Pre GE2025 Hata Tundu Lissu naye huwa anadanganya!

Pre GE2025 Hata Tundu Lissu naye huwa anadanganya!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Mpya kutoka kwa Tundu Lissu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.

Baada ya Lissu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.

Lissu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.

Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.

Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.

Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.

Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!

Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!

Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.

Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamilioni ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.

Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.

Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].

Pia soma Kuelekea 2025 - Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"
 
Lini hiyo?
Screenshot_20240609-160541.png

Screenshot_20240609-160625.png
 
Mpya kutoka kwa Tundu Lisu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.

Baada ya Lisu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.

Lisu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.

Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.

Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.

Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.

Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!

Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!

Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.

Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamiliono ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.

Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.

Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].
Mpuuzi hupuuzwa kama wahuni wengine tu.
Kijana Lissu anatapatapa. Hana sera yoyote. Si yeye si Cdm.
 
Lissu hajabainisha ni Abduli yupi kamfata ampe rushwa...

Wanasiasa wote lengo Lao moja.. matumbo kwanza
Lisu aliwahi kusema "tuna rais wa ajabu, haijawahi kutokea". Machawa wa jiwe wakaja juu na kumpeleka mahakamani. Lisu akawaruka kiulaini kabisa. Akauliza nilimaanisha rais yupi? Wa bao, TFF, wasafi, wa wanaume, au rais yupi?
 
Hoja ya kitoto hiyo. Wote wenye akili tunajua ni ‘Abduli’ yupi anayemsema.
Lisu aliwahi kusema "tuna rais wa ajabu, haijawahi kutokea". Machawa wa jiwe wakaja juu na kumpeleka mahakamani. Lisu akawaruka kiulaini kabisa. Akauliza nilimaanisha rais yupi? Wa bao, TFF, wasafi, wa wanaume, au rais yupi?
Ndo iko hivyo ikitokea kafunguliwa mashtaka ataruka kiunzi hamta amini
 
Back
Top Bottom