya taifa langu.
Huna hoja , tuishi kwa mazoea
 
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!.

Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna vinavyoenenda,hulka za wanachama wengi wa vyama hivyo n.k.

Nimeuangalizia upinzani kwenye nchi yetu kwasababu ccm tayari tushaijua!,kama namna yauendeshwaji wa chama hichi tawala haina tofauti sana na vyama hivi pinzani sitashangaa siku upinzani ukishika nchi nayo ikafanya yaleyale!.

Imani yangu ktk pumzi za nchi naamini inashikiliwa na usalama wa taifa (engineering in everything), wakishirikiana na jeshi lakujenga taifa na vyombo vyengine vya usalama.

Hivi vyombo vyote vya usalama ndio ngao, njia na ni kama Sheria ya yeyote yule atakaepata cheo cha kisiasa lazima aenende na matakwa ya nchi kama ilivyoelekezwa na Sheria.. hawa watabaki kuwa waangalizi wa mwenendo, washauri na wasimamizi wa masilahi ya taifa.

Kelele tunazosikia za upinzani sitokuja kushangaa siku wakipata madaraka nao wakaufyata halafu ccm ndio akawa mbwatukaji!.

Kama vyama vyetu vinanjaa tusitegemee shibe watakaposhika usukani!.
Kama hakuna wakuvisimamia hivi vyama kivitendo basi maendeleo tutayaona kwa nchi zilizoendelea!.

Ukiona mtu yupo kwenye chama chochote na chama chake kikakosea jambo nae asifanye lolote kuhusu hilo kosa,aidha kulitatua,ama kuwajibisha n.k ndugu jua huyo mtu yupo kimasirahi hana uzalendo wala upendo..
Wewe mwanachama mdogo wa chama chochote nikupe tu taarifa jua unatumika sana tu kuwasukuma waliokuzidi wazidi kukaa juu yako!. Wewe utakalishwa kwenye vikao vya uzalendo halafu wao watakaa pembeni wakutenge kwenye vikao vyao vya namna yakuila nchi!..

Nakumbusha tena hili andiko ni la utafakari....

Watu huongozwa kutokana na namna walivyoendelea ktk nyanja mbalimbali aidha walivyoendelea kiuchumi na kielimu!,na ndio maana huwezi kusikia siasa za maji taka na madawati kwenye siasa za nchi kama USA!.
wao waambie kuhusu usalama,uchumi,sayansi n.k ktk namna ambayo imeendelea sio uchumi wakuuziana mitumba!.

Tunapigwa na hawa wanasiasa wetu kwasababu wanajua bado tumelala!,laiti kama tutabadirika sisi hata wao hawatakuwa nabudi yakubadirika waendane nasi!.

Muda mwengine sisi wananchi wakawaida tunayakwamisha maendeleo yetu wenyewe kwasababu tunashikilia bendera za vyama na sio bendera ya taifa!.

Hatuzungumzi kuhusu Tanzania tunazungumza kuhusu vyama!.

Kaa ukijua kelele unazowasaidia kupiga wewe hautanufaika nazo bali wao!.. kesho yako itadidimia na yao itaimarika!.

Si walikuambia kura yako inathamani?

Ndio inathamani lkn haitakuwa na thamani kama itatumika kutuletea mijitu ya hovyo!,kura yako lazima iwe inamatokeo ya kesho yako na vizazi vijavyo!.

Tutoke kwenye fikra za kupata nabii wakisiasa ndio aje atubadilishie upepo ambapo kesho asipokuja nabii tunalia na nyimbo zilezile!.

Tunapotakiwa hivi Sasa ni kufika kule ambapo hata lisimamishwe jiwe ama boya kwenye kiti kikuu,basi tule na tunywe kama inavyotakikana kwamaana mfumo hautegemei nabii mmoja ambae ataharibu au atapatia!.

