Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Hizo ni adult swim tafadhali sio ajili ya watoto.
Kama watoto wanapenda cartoons kuna chanel zao maalumu kama KidCo, Nickelodeon,Disney Junior, Cartoon Network, Da Vinci learning etc.

Mnashindwa kutofautisha kati ya cartoon za watu wazima PG 16 kama Ricky and morty,Bandoork, Invincible, nk nk. Nyingi hizi zinazoonyeshwa kwenye streaming chanel kama Netflix, Disney+, Hulu,HBO, Peacock nk hua zimelenga kuanzia PG 13
Wazazi msiwaachie watoto kutumia Streaming Channel kuangalia Cartoon...Watumie hizo Channel nilizotaja ajili yao
 
Vijana wangu wakitoka Shule nitawawekea Channel ya Boomlang kwaajili ya Kuona Tom & Jerry Show pamoja na Mr Bean cartoon. Baada ya hapo watakuwa wanaangali mpira na Mimi au kufanya homework.

Mambo mengine ya wazungu ni ya Kisen...ge sana, kama wao wanatamani kuwa machoko wawe lakini sio kutufanyia hivi kwa vijana wetu kupitia cartoon zao
 
Kabla ya ukristo na uislamu mambo yalikuwaje? Masheikh na mapadiri si ndo wanaongoza kwa ufirauni?

Si Bora hata kwa wasiosali!!!

Takwimu ndio zinasema hayo!?

Kwa hiyo kule kwa mpalange, kwa kina amberuty na kwa kina jamesdelishaz mashekhe na mapadiri ndio wanaowashughulikia?

Heshimu imani za watu kwa kumtofatisha mtu na wehu wake na imani anayojitambulisha nayo
 
Mbaya zaidi ni yule anayezaa watoto na kuacha kuwajibika katika makuzi yao.

Unakuta mzazi anampa access mtoto kuangalia vitu ambavyo hata yeye havijui. Kuna wakati heri usitafute mtoto kama unajua muda wa kumlea ipasavyo huna
Yes ma'm
 
Imefika wakati katuni zetu tu ndio waonyeshwe watoto, la sivyo wazungu watafanya watoto waamini kila kitu chao ni bora

Na sio lazima ziwe cartoon pekee. Tuwe na activities za watoto zinazowajenga kulingana na mazingira yetu na desturi

Cartoon nyingi zimebeba themes zisizokua na msaada kwa watoto wetu
 
Vijana wangu wakitoka Shule nitawawekea Channel ya Boomlang kwaajili ya Kuona Tom & Jerry Show pamoja na Mr Bean cartoon. Baada ya hapo watakuwa wanaangali mpira na Mimi au kufanya homework.

Mambo mengine ya wazungu ni ya Kisen...ge sana, kama wao wanatamani kuwa machoko wawe lakini sio kutufanyia hivi kwa vijana wetu kupitia cartoon zao
Nakushauri uanze kuwasomea vitabu vya hadithi vya zamani maana bado kidogo tu utaona wanaingia na huko mf, mchezaji wa kiume anashangilia kwa kumpiga denda mwanaume mwenzie, na wanajua watoto wanapenda tom&jerry napo mda kidogo wataviingiza tu maana wanatumia kila mbinu jamii zivikubari na kuona hvyo vitu vya kawaida
 
Katika suala ambalo serikali haiwezi kulipiga vita ni hili LA ushoga. Watafungia porn sites lakini kina James delicious wataendelea kujibebisha mitandaoni wazi wazi na serikali haina ubavu wa kuwastopisha.
Kila mtu apambane kivyake...
 
Katika suala ambalo serikali haiwezi kulipiga vita ni hili LA ushoga. Watafungia porn sites lakini kina James delicious wataendelea kujibebisha mitandaoni wazi wazi na serikali haina ubavu wa kuwastopisha.
Kila mtu apambane kivyake...
Hapa ndipo tunapo feli maana wahamasishaji tunaishi nao kwenye jamii zetu na tumeamua kukaa kimya pasipo kujua kuwa watoto wetu nao wanaweza kuiga tabia zao
 
Back
Top Bottom