Pre GE2025 Hata Tundu Lissu naye huwa anadanganya!

Pre GE2025 Hata Tundu Lissu naye huwa anadanganya!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mpya kutoka kwa Tundu Lissu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.

Baada ya Lissu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.

Lissu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.

Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.

Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.

Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.

Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!

Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!

Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.

Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamilioni ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.

Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.

Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].

Pia soma Kuelekea 2025 - Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"
Naona kila dalili kuwa i
umechoka kubeba makasha huko sasa umefika bei na unasubiria uteuzi
 
Mpya kutoka kwa Tundu Lissu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.

Baada ya Lissu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.

Lissu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.

Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.

Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.

Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.

Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!

Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!

Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.

Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamilioni ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.

Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.

Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].

Pia soma Kuelekea 2025 - Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"
Alisema anayo clip
 
Hoja ya kitoto hiyo. Wote wenye akili tunajua ni ‘Abduli’ yupi anayemsema.

Tuliofuatilia hotuba yake jana (Singida) mwanzo mwisho, iko very clear kuwa aliyesemwa na kuongelewa hapo ni yuleyule mnayemfahamu yaani Abdul mtoto wa Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan. Watu waliomsikiliza live on TV na Social medias na tuliokuwepo kwenye mkutano tulimwelewa vyema sana...!!

Tundu Lissu mpaka kumwanika wazi Abdul kuwa alimpelekea rushwa nyumbani kwake, hoja yake ilianzia na aliijenga ktk misingi mikuu miwili ambayo ni👇🏻👇🏻

1. Mgawo wa pikipiki 700 kila mkoa Tanzania (sawa na pikipiki zaidi 20,000 nchi nzima) zenye nembo ya "SSH - 2025" kifupi cha "Samia Suluhu Hassan - 2025" mali ya Samia. Swali likawa; pesa ya kununua pikipiki zote hizi huyu Mama Abdul kazitoa wapi maana mshahara wake hakuna anayedhani kama unafika hata 50,000,000 kwa mwezi?

2. Ugawaji wa rasrimali za Tanganyika tu kwa waarabubila kugusa za Zanzibar: Bandari zote za Tanganyika, hekta za hufadhi ya misitu zaidi ya milioni 9 za Tanganyika, Kufukuza wamasai wa Ngorongoro, Loliondo nk ili wapewe waarabu, kuuza uwanja wa KIA na kuvunja vijiji zaidi ya 6 vinavyozunguka uwanja huo ili uwanja huo na ardhi yote ya wanavijiji hao ipewe kampuni ya waarabu wa Oman.

NDO SWALI LAKE LIKAWA: Nyie wananchi mnafikiri huyu mama (Rais Samia) hizi pesa za pikipiki na anazogawa misikitini na makanisani anatoa wapi baada ya uchafu wote huu (kugawa rasrimali za Tanganyika) aliofanya ndani ya miaka mi3 tu ya u - Rais wake?

Katika kuhitimisha hoja yake ya "rushwa ya Abdul", alisema hivi;

"....hata mwanae huyu mama aitwaye Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu, nikamwambia shenzi kabisa, toka nyumbani kwangu, kawahonge haohao unaoweza kuwahonga...!!"

Kwa hiyo muhusika hapa hajafichwa ni Abdul, mtoto wa Rais Samia Suluhu Hassan. Kama ni msafi, amechafuliwa tu na anadhani amesingiziwa, yeye mwenyewe au CCM yeyote au wote wanayo fursa ya kulianzisha kwa kumshitaki Tundu Lissu mahakamani ili akathibitishe tuhuma zake na akishindwa si ndio wafurahi sasa kwa sababu walichokitafuta siku nyingi, kumpoteza huyu mwamba watakuwa wamekipata? Yanini kutafutana kwa risasi za SMG wakati mbaya wao kajiingiza mwenyewe kwenye mtego wao?

SWALI NI: CCM au Abdul mwenyewe au Mama Abdul wana ujasiri huo? Ni wasafi kwa kiasi gani kuweza kuvaa ujasiri huo wa kwenda mahakamani kwenda kulumbana na huyu mwamba hata kama mahakama ni zao?

Katika hili, Tundu Lissu na CHADEMA mpaka sasa kisiasa wanaongoza goli 11 - 0..

Na kikubwa na cha muhimu zaidi ni kuwa, hadhira yote iliyomfuatilia na kumsikiliza Tundu Lissu jana toka pande zote za nchi na dunia live toka Singida, ilimwelewa na kuamini kila neno lililotoka kinywani mwake!!
 
