Pre GE2025 Hata Tundu Lissu naye huwa anadanganya!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe huwa una chuki zako binafsi za Lissu! Huna maajab
 
I didn’t say I found it impossible for Abduli to try to bribe Lisu.

All I said was [1] Lisu didn’t provide any evidence or proof of his claim and [2] Lisu has been caught lying before. Therefore, any reasonably minded person wouldn’t eat up hook, line, and sinker to what he says when addressing a political rally.

Lisu is not above lying and deceit.

We all know corruption is a scourge in the country and also commonplace.

To quote Carl Sagan, “what counts is not what sounds plausible, not what we would like to believe, not what one or two witnesses claim, but only what is supported by hard evidence rigorously and skeptically examined. Extraordinary claims require extraordinary evidence”.
 
Nadhani akipandwa na midadi ndo huwa anaongea chochote tu ili mradi apigiwe makofi.

Huyo ‘Abduli’ atakuwa juha kiasi gani mpaka aende nyumbani kwa Lisu kumpa rushwa?
Kama huamini kuwa Abdul anaweza kuwa juha kiasi hicho, basi hujui Watanzania waitwao "chawa" wana nguvu na ushawishi kiasi gani kwa siasa za bongo!
 
Madai ya fidia ya matibabu hakuwahi kusema kuwa alilipwa.
Usipotoshe
 
Ila huyo Abdul atakuwa ana hela sana maana kuna nyumba moja ya family friend kainunua kwa 800m cash hapo mikocheni.
 
✍️📝👊👍👌👏🤝🙏
 
That’s speculative!
Mkuu mwenzio kaongea kwa kiswahili na sisi hadhira yako tunajadili kwa kiswahili, wewe ung'eng'e wa nini hapa??

Hoja ipo kwa kiswahili unaenda kujificha kwenye Kiingereza ili iweje?? Mkuu wewe mswahili hadi kisogoni, acha hizo!!!
 
Yule ,mnatakiwa mkamate na mpeleke mahakamani ,huko ndo hua anatoa ushahidi....kazi yake kashamaliza kutamka
 
Lisu aliwahi kusema "tuna rais wa ajabu, haijawahi kutokea". Machawa wa jiwe wakaja juu na kumpeleka mahakamani. Lisu akawaruka kiulaini kabisa. Akauliza nilimaanisha rais yupi? Wa bao, TFF, wasafi, wa wanaume, au rais yupi?
Ila Chadema hamna akili nyie, kwahy hapo mnamuona huyo Lissu mjanja wa sheria sana
 
Nadhani akipandwa na midadi ndo huwa anaongea chochote tu ili mradi apigiwe makofi.
Siyo kupandwa na midadi, ndugu yetu ana tatizo kubwa zaidi ya kupandwa midadi. Utengamano wa uwezo wake wa kufikiri hutegemeana na majira ya mwezi. Mwezi ukiwa kona huyo jamaa yetu anaweza kulipuka na kuropoka kitu chochote mpaka watu mkashangaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…