Hata nchi ikienda upinzani mnaweza msione tofauti!

Hata nchi ikienda upinzani mnaweza msione tofauti!

Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!.

Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna vinavyoenenda,hulka za wanachama wengi wa vyama hivyo n.k.

Nimeuangalizia upinzani kwenye nchi yetu kwasababu ccm tayari tushaijua!,kama namna yauendeshwaji wa chama hichi tawala haina tofauti sana na vyama hivi pinzani sitashangaa siku upinzani ukishika nchi nayo ikafanya yaleyale!.

Imani yangu ktk pumzi za nchi naamini inashikiliwa na usalama wa taifa (engineering in everything), wakishirikiana na jeshi lakujenga taifa na vyombo vyengine vya usalama.

Hivi vyombo vyote vya usalama ndio ngao, njia na ni kama Sheria ya yeyote yule atakaepata cheo cha kisiasa lazima aenende na matakwa ya nchi kama ilivyoelekezwa na Sheria.. hawa watabaki kuwa waangalizi wa mwenendo, washauri na wasimamizi wa masilahi ya taifa.

Kelele tunazosikia za upinzani sitokuja kushangaa siku wakipata madaraka nao wakaufyata halafu ccm ndio akawa mbwatukaji!.

Kama vyama vyetu vinanjaa tusitegemee shibe watakaposhika usukani!.
Kama hakuna wakuvisimamia hivi vyama kivitendo basi maendeleo tutayaona kwa nchi zilizoendelea!.

Ukiona mtu yupo kwenye chama chochote na chama chake kikakosea jambo nae asifanye lolote kuhusu hilo kosa,aidha kulitatua,ama kuwajibisha n.k ndugu jua huyo mtu yupo kimasirahi hana uzalendo wala upendo..
Wewe mwanachama mdogo wa chama chochote nikupe tu taarifa jua unatumika sana tu kuwasukuma waliokuzidi wazidi kukaa juu yako!. Wewe utakalishwa kwenye vikao vya uzalendo halafu wao watakaa pembeni wakutenge kwenye vikao vyao vya namna yakuila nchi!..

Nakumbusha tena hili andiko ni la utafakari....

Watu huongozwa kutokana na namna walivyoendelea ktk nyanja mbalimbali aidha walivyoendelea kiuchumi na kielimu!,na ndio maana huwezi kusikia siasa za maji taka na madawati kwenye siasa za nchi kama USA!.
wao waambie kuhusu usalama,uchumi,sayansi n.k ktk namna ambayo imeendelea sio uchumi wakuuziana mitumba!.

Tunapigwa na hawa wanasiasa wetu kwasababu wanajua bado tumelala!,laiti kama tutabadirika sisi hata wao hawatakuwa nabudi yakubadirika waendane nasi!.

Muda mwengine sisi wananchi wakawaida tunayakwamisha maendeleo yetu wenyewe kwasababu tunashikilia bendera za vyama na sio bendera ya taifa!.

Hatuzungumzi kuhusu Tanzania tunazungumza kuhusu vyama!.

Kaa ukijua kelele unazowasaidia kupiga wewe hautanufaika nazo bali wao!.. kesho yako itadidimia na yao itaimarika!.

Si walikuambia kura yako inathamani?

Ndio inathamani lkn haitakuwa na thamani kama itatumika kutuletea mijitu ya hovyo!,kura yako lazima iwe inamatokeo ya kesho yako na vizazi vijavyo!.

Tutoke kwenye fikra za kupata nabii wakisiasa ndio aje atubadilishie upepo ambapo kesho asipokuja nabii tunalia na nyimbo zilezile!.

Tunapotakiwa hivi Sasa ni kufika kule ambapo hata lisimamishwe jiwe ama boya kwenye kiti kikuu,basi tule na tunywe kama inavyotakikana kwamaana mfumo hautegemei nabii mmoja ambae ataharibu au atapatia!.

Siamini kwenye kunywa maji yabendera ya chama chochote cha siasa bali naamini kwenye kunywa maji yabendera ya taifa langu.
📌📌📌📌📌🔨🔨
 
Wakati mwingine ni tatizo la hao viongozi baina ya nchi za kiafrika kutokuwa stable. Leo mankubaliana hivi kesho anakugeuka.

Mfano Kenya anategemea apate mahindi toka Tanzania na biashara inakwenda vizuri bila ya shida, aknakuja kiongozi mwingine anapiga marufuku kuuza mahindi nje ya nchi.....wakati huo anajua kuwa Wakenya hawana tegemeo lao ni soko letu . Unategemea mkenya atamwamini tena mtanzania!?

