Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Yaani hapa tukiomba tuombee wote, eeh Mungu nusuru watoto wetu jamani
kule Fb wanawake mnaongoza kwa kuwasapoti mashoga. Shoga linapost picha limejibinua, limepaka ina na lipshine. Wanawake wanadosha coments kwa wingi kulishangilia, kulisifia na kufurahia.

Afu huyohuyo mwanamke anayeona raha kusapoti na kusifia mashoga unakuta ana matoto ya kiume kibao. Kesho kutwa toto lake la kiume likianza kupakuliwa/kuliwa, eti anaanza kulia, wakati ni laana zake mwenyewe za kufurahia, kusifia na kusapoti mashoga.
 
Sahau Tozo, sahau machinga, sahau COVID-19View attachment 1972273Hatari mpya inayowakabili watoto na wajukuu wetu ni Superman mpya ambaye ni shoga.

Ushaur;
Serikali yetu ingetunga Sheria mathubuti za kuzuia vikaragosi hivyo visionyeshwe wala kufanya mijadala kama hiyo.
Maana wazung wanaweza sema ni haki ila ni kwao si tatizo kama ilivyo bangi na mihadaratI kwenye baadhi ya mataifa duniani
Weka mbali na watoto tu
 
Kama huwa unawafatiLia bbc swahiLi habari zao mara nyingi ni kuhusu ushoga ndo nlchomaanisha au huwafatiliagi ww

Nyambaaaaaaaaaafu

Topic mezani ni ushoga

Hayo mambo ya kufuatilia bbc Swahili kaanzishe uzi wake

Kilaza wewe
 
Bbc swahiLi ni watu wa hovyo sana

Ila BBC wanapenda sana haya mambo. Nao ni maagent pia.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app


Wana ajenda yao bila shaka, cha ajabu kutufanya kuongelea tuu haya mambo ndo kama tunachochea moto, utakuta wamo humu ndani wanachukua takwimu juu ya jamii yetu na kukubaliana na hayo mambo. haki ya nani kizazi vinavyokuja kutakuwa na wanaume bikira!
 
Na watoto wanavopenda katuni. Wameona waanze na watoto ili wawapandikize hizi tabia wakiwa bado wadogo ili wakikuwa wawe mashoga makomavu yaanze kupigania na haki za ushoga na mashoga kama jinsi walivo wao wazungu.
Tunalalamika tu lakini kwanini hii changamoto isichukuliwe kama fursa? Tupo busy kufatilia na kuzikuza cartoons za kizungu kwanini tusitengeneze za kwetu zenye maadili tunayotaka?
Kulalamika hakutasaidia chochote na tutake tusitake ushoga unazidi kushamiri na ipo Siku hata kama ni miaka 100 ijayo tutaona ni kawaida.
So jukumu ni la mzazi kumuweka mbali mtoto wake kwenye mambo kama hayo ingawa ni vigumu maana teknolojia na utandawazi ni vitu visivyo epukika.
 
kule Fb wanawake mnaongoza kwa kuwasapoti mashoga. Shoga linapost picha limejibinua, limepaka ina na lipshine. Wanawake wanadosha coments kwa wingi kulishangilia, kulisifia na kufurahia.

Afu huyohuyo mwanamke anayeona raha kusapoti na kusifia mashoga unakuta ana matoto ya kiume kibao. Kesho kutwa toto lake la kiume likianza kupakuliwa/kuliwa, eti anaanza kulia, wakati ni laana zake mwenyewe za kufurahia, kusifia na kusapoti mashoga.
Wengine hata FB hatupajui
 
Wana ajenda yao bila shaka, cha ajabu kutufanya kuongelea tuu haya mambo ndo kama tunachochea moto, utakuta wamo humu ndani wanachukua takwimu juu ya jamii yetu na kukubaliana na hayo mambo. haki ya nani kizazi vinavyokuja kutakuwa na wanaume bikira!
Yaan bbc always suala la ushoga wanalipa kipaumbele balaa. Yaan siyo leo wala jana. Wanapemda mnoo

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
acha ujinga ww umekazana hapa kutetea hizo dini usizojua chanzo chake ni kipi, izo dini kwa taarifa yako zmeanza miaka ya juzi tu,ukristo umezaliwa miaka ya 325A.D ktk mkutano wa nincaea chini ya viongoz wa kirum baada ya kukopi hadithi za mashujaa wa afrika na kubadiri ukweli kuwa dini ,
na uo uislam ni juzi tu nao ni tawi la ukatoric uliozaliwa miaka ya 600A.D kupitia stori zile zile za kirumi kwa kuzichanganya na mila&desturi za waarabu wa kipindi kile.

