Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangulia mahakamani atakuja na ushahidiMpya kutoka kwa Tundu Lisu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.
Baada ya Lisu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.
Lisu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.
Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.
Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.
Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.
Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!
Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!
Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.
Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamiliono ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.
Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.
Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].
kwani dulla mwenyewe anasemajeNadhani akipandwa na midadi ndo huwa anaongea chochote tu ili mradi apigiwe makofi.
Huyo ‘Abduli’ atakuwa juha kiasi gani mpaka aende nyumbani kwa Lisu kumpa rushwa?
Hapo ni umeuliza swali au umetoa kauli?kwani dulla mwenyewe anasemaje
Aliyedai kufuatwa nyumbani na kupewa rushwa ndo mwenye wajibu wa kutoa ushahidi wake.Kwanini usimshauri "ABDUL" mwenyewe akanushe madai ya kutoa rushwa Kwa LISSU?
Anachofanya LISSU ni kuwatoa Huko mashimoni ili awapige vizuri
Ni vizuri kwamba umesema "Kama anasema uongo...," maana yake ni kwamba hata wewe hujui kama ni uongo au siyo uongo.Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course]
Kwani rushwa lazima iwe pesa? Inawezekana ilikuwa ahadi ya kulipwa madai yake ya tiba au hata cheo.Nadhani akipandwa na midadi ndo huwa anaongea chochote tu ili mradi apigiwe makofi.
Huyo ‘Abduli’ atakuwa juha kiasi gani mpaka aende nyumbani kwa Lisu kumpa rushwa?
Kama ni ahadi ya kulipwa madai yake ya tiba [ambayo Lisu anadai ni halali na haki yake], kwa nini hiyo iwe rushwa?Kwani rushwa lazima iwe pesa? Inawezekana ilikuwa ahadi ya kulipwa madai yake ya tiba au hata cheo.
Amandla....
Unataka aseme kama unavyotaka wewe?Mpya kutoka kwa Tundu Lissu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.
Baada ya Lissu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.
Lissu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.
Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.
Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.
Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.
Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!
Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!
Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.
Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamilioni ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.
Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.
Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].
Pia soma Kuelekea 2025 - Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"
Wewe ni mahakama!!? Kisiasa hiyo taarifa inajitosheleza na inatufaa Kwa maamuzi!!Ushahidi uko wapi kuwa ‘Abduli’ alienda nyumbani kwa Lisu kumpa rushwa?
Amepuuzwa tu hakuna anayemwamini, watu wanamwona mwehuLisuu ana mauongo mengi sema amefanikiwa kuaminika!
Umejuaje km alidanganya, dogo ile ni siri ya serikali imefichwa kwa maslahi ya nchiSamia aliwahi kudanganya kuwa mabilioni ya shilingi yamewekwa akaunti binafsi (ya jiwe) huko China.
Nawe na akili?Hoja ya kitoto hiyo. Wote wenye akili tunajua ni ‘Abduli’ yupi anayemsema.
Kama ni conditional inakuwa rushwa. Tutakunyima haki yako mpaka utakapo kubali jambo fulani.Kama ni ahadi ya kulipwa madai yake ya tiba [ambayo Lisu anadai ni halali na haki yake], kwa nini hiyo iwe rushwa?
Mpya kutoka kwa Tundu Lissu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.
Baada ya Lissu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.
Lissu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.
Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.
Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.
Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.
Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!
Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!
Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.
Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamilioni ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.
Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.
Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].
Pia soma Kuelekea 2025 - Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"
Abdul anaonekana hana chawa kama GSM,ana kwenda front mwenyewe,Jeshi la Mtu mmoja! Mzigo kapeleka mwenyewe bila chawa,maana kama chawa wangekuwepo,ange wataja kama mashahidi walio shuhudia tukio!!Nadhani akipandwa na midadi ndo huwa anaongea chochote tu ili mradi apigiwe makofi.
Huyo ‘Abduli’ atakuwa juha kiasi gani mpaka aende nyumbani kwa Lisu kumpa rushwa?
Ulinipa wewe hiyo kadi ya UDP?Hivi Nyani Ngabu Bageshi na Wewe unamsagia Kunguni Lissu wakati chama chako UDP kipo Shimoni kinaelekea kuzimu?
Pia aliwahi kusema mara nyingi kuwa siku anapigwa risasi Magufuli alikuwa amehutubia masaa machache kabla kuwa yeye Lisu kama msaliti alistahili kuuawa.Mpya kutoka kwa Tundu Lissu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.
Baada ya Lissu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.
Lissu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.
Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.
Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.
Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.
Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!
Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!
Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.
Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamilioni ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.
Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.
Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].
Pia soma Kuelekea 2025 - Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"