Jumuiya ya Afrika Mashariki ilivunjikaje? Ni nini hasa kilisababisha kuvunjika kwa ushirikiano baina ya nchi? UBINAFSI
Hata huko Ulaya Jumuiya yao inavunjika-Unafikiri kwasababu gani? Na haina maana sisi Waafrika nao tuwe kama wao, ila ikumbukwe mashirikiano ya huko Ulaya yalilenga kuendeleza himaya na Ubeberu katika nchi za Afrika na Asia, hakuna lingine! Huku kwetu imekuwa kama kinyume chake;Kupinga ukoloni mamboleo na Ubeberu.


itoshe, hiyo dhana ya Kwamba haya mambo yanatokea Afrika tu ni dhana Potofu-Hebu tuambie na hiyo stability ya mchongo huko, mbona walishindwa kuafikiana kuhusu utumiaji wa nishati kutoka Urusi mwanzoni wa Vita za kibeberu huko?

Wamshukuru ndugu yao Mmarekani baada ya kuingilia vurugumechi ya Urusi na kutoa sadaka na fedha nyingi huko kUwasaidia hawa maharamia wa Ulaya.- Kwani ule ulikuwa ni nini kama sio UBINAFSI?
 
KENZY nimekuelewa vizuri point yako na ni kweli tunahitaji mjadala.

Kwa haraka haraka sisi ni Watanzania wale wale tabia zile zile.

Lakini kwa sasa tunataka mabadiliko hata ya jezi tu tumeichoka CCM.
 
KENZY nimekuelewa vizuri point yako na ni kweli tunahitaji mjadala.

Kwa haraka haraka sisi ni Watanzania wale wale tabia zile zile.

Lakini kwa sasa tunataka mabadiliko hata ya jezi tu tumeichoka CCM.
😂 Kwamba hata jezi...
 
Bila vyama vya upinzani maisha yatazidi kuwa magumu, satan, ania msichonganishwe kipuuzi na wachache sanaofaidika na chama kilichopo madarakani
Tusikubali utawal wa kifalme
Kuna vijana wanamaliza vyuo hawana kazi
Unajua kwanini? Kuna utwaka wa kiimla badala ya kustaafu wanarudishana kama hatorudishwa anawekwa mwanawe huku akiwa hana ujuzi wowote,
Untegemea watu kama hawa watakutambua raia unataka nin?
Na hii ni kawaida ya watanzania kila kitu wanajiambia tunamwachia mungu, kivipi ufanye uvivu na uzembe wako eti unamwachia mungu?!!
Eti vyama vya upinzani havina uwezo?
Tumia akili acha kuropoka je unataka chama kutoka mbinguni?
Hivi vyama hasa chadema ni muhimu kwa maisha ya watanzania
Wasipo piga kelele tutakipata cha mtema kuni
Labda mnataka chama kama cha Zito amabacho kinaenda na upepo wa watawalachama cha namna hii hakina msaada kwa wannchi
Chama ni kile kinauwezo wa kuwatoa ofsin kuja kuwashtakia wananchi
Msidanganywe vyama vya upinzani ni muhimu sana kwetu
Na kukitoa chama cha mapinduzi ni muhimu kitoke madarakani
 
Wapambe wa iliyokuwa KANU ya Kenya walikuwa wanasema KANU ndio inaweza kuendesha Kenya. Leo hii KANU huko Kenya ni marehemu na kwa Kenya hawana vyama vya kudumu, mbona bado Kenya ina uchumi mkubwa kuliko wa Tanzania? Acha mawazo ya kizee yaliyofungwa na propaganda za CCM.
Huna unachoelewa!! Unatolea mfano Kenya huku hujui Kanu yenyewe ilivunjika ndoyoote yakatokea
 
Sio kweli mfano JPM alipinga chanjo TISS wakaona ni SAWA, kaja Samia kasema chanjo lazima na hao hao TISS wakaona SAWA pia? Same to Katiba mpya kipindi cha JK hao TISS waliona sawa tu katiba mpya ije, kaja JPM kasema katiba mpya ni makaratasi tu hao TISS nao wakaridhia tu, then kaja Samia anataka katiba mpya still TISS Wamekubali!!

Sasa kama hao TISS tu wanakubali Kila Rais aje na lake hata kama linakinzana na Rais aliyepita kivipi hoja ya kusema lazima "uendane na matakwa ya nchi"?

Hao Marais Mafisadi kama JK au Mkapa je ni haki kupora Mali za Umma? Mbona TISS Bado waliwasaidia kuiba kura Ili hao Wezi wabaki madarakani?

Nikishaona mtu analeta habari za kwamba TISS ndio Ina suka siasa za nchi hii namuona mjinga tu kama hao uliowaita wajinga.