kwaiyo dini hazina maana wala msaada wowote kwa kuokoa kizaz.

kama hujui hizo dini ndizo wafaziri wa uo ushenzi nyuma ya pazia, hizo dini ndizo hufadhiri makundi ya watetez wa haki za hovyo hovyo, hata izo shule za seminari ambazo huwafunza watoto upuuzi ni zao na ukatoric ndyo hucontrol mambo ya imani&ustaarabu wa dunia kupitia mashirika yake ya kimataifa ikiwepo madhehebu ya dini zote na mashirika yote ya misaada.

kama mambo huyajui ni bora ukauliza, alafu habar za Sodoma na gomora kama huzijui nje ya maandiko uliyoaminishwa ni bora ukauliza, leo hii naweza kukuuliza utuoneshe ilo tukio la sodoma lilitokea lini, wapi, mwaka gani kwa ushahidi wa historia tu, najua hotoonesha maana hujui kitu.

stori nyingi za biblia na quran ni uongo, hazina ukweli, na kama zina ukweli, bas acha ziwe kweli maana zinawahusu wao na dini zao na miungu yao inayowaadhibu wakikosea,

mfano ktk biblia iyo stori ya sodoma inawahusu watu wa jamii ya white race (kipindi cha rutu kabla ya uzaowa mtu mweusi kutoke kwa nam kwa mujibu wa dini zao), ambao walikisili kwenye matendo ya hovyo, na huyo Mungu wao akawahukumu kwa moto.

kwaiyo hayakuwahusu watu weusi maana matukio yaliwakumbwa watu jamii hiyo kwa mujibu wa biblia, maana biblia inawaongelea na imebase kwa hao watu weupe wala sio mtu mweusi, na mtu mweusi hajatajwa sehem yoyote kuwa ni chukizo ama muaribifu ktk dunia hii,

kwahiyo mambo ya uaribifu yoote chanzo ni mtu mweupe ma dini zake, unapojiona mjuaji wa maandiko na dini ujue kuwa kuna watu tunazijua dini zaid yako, tumezaliwa kwenye dini, tumesoma dini, na tukaachana na dini baada ya akili kufunguka, watumwa wa akili bado mtazidi kuona dini ni msaada kwnu,

msaada wa kwel ni kuirudia asili ya Africa, afrika hakujawai kuwa na ushenzi wa aina hiyo, mtu mweuepe(alien) ndye chanzo cha uharibifu haya mambo nishayaongelea sana, lkn watu weusi vichwa ngumu kuelewa ukweli

mimi kihistoria naweza kukutajia uwepo wa Afrikaans 10000 kabla hata ya stori za biblia na quran kuwepo, inamaanisha kuwa mtu mweusi yupo kabla ya Mumgu wa dini, na mtu mweusi aliishi kabl ya historia za dini kuhisu uumbaji kuwepo, na kumalizia ni kuwa mtu mweusi ndye Mungu maana shahidi znaonesha mabaki ya watu weusi kuish zaid ya miaka million, na hadithi za biblia znaongelea miaka 6000b.c + 2000A.D ni almost 8000years ya uwepo wa stori za dini na miungu yake

Acheni kuabudu utamaduni wa watu weupe
acheni kushikiria mafundsho potofu ya wageni.
Mkuu kama unavitabu nisaidie tafadhali inbox
 
kiduku alipozifungia media za mabeberu kulinda utamaduni wao tulimuona chizi kumbe aliona mbali sana huyu mwamba, kuanzia sasa kiduku ni role model wangu dhidi ya mabeberu

Kiduku pia ni gay Kama hujui
 
Kama huwa unawafatiLia bbc swahiLi habari zao mara nyingi ni kuhusu ushoga ndo nlchomaanisha au huwafatiliagi ww

Nyambaaaaaaaaaafu
Hata CNN yule mtangazaji maarufu wa Business and Travel, anaitwa Richard Quest ni shoga aliyejitangaza na las 5 years alimuonyesha wazi mumewe
 
Kiukweli sina muda wa kupinga kitu ambacho sina uwezo wa kubadilisha. Ushoga ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.
Mungu mwenyewe kashindwa (refer to sodoma na gomora) sembuse mie!
Am telling you the worse is coming..anayetaka kuwa shoga let him/her be. Am only responsible to myself.
I am sorry kama nitaku offend, maana yaonekana na wewe ni shoga kwa jinsi ambavyo hutaki tuweke efforts zozote.

Hata kama ushoga upo hatupaswi kuu promote kwa njia kama hiyo ya superman. Waache waliozaliwa na hormones hizo tuendelee kuwatafutia tiba, ila tusiache walio salama wakaingia huko.
 
