Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Sahau Tozo, sahau machinga, sahau COVID-19View attachment 1972273Hatari mpya inayowakabili watoto na wajukuu wetu ni Superman mpya ambaye ni shoga.

Ushaur;
Serikali yetu ingetunga Sheria mathubuti za kuzuia vikaragosi hivyo visionyeshwe wala kufanya mijadala kama hiyo.
Maana wazung wanaweza sema ni haki ila ni kwao si tatizo kama ilivyo bangi na mihadaratI kwenye baadhi ya mataifa duniani
Hii channel ipigwe ban nchini
 
Ila BBC wanapenda sana haya mambo. Nao ni maagent pia.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Tatizo hujaelewa hii Matrix ilivyo. Kila. Mtu ni agent kwa eneo Lake. Hiyo serikali yako si Ina TBC.. Je tamthilia gani za Philippines ambazo hazina shoga ndani... Na je hazionyeshwi tbc??? Well zinaonyeshwa..... Swali je hii serikali inayojinasibu kuwa inafuata mila za kiafrika wanaarhusu vipi hii kitu. Jibu ni kuwa they are agents too.... You just don't know yet. Ndo maana hata mpige kelele vipi they will not do nothing.
Wewe kama mzazi pigana mwenyewe na umuombe Mungu now sio jirani wala serikali itakayokulelea mwanao kiongozi wa dini haaminiki mwalimu haaminiki ndugu hawaaminiki......
Ni kama mdau alvyosema mwanzoni wa afrika tuache unafki. Sisi wenyewe ambao umri umeenda tayari washatuchota akili zetu aka mind control ndo maana ukizaa mtoto Leo humpi jina la kiafrika sababu huyo mzungu alikwambia yamellaniwa ni a KISHETANI na u kakubali. Then how can you help you kind against those enemies while you are a prison too.
MIND CONTROL SI SILAHA KUBWA SANA AMBAYO MZUNGU AMEISHIKA. ACHANA NA HATA MACHANJO HAYA SIO KITU WANGETAKA KUTUFANYA MASHOGA KWEYE CHANJO WALA WASINGEHANGAIKA NA SUPERMAN SHOGA. mind ndio yenye Nguvu maana marithishana kizazi mpk kizazi. Hata mtu ambaye hakuwa hi kuwaza ushoga anaweza kubadililishwa kwa Mindi control tu.
Mfano mmoja: wote humu % kubwa mnaangalia hawa waigizaji wetu hasa joti etc wakivalia mavazi ya kike ilhali wao ni wa kiume.... (hujui kama hao ni agents) think twice.... But kila siku sebuleni tumejikusanya na watoto wetu wa kiume tunachekaaaaaaa na kufurahi comedy zao usijue kuwa huyo mtoto Wako wa kiume a naona ni kawaida kwa mwanaume kuvaa a mavazi ya kike.... Na wewe upo umekenua meno unacheka... Je kesho hyo mwanao ataoke kavaa skuna yako na kijora Utamchapa??????? Hata Yeye atakushangaa maana jana usiku wote mlikuwa mnafurahia iweje Leo umchape...
HAYA MAMBO SHIDA INAANZIA KWA WAZAZI INGAWA TUKO BUSY BUT TUMEYARAHISISHA WENYEWE...... NA TUMEYAONA YA KAWAIDA.... WAZAZI NDO WAKO BUSY ISTA WAZAZI WA KIKE WANAONGOZA KUWALEA WATOTO WA KIUME KAMA WATOTO WA KIKE. UNATENGENEZA BWABWA HALAFU UJE ULALALE SERIKALI???
 
Hii kitu ya ushoga ni mzazi mwalimu tu ndiye anaweza kumuepusha mtoto.
Acheni kuipa serikali kazi nyingi.
Kila kitu serikali.
Inajukumu la kusimamia maadili ya kitaifa ili iwe rahis kwa wazaz huku mitaani
 
afu hawa single maza ni kichocheo cha ongezeko la mashoga. Single maza ana watoto wadogo wa kiume afu anadanga na kufumuliwa mbele ya wanawe, saaingine analiwa kwenye chumba anachoshea na watoto.
Naunga mkono ni Hatari sana kwa mtoto kiume kulelewa na mama tu kutokuwepo father figure. Kuna mambo ya msingi juu ya jinsia mwanadamu anajifunza tuu anapokuwa mdogo. Wengine sio machoko wa kuzaliwa bali wamekuwa confused na malezi.
Tatizo lingine ushoga hauletwi na nguvu za shetani noo bali ni kutokana na nguvu za KIUCHUMI kama kipindi cha mwendazake kuna machoko mengi sana yamezalishwa Tanzania. Baba hana fedha anakeaha job dogo anashinda kwa mama zake.
 
ishu ikishaingia ukatolikini ningumu Sana kupigiwa kelele labda mapadri na maaskofu waaze kuoa
 
Mimi ilinikuta kwenye prison break, nilivyosikia tu kuwa wentworth miller ni choko nikaacha palepale
Hawa jamaa ni wajanja sana wanacho fanya nikuzi finance seriers na muvi zote ambazo zimetokea kupendwa na watu kisha wanaingizia hizo mambo utakuta season 1 inaanza fresh ikishazoa watazamaji basi lazima watie mikono yao. Hiyo inaenda sambamba na indusrty zote unazozijua wewe hata watu maarufu wanaingia kwenye huu mtego ili kupromote kwa makusudi kabisa.
 
