Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Baada ya kuhakikisha dunia imewapokea na watoto wanaipenda sana, sasa wameamua kuja kuwafundisha watoto wetu mapenzi ya jinsia moja, yaani ushoga



View attachment 1972877


Wazazi tuwe makini sana na hizi mambo za kuachia watoto t.v. waangalie cartoons tusizojua content zake.

Kwa urahisi zaidi, wewe mzazi angalia cartoon mwanzo mwisho na i download ili unapowaachia watoto wako uwe una uhakika wanaangalia unachokijua na kilichokua salama.

Teknolojia inatukimbiza mbio, hatuwezi zuia kila kitu lakini vile vilivyo ndani ya uwezo wetu tuvizuie

Pia tujaribu kuwapunguzia watoto muda wa kukaa kwenye t.v. na laptops au sim na kuwapa activities za kuwajenga.

Wizara ya Afya Tanzania
TCRA
Mungu atusaidie🙏
Utafute pesa na utafute na katuni za kuangalia mwanao! Katuni ni moja tu, Tom & Jerry collections!
 
Wazazi wenyewe hamsali wala kuswali.

Sasa watoto wenu mnawafunza nn kama sio ushoga wa hizo katuni tu??.
Zamani dini hazikuwepo ila mambo kama hayo hayakuwepo kabisa, so kusali bila ww mwenyewe kuwajibika na kuwa na muda wa kutosha kuwalea watoto wako haiwezi kuisaidia.
 
Hapa ndipo tunapo feli maana wahamasishaji tunaishi nao kwenye jamii zetu na tumeamua kukaa kimya pasipo kujua kuwa watoto wetu nao wanaweza kuiga tabia zao
Yaani kuna mashoga kibao na hawajifichi wanajitangaza wazi wazi. Hapo hapo eti serikali inapinga ushog..ni kosa. Hivi kweli hawawaoni au kutuchezea akili tu?
Pia kuongelea sana ushoga naona ni kuupromote.
 
Unachanganya madesa.


UKIFUNZA MTOTO WAKO...

ATATOKA NYUMBANI KWENDA KWA WENZIE

HUKO ATASEMA " BABA ALINIKATAZA, MUNGU HAPENDI, MUNGU ATAKUCHOMA MOTO"


hivo vitu sio mazingaombwe, vitu vipo na watoto tunao, na tunawaona.



MTOTO WAKO WEWE, USIYEMPELEKA KANISANI WALA MSIKITINI, KAMWEE. NARUDIAA KAMWEE, KITABIA,KIMALEZI, HATOKAA AFANANE NA MWANANGU HATA SIKU MOJA.



Acheni kuwapa majukumu watu wengine,majukumu ambayo niyako wewe.

Carlos wewe binafsi achilia mbali hili la ushoga ni vitu vingapi uliambiwa na wazazi wako ni vitu vibaya na usivifanye lakini bado ukavifanya tena kwa siri kubwa?

Nilichosema mimi tupambane kudhibiti watoto wakae kwenye mstari kama wazazi, na swala la wazazi wasiofanya hayo kwa watoto wao tumwombe Mungu ageuze mioyo yao wawajibike kuwalea watoto wao katika njia sahihi sababu mtoto wako hatokua salama kama watoto wanaomzunguka hawana usalama. Unless uwe na shule yako binafsi, nyumba yako ya ibada, viwanja vyako vya michezo ambako atakua hakutani na wengine

Tabia huambukiza na watoto ni wenye kupenda kujaribu vile tunavyowakataza, na wanakutana na kuwa pamoja kwa muda mrefu kwa hiyo hili la kusema mtoto wangu akiwa salama hao wengine waharibikiwe tuu halijengi kwani atakutana wa kwako na ataambukizwa tuu
 
Haijalishi ndugu, kupakuana tope ni tabia isiyokubalika hata kidogo, ni kupiga vita tu iwe kwa wakubwa au watoto
Mkuu kwanza kabisa siungi mkono mapenzi ya jinsia moja ila lazima tukubaliane na ukweli Kwamba dunia inaelekea kubaya. Mambo hayo yanapigiwa debe waziwazi hivyo cha msingi ni wazazi kuupokea huo ukweli na ku-Evolve. Huwezi kutatua tatizo kabla hujakubaliano nalo kwamba tatizo hilo lipo kupiga kelee tu kwamba wanapromote ushoga hakusaidii kuziwia wao kuacha kufanya hivyo. Cha msingi sasa ni kuweka mbinu za kukabiliana na promotion hizo.