Siamini kwenye kunywa maji yabendera ya chama chochote cha siasa bali naamini kwenye kunywa maji yabendera ya taifa langu.
Ndio uko sahihi, lakini Kwa asilimia mia Mimi nimeona ccm haiwezi kutupeleka hapo unapopasema. Imebaki na sera za Nyerere ambazo Kwa sasa ni outdated, sasa Si Bora tujaribu na cdm au act nk.
Bro; ni kwamba inatakiwa tufike mahali chama Chochote kisiwe na umiliki wa nchi hii.
Chama kitakachofanya Vizuri ndo tutakachoenda nacho.
Inchi zilizoendelea hakuna chama kinachomiliki nchi, ila nchi maskin hususani za African ndo zina vyama tawala tena tawala kweli kweli.
Leo ukimkuta mtawala wa sisiemu anafanya ovu, ukamkemea anakuambia utaona, sitakupa ajila, au ntakupa kesi ya uhujumu uchumi, au ntakupoteza kabisa, au vitisho VYOVYOTE.
Yaani nchi hii imemilikiwa na visisiemu adi KERO, kiasi kwamba wamekua miungu watu.
JAMANI SIIPENDI SISIEMU, IKIJA KUTOKA MADARAKANI NADHANI NDO ITAKUA HAPPY BIRTHDAY YANGU.
SIO SIRI NATAMANI SISIEMU ITOWEKE KABISA, HALMASHAURI ZA OVYO OVYO TU, VITUO police VYA OVYO, MAHAKAMA ZA OVYO, HOSPITAL HUDUMA ZA OVYO, ELIMU YA OVYO, MIUNDO MBINU YA BARABARA NA UMEME OVYO, NA MENGINE MENGI. YOTE YANASABABISHWA NA SISIEMU TU.
SIJUI NI NYANJA IPI SISIEMU ILIPOFANYA VIZURI.
Siwezi kuogopa kumpa kura yangu cdm au act maana hamna ninalopata Kutoka sisiemu ambalo pengine ntahofia kulipoteza.
Wewe unaeogopa huenda ni mkuu wa WILAYA, au mkoa, au Kuna namna mkono wako unaenda kinywani Kwa ajili ya sisiemu.
 
Ukiona mtu yupo kwenye chama chochote na chama chake kikakosea jambo nae asifanye lolote kuhusu hilo kosa,aidha kulitatua,ama kuwajibisha n.k ndugu jua huyo mtu yupo kimasirahi hana uzalendo wala upendo..
fb_img_1680258242993-jpg.2572153

Tunapigwa na hawa wanasiasa wetu kwasababu wanajua bado tumelala!,laiti kama tutabadirika sisi hata wao hawatakuwa nabudi yakubadirika waendane nasi!.
Nasisitiza tu.
 
Na pia viongozi wengi ni mbumbumbu wanashindwa kuelewa kwamba bila kuvunja Mifumo ya kinyonyajo iliyoasisiwa na wakoloni hakuna kuendelea.

Utatakani maendeleo lakini huyopata ,kitendo Cha Nchi za Africa Kushindwa kuwa na Biashara kubwa baina Yao ni kaburi la umaskini.

Leo hii Kenya Iko tayari Kuagiza mahindi Brazil kuliko Nigeria Kwa sababu gharama ya meli au ndege kutoka Lagos Hadi Mombasa ni kubwa kuliko Kufuata Ulaya au Uarabuni.

Sasa Kwa mazingira haya mchinhisi haziwezi endelea.
Wakati mwingine ni tatizo la hao viongozi baina ya nchi za kiafrika kutokuwa stable. Leo mankubaliana hivi kesho anakugeuka.

Mfano Kenya anategemea apate mahindi toka Tanzania na biashara inakwenda vizuri bila ya shida, aknakuja kiongozi mwingine anapiga marufuku kuuza mahindi nje ya nchi.....wakati huo anajua kuwa Wakenya hawana tegemeo lao ni soko letu . Unategemea mkenya atamwamini tena mtanzania!?

Jumuiya ya Afrika Mashariki ilivunjikaje? Ni nini hasa kilisababisha kuvunjika kwa ushirikiano baina ya nchi? UBINAFSI
 
Back
Top Bottom