Tatizo hujaelewa hii Matrix ilivyo. Kila. Mtu ni agent kwa eneo Lake. Hiyo serikali yako si Ina TBC.. Je tamthilia gani za Philippines ambazo hazina shoga ndani... Na je hazionyeshwi tbc??? Well zinaonyeshwa..... Swali je hii serikali inayojinasibu kuwa inafuata mila za kiafrika wanaarhusu vipi hii kitu. Jibu ni kuwa they are agents too.... You just don't know yet. Ndo maana hata mpige kelele vipi they will not do nothing.
Wewe kama mzazi pigana mwenyewe na umuombe Mungu now sio jirani wala serikali itakayokulelea mwanao kiongozi wa dini haaminiki mwalimu haaminiki ndugu hawaaminiki......
Ni kama mdau alvyosema mwanzoni wa afrika tuache unafki. Sisi wenyewe ambao umri umeenda tayari washatuchota akili zetu aka mind control ndo maana ukizaa mtoto Leo humpi jina la kiafrika sababu huyo mzungu alikwambia yamellaniwa ni a KISHETANI na u kakubali. Then how can you help you kind against those enemies while you are a prison too.
MIND CONTROL SI SILAHA KUBWA SANA AMBAYO MZUNGU AMEISHIKA. ACHANA NA HATA MACHANJO HAYA SIO KITU WANGETAKA KUTUFANYA MASHOGA KWEYE CHANJO WALA WASINGEHANGAIKA NA SUPERMAN SHOGA. mind ndio yenye Nguvu maana marithishana kizazi mpk kizazi. Hata mtu ambaye hakuwa hi kuwaza ushoga anaweza kubadililishwa kwa Mindi control tu.
Mfano mmoja: wote humu % kubwa mnaangalia hawa waigizaji wetu hasa joti etc wakivalia mavazi ya kike ilhali wao ni wa kiume.... (hujui kama hao ni agents) think twice.... But kila siku sebuleni tumejikusanya na watoto wetu wa kiume tunachekaaaaaaa na kufurahi comedy zao usijue kuwa huyo mtoto Wako wa kiume a naona ni kawaida kwa mwanaume kuvaa a mavazi ya kike.... Na wewe upo umekenua meno unacheka... Je kesho hyo mwanao ataoke kavaa skuna yako na kijora Utamchapa??????? Hata Yeye atakushangaa maana jana usiku wote mlikuwa mnafurahia iweje Leo umchape...
HAYA MAMBO SHIDA INAANZIA KWA WAZAZI INGAWA TUKO BUSY BUT TUMEYARAHISISHA WENYEWE...... NA TUMEYAONA YA KAWAIDA.... WAZAZI NDO WAKO BUSY ISTA WAZAZI WA KIKE WANAONGOZA KUWALEA WATOTO WA KIUME KAMA WATOTO WA KIKE. UNATENGENEZA BWABWA HALAFU UJE ULALALE SERIKALI???
Daah[emoji119][emoji119][emoji119] heshima kwkao mkuu. Shikamoo sana. Umemaliza. Sitaongeza neno wala kupunguza

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kuna mambo mengi watoto wetu wanajifunza kupitia hz katuni ukiacha na na hyo ya Superman , kuna nyingi tuu zinaharibu watoto hata katika uvaaji wa mavazi utakuta kikaragosi kimevaa taiti hata sket fupi inayoonyesha maungo ya mwili wake ukitazama unaweza kuchukulia poa lkn kwa mtoto kuna kitu kinajengwa ndani yake tuwe makini wazazi hizi katuni za kisasa hazina mpango bora hata zile za zamani kama RoadRunner,Tom n Jerry,Tasmania ziko nyng tuu
 
Huu ushoga mnaupigia promi kila siku humu kwa nini?

Ila tambua ushoga ni inborn, huo wa kujifunza ni kiasi kidogo sana.

Na hata mtu akikubali kujifunza bas huyo ana hizo traits za ushoga.

Kinachofanya ushamiri ni huu utandawazi zamani walikuowepo lakini huwezi kuwasikia wala kuwaona ila sasa tunawaona na kuwasikia.

Huyo mzazi sijui serikali hata ifanyeje mtu kama ni shoga ni shoga tu huwezi mbadili ndo kaumbwa hivyo hivyo.
Naona ambassador wa LGBTQ umekuja kuwakilisha...sawa i inborn nenda Afghanistan ukaweleze hivyo ndio utajua hujui.

#MaendeleoHayanaChama
 
Takwimu ndio zinasema hayo!?

Kwa hiyo kule kwa mpalange, kwa kina amberuty na kwa kina jamesdelishaz mashekhe na mapadiri ndio wanaowashughulikia?

Heshimu imani za watu kwa kumtofatisha mtu na wehu wake na imani anayojitambulisha nayo
Bora wapagani na vyao..kuliko mashehe na mapardi wanavyofukunyua tope...unafiki mtupu umewajaa waamini

#MaendeleoHayanaChama
 
Bora wapagani na vyao..kuliko mashehe na mapardi wanavyofukunyua tope...unafiki mtupu umewajaa waamini

#MaendeleoHayanaChama

Kosa ni kosa tuu haijalishi nani analifanya

Umeamua kuwasema mashekhe, wachungaji na mapardi unaowasema wapo wababa kibao tena wenye ndoa wanawafukunyua watoto wao wa kuzaa, achilia mbali wanawake wao na wanaume wengine huko mitaani
 
Back
Top Bottom