Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Mie naona saivi mtu akasoma elimu Yao bado anataka kuwa criticise.
Saivi wanahimiza kuchanjwa Ila hawako tayari kwa side effects za chanjo.
Hawa ni watalaamu waafrika wanahimiza sie tuchanjwe Ila hawajui chemistry, compounds and molecular composition ya chanjo
kuna ile stori ya bwana mmoja(bedui) kusafir na ngamia wake akiwa jangwani bwana yule
akatoa hema yake apumzike kutokana na jua kali mda kidogo mvua ikaanza kunyesha ngamia akaomba bwana yule
amruhusu aingize kichwa tu ili asiloane bwana yule akamruhusu mvua ikaendelea ngamia akomba tena aingize mabega
bwana yule akamruhusu mvua ikaendelea mwisho wa siku bwana yule alijikuta nje akinyeshewa na mvua huku
ngamia akiwa kajaa ndani ya hema bwana yule kumuomba ngamia atoke ngamia kagoma.

Haya mambo nimeyashuhudia shule moja ya wavulana watupu sekondari kwa vijana kama wanne waliofukuzwa shule.
Tena hawakuanzia secondary bali shule ya msingi ni huzuni jinsi wazazi wa watoto hao walivyokuj kuwaijia watoto wao.
Hatujui ni wangapi hawakuwahi kujulikana.
Hakuna ambaye yuko salama katika hili yakishakita mizizi hakuna atakaye weza kuyarekebisha tena, wala kumuokoa mtoto wake.
Hizo movie, cartoon, mitandao ya kijamii ndio walezi wakubwa wa watoto wetu.
Zaman ustaarabu ulikuwa mzaz kukuchaguliw mke au mume, tumetoka huko imekuwa kuchagua mke mwenyewe huko mbele
ustaarabu itakuwa kumuacha mtoto aamue kama awe shoga au tofaut.
Sheria inatungwa vipi wakati ni haki za binadamu? kutunga sheria ni kukiuka haki za binadam(standard ya ustaarabu tuliyowekewa)
#waafrika unafiki hautatuacha salama kukaa kimya ni kukubaliana nayo.
 
Sahau Tozo, sahau machinga, sahau COVID-19View attachment 1972273Hatari mpya inayowakabili watoto na wajukuu wetu ni Superman mpya ambaye ni shoga.

Ushaur;
Serikali yetu ingetunga Sheria mathubuti za kuzuia vikaragosi hivyo visionyeshwe wala kufanya mijadala kama hiyo.
Maana wazung wanaweza sema ni haki ila ni kwao si tatizo kama ilivyo bangi na mihadaratI kwenye baadhi ya mataifa duniani
Sasa ni wakati ya sisi kuwa wabunifu na kutowa cinema au michezo au mabuku kuonesha ubaya huo.
 
Sahau Tozo, sahau machinga, sahau COVID-19View attachment 1972273Hatari mpya inayowakabili watoto na wajukuu wetu ni Superman mpya ambaye ni shoga.

Ushaur;
Serikali yetu ingetunga Sheria mathubuti za kuzuia vikaragosi hivyo visionyeshwe wala kufanya mijadala kama hiyo.
Maana wazung wanaweza sema ni haki ila ni kwao si tatizo kama ilivyo bangi na mihadaratI kwenye baadhi ya mataifa duniani
Wala haihitaji kutungwa sheria. Nina hakika ipo sheria inampa waziri uwezo kupiga marufuku vikatuni, kitabu au filamu kuhusu huyo superman wao shoga.
 
Mie naona saivi mtu akasoma elimu Yao bado anataka kuwa criticise.
Saivi wanahimiza kuchanjwa Ila hawako tayari kwa side effects za chanjo.
Hawa ni watalaamu waafrika wanahimiza sie tuchanjwe Ila hawajui chemistry, compounds and molecular composition ya chanjo
Bongo nyoso
 
Mzazi au mlezi ni muhimu kuongea na mtoto wako akishakua na uwezo wa kutambua mema na mabaya maana unaweza dhibiti nyumban kwako lakin akitoka nje marafiki wakamuonesha. Sio kila jambo serikali ilifanye.


Pia kua external wajazie cartoons humo waangalie ila hakikisha na wewe umeziona hazina shida. Kuna animation inaitwa 'sausage party' ile sio ya watoto kabisa ni ya watu wazima.
 
Mzazi au mlezi ni muhimu kuongea na mtoto wako akishakua na uwezo wa kutambua mema na mabaya maana unaweza dhibiti nyumban kwako lakin akitoka nje marafiki wakamuonesha. Sio kila jambo serikali ilifanye.