Kama TISS ingekua na hizo sifa basi Kuna watu kama Chenge wasingemaliza hata miaka 2 wakiwa hai!!
Muhimu kuliko yote ni kuwa na wananchi wenye akili nzuri na uelewa.
Msingi wa yote ni wananchi.
Viongozi, TISS, polisi, majeshi yote, watumishi wote wa uma,.... wanatokana na wananchi.
Wananchi wakiwa wa hovyo, kila kitu hovyo hovyo. Maamuzi yote yanafanywa na mmoja wote wanafuata mkumbo kama nyumbu.
Vyama vya siasa na wanaharakati hutoa elimu kwa uma na hivyo kuchochea mabadliko ya fikra.
 
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!.

Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna vinavyoenenda,hulka za wanachama wengi wa vyama hivyo n.k.

Nimeuangalizia upinzani kwenye nchi yetu kwasababu ccm tayari tushaijua!,kama namna yauendeshwaji wa chama hichi tawala haina tofauti sana na vyama hivi pinzani sitashangaa siku upinzani ukishika nchi nayo ikafanya yaleyale!.

Imani yangu ktk pumzi za nchi naamini inashikiliwa na usalama wa taifa (engineering in everything), wakishirikiana na jeshi lakujenga taifa na vyombo vyengine vya usalama.

Hivi vyombo vyote vya usalama ndio ngao, njia na ni kama Sheria ya yeyote yule atakaepata cheo cha kisiasa lazima aenende na matakwa ya nchi kama ilivyoelekezwa na Sheria.. hawa watabaki kuwa waangalizi wa mwenendo, washauri na wasimamizi wa masilahi ya taifa.

Kelele tunazosikia za upinzani sitokuja kushangaa siku wakipata madaraka nao wakaufyata halafu ccm ndio akawa mbwatukaji!.

Kama vyama vyetu vinanjaa tusitegemee shibe watakaposhika usukani!.
Kama hakuna wakuvisimamia hivi vyama kivitendo basi maendeleo tutayaona kwa nchi zilizoendelea!.

Ukiona mtu yupo kwenye chama chochote na chama chake kikakosea jambo nae asifanye lolote kuhusu hilo kosa,aidha kulitatua,ama kuwajibisha n.k ndugu jua huyo mtu yupo kimasirahi hana uzalendo wala upendo..
Wewe mwanachama mdogo wa chama chochote nikupe tu taarifa jua unatumika sana tu kuwasukuma waliokuzidi wazidi kukaa juu yako!. Wewe utakalishwa kwenye vikao vya uzalendo halafu wao watakaa pembeni wakutenge kwenye vikao vyao vya namna yakuila nchi!..

Nakumbusha tena hili andiko ni la utafakari....

Watu huongozwa kutokana na namna walivyoendelea ktk nyanja mbalimbali aidha walivyoendelea kiuchumi na kielimu!,na ndio maana huwezi kusikia siasa za maji taka na madawati kwenye siasa za nchi kama USA!.
wao waambie kuhusu usalama,uchumi,sayansi n.k ktk namna ambayo imeendelea sio uchumi wakuuziana mitumba!.

Tunapigwa na hawa wanasiasa wetu kwasababu wanajua bado tumelala!,laiti kama tutabadirika sisi hata wao hawatakuwa nabudi yakubadirika waendane nasi!.

Muda mwengine sisi wananchi wakawaida tunayakwamisha maendeleo yetu wenyewe kwasababu tunashikilia bendera za vyama na sio bendera ya taifa!.

Hatuzungumzi kuhusu Tanzania tunazungumza kuhusu vyama!.

Kaa ukijua kelele unazowasaidia kupiga wewe hautanufaika nazo bali wao!.. kesho yako itadidimia na yao itaimarika!.

Si walikuambia kura yako inathamani?

Ndio inathamani lkn haitakuwa na thamani kama itatumika kutuletea mijitu ya hovyo!,kura yako lazima iwe inamatokeo ya kesho yako na vizazi vijavyo!.

Tutoke kwenye fikra za kupata nabii wakisiasa ndio aje atubadilishie upepo ambapo kesho asipokuja nabii tunalia na nyimbo zilezile!.

Tunapotakiwa hivi Sasa ni kufika kule ambapo hata lisimamishwe jiwe ama boya kwenye kiti kikuu,basi tule na tunywe kama inavyotakikana kwamaana mfumo hautegemei nabii mmoja ambae ataharibu au atapatia!.

Siamini kwenye kunywa maji yabendera ya chama chochote cha siasa bali naamini kwenye kunywa maji yabendera ya taifa langu.
Kwa nini usiseme tu ukweli kuwa wewe ni mfuasi wa upande mmoja?.
 