Kosq lipo kwa wazazi, wengi humu tumelelewa maisha ya kupewa kile wazazi wanachotaka na sio watoto wanachotaka. Lakini wazazi wa sasa hivi hawafanyi hivyo wanamuachia mtotoaamue kila kitu Eg. Mtoto wa 12 years anaachiwa smartphone anaingia insta, Youtube,fb nk. Kisa kataka mzazi anamuachia na simu haina Firewalls wala ukinzani wowowte

Nina rafiki hapa Ke anawatoto wawili mmoja 13, mwingine 10 wana Laptop ina muvi kibao hua wanaangali. Tena mama yao aliniambia fulani "ulishawaletea wanangu Money Heist Season 5" imagine mambo yaliyomo kwenye hiyo series ila mzazi wala hajali anataka aangalie. Mimi ndio nilikataa nikamwambia ipo rated 16PG hawafai kuiangalia.

Kwa kuhitimisha...
Wazazi ndio chanzo kikuu kwa kutofuatilia mtoto anaangalia nini kwenye TV na simu, Cartoon zinazoonyeshwa kwenye streaming chanel hua ndio zina mambo hayo ya kishoga ila za kwenye TV nyingi hua ni kwa ajili ya watoto wote.
Wazazi hua hawafuatilii rate ya vitu wanavyoangalia watoto wa kama ni PG 13,16,18.
Ila kwa wenzetu wazungu huafuatilia saa hayo mambo.

Eg. Kuna dogo alicheza muvi ya Deadpool 2 anaitea Russell alikua anamiaka 13 mwaka 2018 wakati muvi inatoka na muvi ipo Restricted Rate (R-Rated) kwa walio umri wa 16 above yule dogo wakati wa kuzindua muvi aliziwiliwa kuingia kwasababu umri wwke haukidhi japokua nae kashiriki kwenye muvi kwa kaisi kikubwa
1634117123998.png
 
Baada ya kuhakikisha dunia imewapokea na watoto wanaipenda sana, sasa wameamua kuja kuwafundisha watoto wetu mapenzi ya jinsia moja, yaani ushoga



View attachment 1972877


Wazazi tuwe makini sana na hizi mambo za kuachia watoto t.v. waangalie cartoons tusizojua content zake.

Kwa urahisi zaidi, wewe mzazi angalia cartoon mwanzo mwisho na i download ili unapowaachia watoto wako uwe una uhakika wanaangalia unachokijua na kilichokua salama.

Teknolojia inatukimbiza mbio, hatuwezi zuia kila kitu lakini vile vilivyo ndani ya uwezo wetu tuvizuie

Pia tujaribu kuwapunguzia watoto muda wa kukaa kwenye t.v. na laptops au sim na kuwapa activities za kuwajenga.

Wizara ya Afya Tanzania
TCRA
Mungu atusaidie🙏
😍
 
Kwa hali ilivyo na Dunia inavyoenda unaweza kuta ndio tunasimuliwa stori ya Sodoma na Gomora! Ndio kwanza Mungu bado hajatia kiberiti
 
Nilikuwa nawecheka washkaji wakimind series zenye hizo mambo nikawaambia wahamie walking dead daa na hiyo pia baadae akatokea shoga daa ilinikera sema bahati nzuri shoga alikufa mapema
 
Hahaha wanaandaa vijana wankiume wa kupigana miti hapo baadae, kwa sababu mtot akishaangalia anona kawaida kumla mate dume mwenzie sasa hapo ndo kulana kunanza,izo katuni ziwe 18+
 
Nilikuwa nawecheka washkaji wakimind series zenye hizo mambo nikawaambia wahamie walking dead daa na hiyo pia baadae akatokea shoga daa ilinikera sema bahati nzuri shoga alikufa mapema
Hiv sahiv kuna series ambayo inakoswa hayo mambo?
 
Back
Top Bottom