Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Kaongea ukweli. Wabongo wafupi, labda mkizaa na watusi warefu mtapata watoto warefu wasiokuwa na short man complex kama Magufuli. Ukiangalia historia, madikteta wengi ni wafupi.Masikini anawaza ngono...
Kutusurubu hawawezi.mkuu..watu wenyewe hata nusu yetu hawafiki...idadi ya watu ote kwenye nchiyao sawa na idadi ya mgambo wetu tu...mwendo wa saa2 tu.zinawatosha.kuwafuta kabisa .halafu tunaipa rwanda kama mkoa wetu wa kitalii....Namuona Kagame kama Putin wa EAC . Atatusurubu muda si mrefu
Unajua ya kwamba Rwanda ndiyo nchi yemye solaha za nyukilia EAC?Kutusurubu hawawezi.mkuu..watu wenyewe hata nusu yetu hawafiki...idadi ya watu ote kwenye nchiyao sawa na idadi ya mgambo wetu tu...mwendo wa saa2 tu.zinawatosha.kuwafuta kabisa .halafu tunaipa rwanda kama mkoa wetu wa kitalii....
Hahahahahahahahahahahahahahaha.......
Waathirika wa Rwandaphobia.Kaongea ukweli. Wabongo wafupi, labda mkizaa na watusi warefu mtapata watoto warefu wasiokuwa na short man complex kama Magufuli. Ukiangalia historia, madikteta wengi ni wafupi.
Kwann usichangie na utake kuanzisha Uzi?Ulichokisema ni kweli nitaanzisha uzi kuelezea zaidi ya hapo
Africa hakuna nchi yenye vigezo vya kurutubisha nyukilia kama kwenye siraha na hata mambo mengine...Unajua ya kwamba Rwanda ndiyo nchi yemye solaha za nyukilia EAC?
Mwenda zake alitaka kujiingiza kichwakichwa...baada ya kelele za aina hii baadae akaelewa.....Kwann usichangie na utake kuanzisha Uzi?
Niseme tu ukweli hii nchi kwenye Intelejensia hakuna wa kuifikia AFRIKA MASHARIKI. Itoshe kusema hivyo.
Haaaa haaaa nakumbuka slim almtisha msoga kumpa za uso ,msoga akaka chimbo kwa muda then kaibuja na kichapo kwa m23Inawezekana ni kweli unachokisema lakini pia inawezekana hujataka kumuelewa mleta mada.
Sheria na Sera kwa Tanzania? Labda
Kipindi cha Msoga, kulikuwa na general mmoja wa jeshi, wakasema ni wa huko, kelele kelele zile baada ya operation ile, jambo likafanyika aisee, sisi ndo tukajua kumbe ni kweli na wamepenyezwa wengi. Nadhani M23 alichapika kipindi hicho pia.
Acha uchonganishi wa ki local. Tena my wishes tuwe na free pasi kwa EACHii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Mgeresi bhana..Yani mama angenipa tender yakuanzisha jeshi binafsi kama la Putin Wagner. Tunashuka Kigali na miamvuli at night under cover of darkness with highlytech sophisticated assault weapons na kutandanza mkong'oto wa aina yake na baada ya hapo tunabadilisha regime na Rwanda inakuwa mpya na upuuz hautaendelea tena East Africa na maziwa makuu kwa jumla.
Huenda akawa ni mmoja wa majasusi wa Rwanda huyo mkuu.Ndio maana inakuwa rais kuvamia sababu vijana wa hovyo wenye mawazo mabovu kama ww
Ieleweke kama kweli wapo majasusi wa Kutoka Nchi jirani ambao wapo kwa lengo maalum walilotumwa kulifanyia kazi basi ni lazima watakuwa wameingia kihalali kabisa na wanaishi na kufanya kazi zao zinazoonekana kihalali kabisa (undercover) hapo sasa ndio umahiri wa Taasisi zetu unapohitajika kung'amua kinachoendelea before it's too late !! Kazi hizo huwa zinahitaji watu wenye akili kubwa sana !! Tuwe macho !!So maana yake ulinzi wetu mipakani ni dhaifu, sioni ubaya mkitoa taarifa kwa mamlaka husika ili hao wavamizi wakamatwe na kuchukuliwa hatua stahiki.
Ni kweli kabisa !!Nadhani Tanzania ndio ina mfumo mbaya sana katika nyanja ya kuingia na kutoka. Ni rahisi sana kwa Mkenya, Mganda, Mrwanda nakadhalika kuingia Tanzania na kuishi bila bughudha yoyote ile kama tu anajua kuongea kiswahili. Wakati huo huo ni ngumu sana kwa Mtanzania kuishi Kenya, Uganda nakadhalika bila bughudha ata kama hizo nchi zinatumia lugha ya Kiswahili na wewe unatambua kuzungumza Kiswahili tena kwa ufasaha.