Inaonekana hata hujui kwanini nchi iko hivi jinsi ilivyo sasa na utatuzi wake nini ili tutoke hapa tulipo.Jipe muda wakujielimisha kabla yakuleta hisia zako hadharani.
 
Angalizo: bandiko hili linahitaji utafakari wako na sio hisia ama uchama na uchawa!.

Binafsi sina Imani sana na vyama vya siasa katika makuzi ya nchi haswa kiuchumi. hii nikutokana na namna vinavyoenenda,hulka za wanachama wengi wa vyama hivyo n.k.

Nimeuangalizia upinzani kwenye nchi yetu kwasababu ccm tayari tushaijua!,kama namna yauendeshwaji wa chama hichi tawala haina tofauti sana na vyama hivi pinzani sitashangaa siku upinzani ukishika nchi nayo ikafanya yaleyale!.

Imani yangu ktk pumzi za nchi naamini inashikiliwa na usalama wa taifa (engineering in everything), wakishirikiana na jeshi lakujenga taifa na vyombo vyengine vya usalama.

Hivi vyombo vyote vya usalama ndio ngao, njia na ni kama Sheria ya yeyote yule atakaepata cheo cha kisiasa lazima aenende na matakwa ya nchi kama ilivyoelekezwa na Sheria.. hawa watabaki kuwa waangalizi wa mwenendo, washauri na wasimamizi wa masilahi ya taifa.

Kelele tunazosikia za upinzani sitokuja kushangaa siku wakipata madaraka nao wakaufyata halafu ccm ndio akawa mbwatukaji!.

Kama vyama vyetu vinanjaa tusitegemee shibe watakaposhika usukani!.
Kama hakuna wakuvisimamia hivi vyama kivitendo basi maendeleo tutayaona kwa nchi zilizoendelea!.

Ukiona mtu yupo kwenye chama chochote na chama chake kikakosea jambo nae asifanye lolote kuhusu hilo kosa,aidha kulitatua,ama kuwajibisha n.k ndugu jua huyo mtu yupo kimasirahi hana uzalendo wala upendo..
Wewe mwanachama mdogo wa chama chochote nikupe tu taarifa jua unatumika sana tu kuwasukuma waliokuzidi wazidi kukaa juu yako!. Wewe utakalishwa kwenye vikao vya uzalendo halafu wao watakaa pembeni wakutenge kwenye vikao vyao vya namna yakuila nchi!..

Nakumbusha tena hili andiko ni la utafakari....

Watu huongozwa kutokana na namna walivyoendelea ktk nyanja mbalimbali aidha walivyoendelea kiuchumi na kielimu!,na ndio maana huwezi kusikia siasa za maji taka na madawati kwenye siasa za nchi kama USA!.
wao waambie kuhusu usalama,uchumi,sayansi n.k ktk namna ambayo imeendelea sio uchumi wakuuziana mitumba!.

Tunapigwa na hawa wanasiasa wetu kwasababu wanajua bado tumelala!,laiti kama tutabadirika sisi hata wao hawatakuwa nabudi yakubadirika waendane nasi!.

Muda mwengine sisi wananchi wakawaida tunayakwamisha maendeleo yetu wenyewe kwasababu tunashikilia bendera za vyama na sio bendera ya taifa!.

Hatuzungumzi kuhusu Tanzania tunazungumza kuhusu vyama!.

Kaa ukijua kelele unazowasaidia kupiga wewe hautanufaika nazo bali wao!.. kesho yako itadidimia na yao itaimarika!.

Si walikuambia kura yako inathamani?

Ndio inathamani lkn haitakuwa na thamani kama itatumika kutuletea mijitu ya hovyo!,kura yako lazima iwe inamatokeo ya kesho yako na vizazi vijavyo!.

Tutoke kwenye fikra za kupata nabii wakisiasa ndio aje atubadilishie upepo ambapo kesho asipokuja nabii tunalia na nyimbo zilezile!.

Tunapotakiwa hivi Sasa ni kufika kule ambapo hata lisimamishwe jiwe ama boya kwenye kiti kikuu,basi tule na tunywe kama inavyotakikana kwamaana mfumo hautegemei nabii mmoja ambae ataharibu au atapatia!.

Siamini kwenye kunywa maji yabendera ya chama chochote cha siasa bali naamini kwenye kunywa maji yabendera ya taifa langu.
Yaani una maana kwamba kinachotakiwa ni kama kile alichokisema Rais mstaafu Barack Obama akiwa Africa ya kusini “ Africa doesn’t need strong men it needs strong Institutions “ ??!!
 
Back
Top Bottom