Pre GE2025 Hata Tundu Lissu naye huwa anadanganya!

Pre GE2025 Hata Tundu Lissu naye huwa anadanganya!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mpya kutoka kwa Tundu Lisu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.

Baada ya Lisu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.

Lisu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.

Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.

Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.

Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.

Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!

Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!

Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.

Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamiliono ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.

Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.

Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].
Tangulia mahakamani atakuja na ushahidi
 
Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course]
Ni vizuri kwamba umesema "Kama anasema uongo...," maana yake ni kwamba hata wewe hujui kama ni uongo au siyo uongo.
Kwa uapande wako, hapa ni wazi wewe ni "mwongo" kwa kuzungumzia mambo ambayo hujui ukweli wake, na kama ulivyodai kwa Lissu, hujaleta uthibitisho wowote kuhusu madai yako ya Lissu kusema uongo.
 
Kwani rushwa lazima iwe pesa? Inawezekana ilikuwa ahadi ya kulipwa madai yake ya tiba au hata cheo.

Amandla....
Kama ni ahadi ya kulipwa madai yake ya tiba [ambayo Lisu anadai ni halali na haki yake], kwa nini hiyo iwe rushwa?
 
Mpya kutoka kwa Tundu Lissu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.

Baada ya Lissu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.

Lissu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.

Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.

Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.

Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.

Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!

Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!

Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.

Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamilioni ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.

Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.

Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].

Pia soma Kuelekea 2025 - Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"
Unataka aseme kama unavyotaka wewe?
 
Mpya kutoka kwa Tundu Lissu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.

Baada ya Lissu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.

Lissu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.

Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.

Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.

Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.

Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!

Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!

Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.

Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamilioni ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.

Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.

Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].

Pia soma Kuelekea 2025 - Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"
 

Attachments

  • 1717942220327.png
    1717942220327.png
    1.9 MB · Views: 2
Hivi Nyani Ngabu Bageshi na Wewe unamsagia Kunguni Lissu wakati chama chako UDP kipo Shimoni kinaelekea kuzimu?
 
Nadhani akipandwa na midadi ndo huwa anaongea chochote tu ili mradi apigiwe makofi.

Huyo ‘Abduli’ atakuwa juha kiasi gani mpaka aende nyumbani kwa Lisu kumpa rushwa?
Abdul anaonekana hana chawa kama GSM,ana kwenda front mwenyewe,Jeshi la Mtu mmoja! Mzigo kapeleka mwenyewe bila chawa,maana kama chawa wangekuwepo,ange wataja kama mashahidi walio shuhudia tukio!!
 
Mpya kutoka kwa Tundu Lissu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.

Baada ya Lissu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.

Lissu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.

Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.

Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.

Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.

Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!

Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!

Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.

Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamilioni ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.

Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.

Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].

Pia soma Kuelekea 2025 - Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"
Pia aliwahi kusema mara nyingi kuwa siku anapigwa risasi Magufuli alikuwa amehutubia masaa machache kabla kuwa yeye Lisu kama msaliti alistahili kuuawa.
Magufuli siku hiyo hakusema maneno ya aina hiyo.
Lakini kuna siku kabla yake aliwahi kusema maneno ya aina hiyo.
 
Back
Top Bottom