Watanzania wengi tunapenda oyaoya.

Si upinzani wala CCM kote huko wamejaa wanasiasa wanafikiwanafiki na wafia maslahi.

Kinahitajika kizazi kingine serious cha wanasiasa wa wakweli ambao watakuwa serious kuisaka Dola na option B kwa Watanzania kuliko hawa oyaoya.
 
Everything is speculative. Even the identity of Abdul is speculative. The very idea that the said Abdul went to Lissu carrying sacks of money is also speculative.

Amandla...
Through the process of deduction, it’s easy to figure out which ‘Abduli’ he [Lisu] is talking about. So, less speculation there.

Lisu was talking about President Samia. Samia has a son named Abdul. Abdul has been the talk Tanzanian social media circles lately. So easy deduction there.

Did Lisu say ‘Abduli’ went to his house with “sacks of money”?

I thought Lisu said ‘Abduli’ went to his house to bribe him and he refused and told him to kick rocks.

Lisu didn’t specifically say what form of bribe it was.

You saying ‘Abduli’ went to Lisu’s house with “sacks of money” is doubly speculative which begs more questions 🤣.

In this day and age people still walk around with “sacks of money”? Really?

And where did you get that if you’re not speculating?

Because earlier on you posited that it could have been a quid pro quo situation whereby they give Lisu what he claims is owed to him in return for something.

But now you’re talking about “sacks of money”.

🤔.
 
Nani anahiyo Clip tafadhali iwekeni hapa.🙏🏼
 
Through the process of deduction, it’s easy to figure out which ‘Abduli’ he [Lisu] is talking about. So, less speculation there.

Did Lisu say ‘Abduli’ went to his house with “sacks of money”?

I thought Lisu said ‘Abduli’ went to his house to bribe him and he refused and told him to kick rocks.

Lisu didn’t specifically say what form of bribe it was.

You saying ‘Abduli’ went to Lisu’s house with “sacks of money” is doubly speculative which begs more questions 🤣.

In this day and age people still walk around with “sacks of money”? Really?

And where did you get that if you’re not speculating?

Because earlier on you posited that it could have been a quid pro quo situation whereby they give Lisu what he claims is owed to him in return for something.

But now you’re talking about “sacks of money”.

🤔.
I said " sacks of money" because I cannot really understand why you found it impossible for Abduli to offer a bribe to Lissu. The notion would have only been ridiculous if Lissu had claimed that he had turned away Abdulli with his sacks of money.

When it is said that Lissu said" alimtimua Abdul alipompelekea rushwa" some people assumed he was referring to hard cash and found it unbelievable that Abdul would literally do that hence Lissu must have been lying.

Amandla...
 
Mpya kutoka kwa Tundu Lissu ni madai kwamba mtoto mmoja wa Rais Samia aitwaye ‘Abduli’ 🤣, alimpelekea Lisu rushwa nyumbani kwake.

Baada ya Lissu kuona hivyo eti akamwambia “shenzi”, kahonge huko kwa wanaohongeka.

Lissu naye ni kama wanasiasa wengine tu. Na yeye hudanganya pia.

Kwenye haya madai yake mapya, hajatoa ushahidi wowote ule.

Kasema tu kuwa Abduli alimpelekea rushwa nyumbani kwake.

Rushwa ya aina gani? Lisu hakuweka wazi.

Lisu ana historia tayari ya kusema uongo. Nawashangaa kwa nini CCM huwa hawaikamati hiyo fursa na kuitumia kwa manufaa yao kihoja!

Lisu alidanganya waziwazi kuwa mlinzi mmoja wa Rais Magufuli naye alikufa kwa korona kipindi kile kile ambacho Magufuli alikufa!

Lakini mlinzi huyo akaonekana kwenye mazishi ya Magufuli baada ya Lisu kudanganya kuwa jamaa amekufa.

Pia aliwahi kudai eti baada ya Magufuli kufa, yalikutwa mamilioni ya doła za Kimarekani nyumbani kwake 😀.

Sasa kaja na hizi stori za ‘Abduli’ bila ushahidi wowote ule.

Kama anasema uongo dhidi ya ‘Abduli’, CCM watakuwa majuha wakimwacha aendelee kupeta bila ya kum challenge [kisiasa, of course].

Pia soma Kuelekea 2025 - Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"
Wakati rushwa hiyo inatolewa qeqe ulikuwepo hadi useme anadanganya?
 
Back
Top Bottom