Hapana..Mambo ya nchi huwezi yajua mzee,we ishi,Tia watoto wazuri..wenye kazi yao hawalali
Rais mwenyewe hayajui mapana ya tiss..wewe umefanya vipi tathmini ya tissHapana.
Uwezo wa hawa jamaa katika miaka ya karibuni unatia mashaka sana. Haya unayoweka hapa ni majigambo tu kama yalivyo kati ya Simba na Yanga.
Panahitajika kuwepo na kukumbusha umuhimu wa eneo hili, na kukaza sehemu zilizolegea.
Hii siyo kazi ya kufanya kwa mazoea tu.
Fikra potofu kabisa.Aliyesema tembea uone hakukosea. Kuna watanzania ndani ya wilaya ya Misenyi hawajui Kiswahili, wanaongea Ligands Tu na wanatumia sarafu ya Uganda ila kura wanapiga Tanzania. Waha na Warundi wanaongea lugha moja, vivyo hivyo Kwa mkoa wa mara, Arusha, Kilimanjaro na mikoa ya kusini. Hivyo Wanyarwanda na Warundi waachwe wawekeze kama walivyo wamasai, wakurya, wajaluo, Wanakuwa, Wangoni n.k
Ichukue na hii, polisi, na madreva tax wa Dubai si wazawa wa Dubai
Rais unamjua, mimi hunijui. Inakuwiaje wewe vigumu kutambua hilo?Rais mwenyewe hayajui mapana ya tiss..wewe umefanya vipi tathmini ya tiss
Hata uwe tiss,huwezi ijua deep downRais unamjua, mimi hunijui. Inakuwiaje wewe vigumu kutambua hilo?
Tunaonewa sana sisi wenye asili ya wahima na tumezaliwa hapa wala hatujui chochote kuhusu Rwanda.Nilishawahi kukutana naHivi mtaacha kuishi kwa hofu ya watutsi hadi lini?
Hizo propaganda mnazopewa za kuwaona ni superior race na intelligent sana zinawadanganya sana
Hao waarabu, wahindi tena wengine hawajui Kiswahili ila ni watanzania mbona hamu hoji?
Mnatakiwa kujua kuwa Kuna Wahima wapo kanda ya ziwa kabla ya uhuru sasa mkiwaona hao kwa kuwa wanafanana na Watutsi basi shingo zinawashupaa na wivu tu
Sasa wewe haya unayajuaje?Hata uwe tiss,huwezi ijua deep down
Tiss unachukulia,unatrain,unapewa handler,ikitokea mission anakuita mahali...Wana bar zao,au popote pale,unapewa mission,unatekeleza,unangoja mission nyingine au unauawa...hapo utaijuaje tiss!?Sasa wewe haya unayajuaje?
Tusipotezeane muda hapa. Endlea na yako huko.
Achana na usinihusishe na vistori vya vijiweni.Tiss unachukulia,unatrain,unapewa handler,ikitokea mission anakuita mahali...Wana bar zao,au popote pale,unapewa mission,unatekeleza,unangoja mission nyingine au unauawa...hapo utaijuaje tiss!?
Hahaaaa,poleAchana na usinihusishe na vistori vya vijiweni.
Nimekwambia tafuta mada nyingine, achana na usiyoyajua.
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!
Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.
Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.
Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!
Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.
Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
waache waje bana nasisi tupate mademu wakali wa kitusi
Sawa ngoja tupambane.Haya tumieni akili zenu kupiga vita umaskini na kuleta maendeleo maana ardhi nzuri mnayo na rasilimali mnazo.
Rwanda, hasa Kagame anaiogopa Tanzania kuliko kitu chochote kile maisha yake yote, sbb anajua tulichomfanya enzi za JK, na akijaribu tena, we must have his thin legs and ass up 4 good..!! Bahati nzuri sana PK anatujua sana, ujinga wake atafanya hapo mashariki ya DRC tu.
Kutusurubu hawawezi.mkuu..watu wenyewe hata nusu yetu hawafiki...idadi ya watu ote kwenye nchiyao sawa na idadi ya mgambo wetu tu...mwendo wa saa2 tu.zinawatosha.kuwafuta kabisa .halafu tunaipa rwanda kama mkoa wetu wa kitalii....
Hahahahahahahahahahahahahahaha.......
Acheni roho mbaya..ndio amana miafrika hatuendelei..yani ndugu zetu weusi tunawaona maadui..mipaka ya wazungu isituletee utengano na uadui.Yaani wewe unagundua leo? Mchg. Dr. C. Mtikila alishatupa alert siku nyingi sana nyuma. Na system yao ilim-delete ili asiendelee kuleta madhara upande wao.
Usione Geita, Kahama, Katoro na Mwanza kuna nawiri ukadhani ni kwa nguvu za kidumu cha ccm.
In short ni kwamba hadi kwenye usalama wa nchi, bungeni, mahakamani, n.k tayari jamaa wapo!
Tatizo lenu ccm mnaendesha nchi mkishindana na watanzanja wenzenu badala ya kuimarisha mifumo ya nchi!
Ieleweke kama kweli wapo majasusi wa Kutoka Nchi jirani ambao wapo kwa lengo maalum walilotumwa kulifanyia kazi basi ni lazima watakuwa wameingia kihalali kabisa na wanaishi na kufanya kazi zao zinazoonekana kihalali kabisa (undercover) hapo sasa ndio umahiri wa Taasisi zetu unapohitajika kung'amua kinachoendelea before it's too late !! Kazi hizo huwa zinahitaji watu wenye akili kubwa sana !! Tuwe macho !!
Ukosefu wa akili tu..kwahiyo kosa wao kuoa na kuolewa Tanzania..kama wamezaliwa na kuwa raia wa Tanzania ni kosa kufanya kazi serikalini..hivi hizi akili za kijinga hivi huwa mnazitolea wapi.Hawa wanyarunda si watu wa kucheza nao. Mbali na hao majasusi unaosema, wapo wengi sana wasiofahamika kuwa ni majasi na wameajiriwa serikali na pia wengine wameolewa Tanzania. Ni vyema mamlaka husika waanze ufuatiliaji wa wanayarunda walio nchini wajulikane wanachokifanya, vinginevyo watatuweka mahali pabaya