Yaan bbc always suala la ushoga wanalipa kipaumbele balaa. Yaan siyo leo wala jana. Wanapemda mnoo

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
afu hawa single maza ni kichocheo cha ongezeko la mashoga. Single maza ana watoto wadogo wa kiume afu anadanga na kufumuliwa mbele ya wanawe, saaingine analiwa kwenye chumba anachoshea na watoto.

Siku akiingiza vuta bangi ndani au mlevi, jamaa linawapitia wote mwana na mama yake bila kujali jinsia. Kuna singlemaza moja linamtoto wa kiume, afu linajiuza mitandaoni, anapo post makalio yake, eti anampost na mtoto, anamzalilisha mwanae sana. Afu wanaume wanalisifia haswa.

Anaposifiwa ndo anazidi kuanika makalio yake nje, nje. Sasa single maza unapofanya umalaya wako mitandaoni au sehem yoyote ile na kuhusisha mtoto mdogo tena wa kiume kwa kumpost au vyovyote vile, unamaanisha nini? au unataka aliwe kama wewe? Kama huko sio kurisisha mtoto ushoga, ni nini hicho?
 
Huu ushoga mnaupigia promi kila siku humu kwa nini?

Ila tambua ushoga ni inborn, huo wa kujifunza ni kiasi kidogo sana.

Na hata mtu akikubali kujifunza bas huyo ana hizo traits za ushoga.

Kinachofanya ushamiri ni huu utandawazi zamani walikuowepo lakini huwezi kuwasikia wala kuwaona ila sasa tunawaona na kuwasikia.

Huyo mzazi sijui serikali hata ifanyeje mtu kama ni shoga ni shoga tu huwezi mbadili ndo kaumbwa hivyo hivyo.
[emoji102][emoji102][emoji849]
 
I am sorry kama nitaku offend, maana yaonekana na wewe ni shoga kwa jinsi ambavyo hutaki tuweke efforts zozote.

Hata kama ushoga upo hatupaswi kuu promote kwa njia kama hiyo ya superman. Waache waliozaliwa na hormones hizo tuendelee kuwatafutia tiba, ila tusiache walio salama wakaingia huko.
Yaani hata kama mimi ni shoga ndo hivyo huna cha kunifanya zaidi ya kupiga kelele na kupata hasira. Pole ndugu
 
Hizo ni adult swim tafadhali sio ajili ya watoto.
Kama watoto wanapenda cartoons kuna chanel zao maalumu kama KidCo, Nickelodeon,Disney Junior, Cartoon Network, Da Vinci learning etc.

Mnashindwa kutofautisha kati ya cartoon za watu wazima PG 16 kama Ricky and morty,Bandoork, Invincible, nk nk. Nyingi hizi zinazoonyeshwa kwenye streaming chanel kama Netflix, Disney+, Hulu,HBO, Peacock nk hua zimelenga kuanzia PG 13
Wazazi msiwaachie watoto kutumia Streaming Channel kuangalia Cartoon...Watumie hizo Channel nilizotaja ajili yao
Well said!
Of-topic: Huyu Jon Kent si alikuwa mtoto? Imekuwaje?
 
Well said!
Of-topic: Huyu Jon Kent si alikuwa mtoto? Imekuwaje?
Ndio Jon Kent ni mtoto wa Clark na Lois lakini kwenye comiscs kuna version nyingi sana kuhusu character yake. Au sometimes watengenezaji wa Movies wanaweza kwenda kinyume na original story kutoka ndani ya comics kwa vile wapendavyo.
Binafsi sifahamu sana kuhusu Comics za DC kama nizijuavyo Comics kutoka Marvel.

Nitatoa mfano kidogo...
Wanada Maximoff(Scarlett Witch) na Peter Maximoff (Quicksilver) origin kutoka kwenye comics ni watoto wa Erik Lansherr(Magneto) ila huku kwenye Muvi wanaonyesha kwamba hawana uhusiano na Magneto. They're just a random kids, Lakini ukiangalia muvi za XMen wamedokeza kidoho kwamba Quicksilver ni myoto wa Magneto.

Hivyo Screenwriter wanaweza kutengeneza stori yao tu bila kujali kitabu kinazungumzia nini kuhusu character fulani
Eg2. Kwenye Novel ya Game of Thrones Yara anaitwa Aisha ila kwenye series kaitwa Yara.

Wanda and Peter (From Avengers)
1634137195599.png

Young and old Magneto (From X Men)
1634137405442.png
 
Back
Top Bottom