Pia kua external wajazie cartoons humo waangalie ila hakikisha na wewe umeziona hazina shida. Kuna animation inaitwa 'sausage party' ile sio ya watoto kabisa ni ya watu wazima.
Hatari sana
 
Wanajua how to destroy mind ,control mind,rule your mind,to plant anything into your mind,to impact anything,yaani achana na mzungu bana Kama aliniambia kuwa dini yako , jina lako,chakula chako, mavazi yako,lugha yako,Mungu wako,rangi yako , yaani kila kitu chako ni kibaya hakifai Ila Cha kwao na watu wamefuata usicheze nao,later hii same sex itazoeleka.
Yaani aliyekuletea dini ukajua jema na Baya Leo hii unamkosoa aliyekutoa tongotongo kweli
Sahihi kabisa. Kujinasua ni mtihani haswa. Usipo amini mungu wao, utaitwa majina yote mabaya na kuambiwa una mapepo. Usipo vaa au kula kama wao utaambiwa haujastaarabika.
Kwa hakika 'Things have just fallen apart'
 
Katuni nasikia huwa zinachorwa kwa kutumia michoro ya nyuchi za binadamu....ndio maana watoto wapenda katuni huwa sio wazima.....wazungu sio watu wazuri wanajua sehemu ya kupiga watoto wakishaona huo upuuzi basi wanaanza taratibu kufanya kama wanavyoona kwenye hizo katuni basi kidogo kidogo jamii iliyostaarabika inaharibika kwa kiwango cha lami.
 
Huu ushoga mnaupigia promi kila siku humu kwa nini?

Ila tambua ushoga ni inborn, huo wa kujifunza ni kiasi kidogo sana.

Na hata mtu akikubali kujifunza bas huyo ana hizo traits za ushoga.

Kinachofanya ushamiri ni huu utandawazi zamani walikuowepo lakini huwezi kuwasikia wala kuwaona ila sasa tunawaona na kuwasikia.

Huyo mzazi sijui serikali hata ifanyeje mtu kama ni shoga ni shoga tu huwezi mbadili ndo kaumbwa hivyo hivyo.
 
Wala haihitaji kutungwa sheria. Nina hakika ipo sheria inampa waziri uwezo kupiga marufuku vikatuni, kitabu au filamu kuhusu huyo superman wao shoga.
Mkuu kmbwembwe Tuanzie hapo, tupate hicho kifungu cha Sheria halafu tumpazie sauti Waziri wa sekata husika
 
Hii kitu ya ushoga ni mzazi mwalimu tu ndiye anaweza kumuepusha mtoto.
Acheni kuipa serikali kazi nyingi.
Kila kitu serikali.
Sandali Ali yaonekana huna mtoto, hujawahi kulea au huna kizazi. Kwenye malezi ya Watoto Serikali haiwezi kujitoa. Ndiyo maana kuna Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Na hizi ndiyo kazi zao

Soma hii link uone wenzetu wa Kenya walifanya nini mwaka huu dhidi ya uchafu huu.

 
Katuni nasikia huwa zinachorwa kwa kutumia michoro ya nyuchi za binadamu....ndio maana watoto wapenda katuni huwa sio wazima.....wazungu sio watu wazuri wanajua sehemu ya kupiga watoto wakishaona huo upuuzi basi wanaanza taratibu kufanya kama wanavyoona kwenye hizo katuni basi kidogo kidogo jamii iliyostaarabika inaharibika kwa kiwango cha lami.
Nakumbuka nilikuwa nikimchekia Bruce Lee namie naanza kufanya anachokifanya. I imitate
 
Kwa akili zenu hii chanjo mliochoma hivi karibuni itawapitisha mbali na ushoga

Natoa tahadhari kwa wote mliopata chanjo, elements za ushoga zipo karibu kuwafikia

Ni swala la muda tu
 
Hata hii akili wanayoangalia watoto kila jumamosi ina upinde wa mvua ambao sielewi unahusika vp mule. Si ndo bendera ya hawa watu wa mapenzi ya jinsia moja?
Halafu huo upinde wameupa jina zuri sana la kuvutia unaitwa super Lulu, yaani kila mtoto anaeangalia akili tayari superlulu imeshamkaa kichwani kwake.
 
Enz zetu katun Zilikuwa Tom and Jerry na Pink panther hiz katun za sasa mzaz usipokuwa makin utaharibu watoto Hakuna cha kusingizia serikal mzaz chunguza series na movies na hiz katun za sasa
 
Back
Top Bottom